Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
-
- #21
Poleee sanaMmmh na yale maumivu weeee
Mi nilikaa miezi sita sijaguswa na sitakii kabisa
Mhhhhhh....Vipi kuhusu kauli ya kuwa wanawake huwa na hamu sana ya kufanya mapenzi baada ya kujifunguaβοΈπ€
Mtani embu elezea experience ππ€£ππ mie nilivumilia miezi 7 kwa mke wangu ππ€£πMhhhhhh....
Alikua amefanyiwa operation? Hapo sawa...Mtani embu elezea experience ππ€£ππ mie nilivumilia miezi 7 kwa mke wangu ππ€£π
hao binadamu wabishi naona nawe umeiwakilisha kwenye hiyo tag hapo chini,sasa sijaelewa yeye ndio kiongozi wa hao binadamu wabishi au..??π
Hapana alijifungua kawaida sema nilikuwa nje ya nchi nikamuacha hapa bongo sema kule nilipo kuwepo nilishindwa kuvumilia nikacheat π€£ππAlikua amefanyiwa operation? Hapo sawa...
Kwa sisi tuliopush ni siku 40 tuu..sasa hapo inategemea ntu na ntuee π π π
Miezi sita na huyo baba watoto anakuwa akifanyaje? Asee miezi sita bila bila utaua mtoto wa watu.Mmmh na yale maumivu weeee
Mi nilikaa miezi sita sijaguswa na sitakii kabisa
na tena ni wagumu kuelewa...
Kawaida yenu hyo haina kushangaa... π π πHapana alijifungua kawaida sema nilikuwa nje ya nchi nikamuacha hapa bongo sema kule nilipo kuwepo nilishindwa kuvumilia nikacheat π€£ππ