Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Kwanza hiyo vita haituhusu....wamfufue Joshua waliemuuwa kikatili ndo tuwaunge mkono
Pelekeni magaidi wengine wakaunge mkono wazayuni
Nawao watafyekwa tu kama kufufua rahisi nenda ukawafufue wewe
 
Wapiganaji wa Gaza wanatakiwa wakome tena wakome kabisa kuichokoza "Nchi Taifa Teule"
Wanapaswa kujutia maamuzi ya kuwachokoza wana wa Mungu 😌
Nchi teule inasapoti ushoga
Au papa ndio mmemvika joho hilo kuna watu wajinga(sio tusi)
 
inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.

Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.

Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.

Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.

Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande

An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza


SASA UNAANZISHA UGOMVI WA MAWE NA UNAISHI NYUMBA YA VIOO. ACHA WATU WAPIGWE SI WALIANZA WENYEWE.
 
Islam inapumulia mashini, ICU wewe fuatilia pale speakers corner utaona mnavyo lose debate kwa sasa-kwishne mmebaki kushabikia Kamasi zenu za Gaza. Na leo the second ranking Kamasi leader in Gaza, Mohammed Deif amepelekwa mawinguni akakutane na mabikira wenu 72. Mtaisha mpaka Gaza iwe vumbi
Kama ndio mnavyodanganywa huko jumaapili kua kuna siku Uislamu utakuja uishe pole
Yaani mmekua mnamezeshwa ujinga ujinga ndio maana mamba anawaambia mpakuane mnakubaliana nae
Israhell kuikalia ghaza hilo suala lifuteni kwenye hayo mabox yenu kabisa yaani
Watu wa ghaza kwa ushirikiano na wanaume wa hamas wamekubali lolote na liwe ila mazayuni hawaweki kambi ghaza
Kama huamini ngoja uone
 
MimI siendi kanisani kupata baraka ninenda kuboresha mahusiano yangu na Mungu wangu. Mtu anakazania mtoto Madrasa kuliko shule. Mtu anaitwa sheikh anatoa mahubiri hana hata degree ya theology au philosophy. Kuna kuijenga jamii hapo ? Kama uislamu uko vizuri kwa nini wakimbizi wa Syria,Iraq, Libya , Afghanistan na Lebanon wanakimbilia Ulaya na Marekani na sio Uarabuni.
Ulivyokua hujitambui
Muislamu mmoja anazidi makafiri mia kama atisoma kweli Qur an inavyotakiwa
Hata wakimbizi wa Ukraine walihifadhiwa Zanzibar
Mtu mwenye akili timamu hawezi kwenda kanisani akaabudia sanamu ule ni ukosefu wa akili na mwisho mnaambiwa mpeane baraka sababu mshajulikana akili zenu hazina akili sawa sawa
 
IQ ya Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu ni 128(above average)
Huyu ni akili kubwa.
Angekua na akili kubwa asingeshupalia ushoga na usagaji hata dakika
Mtu mwenye akili hata 0.0 hawezi shabikia ushoga na usagaji
 
Ishu siyo kujibizana ndio maana masheikh wanalalamika wanatembea kwa miguu wakati Maa Askofu wana magari mnafeli wapi amkeni !! Nenda uarabuni uone waarabu wanavyobaguana wao kwa wao wewe utawekwa wapi ? Dini gani ambayo watu wanabaguana wao kwa wao. Waafrika waislamu walioishi uarabuni wanajua kuwa walikosea lakini wanakubali maana akifikiria mke na watoto atawaambia nini.
Sasa kwanini wasitembelee ma V8 wakati mnauziwa papai moja la 10000 nyie jumaapili mnauzia laki 5
Sasa wewe hushangai mlivyokua vichwa maji papai tokea lini likauzwa laki 5
Na kwa ujinga wenu mtatapeliwa mpaka mukome
 
Pole yao, kama wameshindwa vita basi wanyooshe mikono juu, ishara ya kusurrender na kuwapa washindi kile watakacho.

Kama bado hawataki kutoa kile mtoa kichapo anataka basi vita haitoisha na mauaji hayatakoma mpaka pale mbabe atapopatikana, na mbabe hupatikana kwa mmoja kupata kile atakacho.
 
Kama kuna mtu anaamini mataifa ya kiarabu kuamka na kuitetea Palestina basi anapishana na uhalisia. Waarabu wako kwenye mahaba mazito na Mmarekani.
Screenshot_20240717-181702.png
 
Khaaa Deif kawahishwa kuzimu kweli usigombane na myahudi hakika kisasi atalipa
MUNGU WAO Amewaagiza!
Hivyo Wanayaishi Maagizo Yake Ili Wafuzu!
👇👇
Torati.19:20-21
[19]Na watakaosalia watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako.

