Muda umefika nchi za kiislamu na dunia iiambie Israel wacha na inatosha

Unachotaka ni kipi kwani.
Unachozungumzia kuhusu bandari na Dubari ndio ushahidi kwanini wawekezaji kutoka nchi za kiarabu hawaonekani Tanzania.Nyinyi mna roho mbaya na uhasidi mkubwa kwa waislamu na mnatoa vipaumbele kwa wazungu japo mwisho wa yote huwa wanaleta ushoga.Mnaona bora huo ushoga kuliko kuachia pesa za waarabu zikawekezwa Tanzania.
Mitambo ya Dowans ilipomilikiwa na mwekezaji kutoka Oman ikazushiwa mengi na mwishowe iliponunuliwa na mmarekani ikatajwa haina tatizo lolote.
 
Sahihi kabisa. Lakini HAMAS siyo Palestine. Palestine wamefuga joka nyumbani kwao. Idi Amin alipotuchokoza tulimpiga mpaka akakimbilia Saudi Arabia alikofia na kuzikwa. Tusingemtoa hadithi ingekuwa ni nyingine leo hii. HAMAS wasirudie kuichokoza Israel. Palestine walifukuze joka walilofuga kutoka nyumbani kwao. Hiyo ndiyo itakuwa suluhu ya mambo yote.
 
Rafiki yangu nitajie kuna nini wamefanya waarabu Tanzania maana ukiangalia NGO zote kubwa zinafadhiliwa na wazungu Kuanzia Amref mpaka ICAP. Mwarabu amefanya nini ? leta ushahidi hapa unampa mtu miradi wakati hajafanya chochote ? Waarabu wakijitahidi sana mtaletewa maji ili mtawadhe misikitini hapo ndio mwisho wake. Nimekutana na wazungu wkatoliki huku ujerumani wanafadhili shule BUKOBA wanatuma euro 300 000 kila mwaka. Haujatembea tembea uone ndio utajua. Hiyo Serengeti tuliyowafukuza wamasai na kuwapa waarabu. Familia ya waren buffet na Frankfurt Zoology Society wamemwaga pesa za kutosha kuboresha uhifadhi. Mpaka Mchengerwa akakimbia na gari ambalo FZS waliwapa wizara ya utalii.
Leta NGO ya waarabu inayofanya makubwa Tanzania. Wao wenyewe wanabaguana wao kwa wao halafu waje watusaidie. kwenye nchi zao kuna watu wa tabaka lachini wanaoishi maisha ya tabu kushinda sisi. Waache kuwasaidia wao halafu ndio waje kutusaidia sisi ?
 
Mimi nakuuliza swali tu si mashindano. Je umesoma kwenye bibblia takatifu Mungu mwenyewe wa kweli amenena ukiibariki Israel na wewe UTABARIKIWA ukiilani Israel na wewe UTALAANIWA. Angalia hizo nchi za kiislamu zinazobariki Israel ulizozitaja zilivyo stable na uchumi mzuri. Na angalia hizo akina Iran.

GOD BLESS AND PROTECT ISRAEL

ISRAEL THE LAND JEWS THE PEOPLE
 

Na sisi Tanzania ni maskini kwasababu tumeilani israel au??? Au tumeibariki?

Hizi dini za kuletewa hizi zinashida sana, ndio maana nilishahacha kwenda kanisani kitambo tu, kwasasa nimekua neutral tu, sitaki dini yeyote, dini yangu ni (haki na kuishi maisha ya upendo kwa wote)
 
Nadhani pia muda umefika nchi za kiislamu zikubaliane kwamba ISRAEL asichokozwe kwa namna yoyote ile....
 
Wala usiwe na fikra za kubishana, tuelimishane tu.

Una uhakika upi biblia ni maneno ya Mungu?

Nakuuliza, maneno ya Mungu yanaweza kukinzana (contradictory)?
 
Yemen na Syria ziko kundi la Somalia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…