Muda wa kumuonesha trafiki leseni ni mpaka siku tatu kama umesimamishwa na huna

Muda wa kumuonesha trafiki leseni ni mpaka siku tatu kama umesimamishwa na huna

Wanajua sana hiyo sheria. Ukikomaa wanakuambia mwende kituoni.
Wengine wanakuacha.

Na wengi wakifanya hivi huu mradi wa Police utakufa kibudu.
Woga wetu, ndo mtaji wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, Naona umeamua kuziasi sheria za usalama barabarani na kwa makusudi kabisa unajaribu kuwafundisha wengine kuwa,..ukikamatwa unaendesha gari bila leseni si kosa.

Hii si kweli kabisa, vyuo vyetu vinamtaka dereva kuwa na leseni aendeshapo gari na hakuna namna unaweza kujitetea kuwa:.. sheria hazisemi kama huna ufanywe nini...

Siyo Tanzania tu, Dunia nzima ukikamatwa unaendesha gari bila leseni... utaadhibiwa !! Labda kama unaendeshea gari porini kusiko kuwa na wasimamizi wa sheria za barabarani.
 
Mkuu, Naona umeamua kuziasi sheria za usalama barabarani na kwa makusudi kabisa unajaribu kuwafundisha wengine kuwa,..ukikamatwa unaendesha gari bila leseni si kosa.

Hii si kweli kabisa, vyuo vyetu vinamtaka dereva kuwa na leseni aendeshapo gari na hakuna namna unaweza kujitetea kuwa:.. sheria hazisemi kama huna ufanywe nini...

Siyo Tanzania tu, Dunia nzima ukikamatwa unaendesha gari bila leseni... utaadhibiwa !! Labda kama unaendeshea gari porini kusiko kuwa na wasimamizi wa sheria za barabarani.
Usi generalized kwa kusema dunia nzima kua specific na cite relevant authority kama mtoa mada alivyofanya.

Mtoa mada yupo sahihi watu wengi hatujui haki zetu na ndo maana tunaonewa na traffic barabaran..

Ukisimamishwa na traffic na huna leseni kwa wakati huo una haki ya kumtaka akueleze ni kituo gani ukaipeleke hiyo leseni yako.. someni hizi sheria jamani sio mnapinga pinga bila relevant authority.

Babu Msomali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Bashiri kwanza nikupongeze kwa makala zako kupitia yale magazeti ya Habari leo, Nipashe n.k, in real life ni moja ya watu unaonisaidia vitu flani.

Swali langu: Je, kwa Tafsiri isiyo rasmi gari nakwenda kuiacha Polisi mpaka nikija kuonyesha leseni au huyo askari nitaachana naye vipi kwa wakati huo!?..
 
usi generalized kwa kusema dunia nzima kua specific na cite relevant authority kama mtoa mada alivyofanya..
Mtoa mada yupo sahihi watu wengi hatujui haki zetu na ndo maana tunaonewa na traffic barabaran.. Ukisimamishwa na traffic na huna lesen kwa wakat huo una haki ya kumtaka akueleze ni kituo gani ukaipeleke hiyo leseni yako.. someni hzi sheria jamani sio mnapinga pinga bila relevant authority.

Babu Msomali

Sent using Jamii Forums mobile app

Si utaipeleka kwa miguu,wakati huo gari umeiacha kituoni,maana ni wewe peke yako ndio una uhakika kama kweli wewe ni dereva uliyefuzu ukapewa cheti,askari hana uhakika.

Mara zote hata ukikutwa hujafunga mkanda unaulizwa leseni yako iko wapi???ili kupima ni kwa jinsi gani umefundishwa na unajua umuhimu wa huo mkanda.

Kwanini tu hiyo leseni isipate makazi ya kudumu humo ndani ya gari??kama ni kweli ipo??yaani unatoka ndani ya nyumba na funguo za gari ila leseni unaacha[emoji853][emoji853][emoji853]serious!!!.
 
swali gani unamuuliza huyooo si unaona hajibu maswali au ndo unataka aasi uzi wake 😀😀😀😀😀 ila akikujibu naomba unitag mkuu
by professional huyo unayemdharau ni "MWANASHERIA na MSHAURI WA SHERIA" Nimefurahi kumkuta humu na Ninamuheshimu sana!.
 
by professional huyo unayemdharau ni "MWANASHERIA na MSHAURI WA SHERIA" Nimefurahi kumkuta humu na Ninamuheshimu sana!.
ok itakuwa vyema maana najua atakuja kutujibu tulomuuliza maana 30 si ndogo.ila sheria inasema kuwa dereva yampasa kuwa na lesse yake pindi aendeshapo,anyway atakuja kutujibu bana
 
Mkuu hakikisha tu gari yako haina makosa zaidi ya wewe tu kutotembea na leseni, Hawachelewi kukubadilishia kosa na ukaambiwa gari yako tairi kipara au gari yako inatoa moshi sana.
hata ka ni hivyo unaweza ambiwa peleka gari kituoni mpaka ukalete lesseni yako nkweli hujatozwa hela ila utapoteza muda na gharama nyingi wakati mwingine kuliko hata hiyo 30, nadhani ni busara na kujitahidi kuwa nazo wakati wote kuepusha hizo mambo za kuambiwa kailete
 
Back
Top Bottom