[21]Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
 
Sasa kwanini wasitembelee ma V8 wakati mnauziwa papai moja la 10000 nyie jumaapili mnauzia laki 5
Sasa wewe hushangai mlivyokua vichwa maji papai tokea lini likauzwa laki 5
Na kwa ujinga wenu mtatapeliwa mpaka mukome
Hatutapeliwi ukizunguka dunia ndio utajua kuna dini na utumwa. Waarabu wanakimbilia Ulaya na Marekani sio Dubai Wala Saudia. Nchi hii imeuzwa zaidi na wavaa makobazi kuanzia Mwinyi, Kikwete na Mama. Bugando na , KCMC imejengwa na waislamu ? Nitajie Hospitali au NGO kubwa ya waislamu au waarabu inayosaidia Tanzania. Amkeni aisee matajiri wenu wanawekeza kwenye mpira tu. Kuna Ka NGO kalikuwa kanalipia watu mahari na nyie mkapiga makofi juu 🤣🤣🤣🤣. Unafurahi kulipiwa mahari kama mahari unalipwa utaweza kumhudumia mke na watoto ? Aisee Tanzania tuna safari ndefu tumemuuzia Dubai bandari zote . Wakati Dubai hawana mafuta wanaendesha uchumi kwa kuikopa Abu Dhabi.
 
Ulivyokua hujitambui
Muislamu mmoja anazidi makafiri mia kama atisoma kweli Qur an inavyotakiwa
Hata wakimbizi wa Ukraine walihifadhiwa Zanzibar
Mtu mwenye akili timamu hawezi kwenda kanisani akaabudia sanamu ule ni ukosefu wa akili na mwisho mnaambiwa mpeane baraka sababu mshajulikana akili zenu hazina akili sawa sawa
Nakwambia je mimi kafiri lakini mbona na swala zenu tano na kila kitu mmeshindwa kumpiga kafiri Israel? Na amekaa hapo toka 1948. Wayahudi walishawaambia ukiuwa myahudi mmoja tunauwa wapalestina mia. Halafu baada ya kutulia mkawachokoza ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Ukiishi uarabuni miaka miwili ukirudi bongo utabadili dini I promise you. Amka kijana dunia haina huruma aisee ni mipango na malengo ya muda mrefu.
Nashukuru Mungu nilizaliwa mkristo na nimezaliwa Bara maana ningezaliwa pwani au visiwani hata hapa nilipo nisingefika. Huku ulaya nimepata favour nyingi sana kwa sababu ya ukatoliki wangu. Naomba uende Uarabuni uone kama utapata favour kwa sababu ya Uislamu wako ,,🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Kuna watu wameishi Uarabuni wanakubali kuwa uislamu sio dini baada ya kujionea lakini wanasita kuikacha watawaambia nini watoto na wake zao wakiacha ?
 
Saudi Arabia, UAE, Bahrain, Qatar, Jordan, Egypt na Morocco. Pia Oman na Algeria, zote zinaisaidia Israel wazi wazi au moja kwa moja au kupitia Marekani, Uingereza na nchi za NATO.

Uturuki wanafik, wanatangaza mengine wanatenda mengine.

Yemen, Syria, Iran, Lebanon na vikundi vya wapiganaji wa Iraq vinaiunga mkono Palestina bila unafik.

Sudan na Somalia wanawaunga mkono Palestina lakini wenyewe wana matatizo kwa sasa.

Kitaeleweka tu.
 
inachofanya Israel sasa kwenye jimbo la Gaza ni unyama ambao unapaswa kuzuiwa kivitendo na si kwa lawama za mdomo tu.

Kwa muda wote wa miezi 9 ya vita Israel imeachwa ifanye inavyopenda kwa watu wa Gaza.Wamehamishwa mara mia na sasa wamechoka na hata mikoba yao ya kuhama hama imewapotea.

Iwapo Israel inachotafuta haijakipata basi ni wakati wa kushikwa na kuambiwa inatosha na wacha.Ni kawaida ya binadamu kumzuia mtu katili anapoonekana anamuumiza mwengine kwa sababu yoyote ile.Hali ikifikia hapo huwa hatuanzi kuuliza nani mkosa bali tunazuia uovu na ukatili unaofanyika.

Hukumu za mahakama na lawama nyepesi hazina maana yoyote.Hata wale wanaojidai kuitambua Palestina hawajafanya lolote la maana kuwasaidia watu wa Gaza ambao hata sauti na machozi vimewakauka mwilini.
Bila kufanyika hivyo adhabu za kutoka kwa muumba tunaomba ziwashukie kila mmoja mwenye uwezo wa kuishika mkono Israel lakini amekaa kimya bila kufanya chochote cha maana.

Leo hii watu zaidi ya 70 wameuliwa eneo la Mawasi ambalo watu waliambiwa wakimbilie na ni sehemu salama.Watu na watoto wamebakia vipande vipande

An Israeli attack targeting the Hamas military commander kills at least 71 in southern Gaza

Yaani wafanyaje?....mlimchokoza wenyewe israel hivyo tulieni mpaka awamalize waliomchokoza
 
Back
Top Bottom