OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Anza wewe kumuulizaView attachment 1767840
Kwa mwenendo wa ligi ulivyo ni dhahiri Simba Sc imeshakuwa bingwa wa VPL,tena amekuwa bingwa mara 4 mfululu. Ili Yanga awe bingwa inabidi Yanga afunge mechi zake zote 7 zilizobaki na Simba Sc apoteze mechi 4. Ni never ever.
Sasa basi, wakati ligi inaanza Eng.Hersi aliwaaminisha wana Yanga lazima wawe mabingwa mwaka huu. Na kama wakikosa ubingwa basi waulizwe wao GSM.
Nawakumbusha Yanga,muda wa kuwauliza badooo? kama bado mnasubiri nini kwa miujiza gani
Kumbukumbu ya vizazi vijavyo
kumbukumbu ya aibuKumbukumbu ya vizazi vijavyo
Use you're brain walau kdgo tu. WA MATOPENI NOW NAN?Wamatopeni mmeanza kuhoji mambo ya huku tena?
Yenu mmemaliza ya 20B na FCC?
Hatuna haja ya kumuuliza, juhudi zake zinaonekana na mapungufu yetu Kama Klabu tumeyaona. Ubabe wa Yanga katika makombe muda si mrefu utarejea. Bingwa Mara 27 hatishiwi nyau.
Bora ungebaki huko huko kwenye siasa,huku unaandika mashudu sana
Wamatopeni mmeanza kuhoji mambo ya huku tena?
Yenu mmemaliza ya 20B na FCC?
Yanga sports club[emoji196][emoji196][emoji196]wametuhakikishia wananchi bado wana nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa, hivyo tuwe na subraView attachment 1767840
Kwa mwenendo wa ligi ulivyo ni dhahiri Simba Sc imeshakuwa bingwa wa VPL,tena amekuwa bingwa mara 4 mfululu. Ili Yanga awe bingwa inabidi Yanga afunge mechi zake zote 7 zilizobaki na Simba Sc apoteze mechi 4. Ni never ever.
Sasa basi, wakati ligi inaanza Eng.Hersi aliwaaminisha wana Yanga lazima wawe mabingwa mwaka huu. Na kama wakikosa ubingwa basi waulizwe wao GSM.
Nawakumbusha Yanga,muda wa kuwauliza badooo? kama bado mnasubiri nini kwa miujiza gani