Muda wa Kustaafu kwa watumishi wa Umma upitiwe Upya

Muda wa Kustaafu kwa watumishi wa Umma upitiwe Upya

Wazee ndio facilités kwenye hilo TAIFA

Wapumzike waache vijana sasa. Miaka 50 unafanya nini Ofisini

Hukuweza kufanya kitu in your 30 to 40 , utafanya nini in your 50 to 60 ?

Unaingia Ofisini unakutana na mzee anatumia Computer utasema anadumbukia kwenye madimbwi. Wazee wapo slow

Mambo
Ya hovyo
Ndio haya haya majinga yamo humu yanatetea matumbo yao yanaandika hoja mfu zisizo na maana kujilinda ,
 
Huwezi kuwaambia freshers wajiajiri wakati hakuna hayo mazingira kuanzia kwenye kodi hadi kwenye mazingira.

Mfano, Canada, wahitimu wanaweza kupeleka business Proposal yao kwa Wizara husika, mainjinia; kuomba ufadhili wa pesa wenye riba nafuu, gvt ikielewa proposal yenu mnapewa fund. Opportunities Kama hizi kwa nini uwaze kuajiriwa?

Unakuta mtumishi wa Umma, anamiaka 55 ofisini, anafanya nini? Kama alishindwa kuiletea taasisi maendeleo in his 40, ataweza kuleta maendeleo in his 55 or so ? Kama umeajiriwa in your 30s na una miaka 55 and still serikali inakuhitqji kama mtu muhimu, maana yake wewe sio kiongozi mzuri…..na ni selfish…. Hukuandaa watu ili uendelee kuhitajika even in your death .

Zamani ilikuwa sawa, wazee walikuwa na material sana na hatukuwa na technology ya kutosha hivyo vijana ilikuwa lazima wajifunze kwa old people . hata kwenye medicine ilikuwa ivo, doctor anaweza pewa mkataba wa nyongeza afike hata 75, not now…. We are guided by advanced science and technology , artificial intelligence and automation, everything is there depending on how you are proactive.

Ushauri wangu kwa Serikali dhidi ya Mabadiliko ya muda wa kustaafu:

1. Lazima vijana wawe encouraged Kustaafu in their 45. Iwe hivi, mtumishi akifika 45 na akaomba kustaafu, basi apewe PENSION yake yote ili aende mtaan akaendeleze ajira. Huu ndio Umri wa kazi na energy ipo juu, ni rahisi mtu huyu kutoa ajira kwa vijana wengi along the way. Wazee wengi wa 60 wakistaafu ndio wanaenda kuanzisha miradi mtaan, huwa inakufa na kupoteza pesa sababu energy ipo chini na hardly kufika 75 to 80. It is sad but true 😭

My dad retired in his 47, na akaingia mtaani. Ben akaja akampa appointment ya U DG kwenye taasisi ya Umma. Akafanya kazi 5 years only , in his 52 …. Akarudi kwa Ben akamuomba mawazo mapya yachukue Ofisi, I have done my share for 5 years in a row . watumishi wa sasa wanaona utumishi ni kama ndoa ya kikatolic, ndio yanazaa ujinga kama usinichezee nitakuharibia… unanijua mimi…. Yaani mtu anaongea as if yupo kwenye ofisi ya Baba yake, anasahau kama yeye ni public servant and he is temporarily located .

2. Umri wa kustaafu wa HIYARI uanzie miaka 48. Bado tunaamini mtu wa 48 ni kijana mwenye nguvu ataisaidia jamii mtaani. Huyu pia apewe PENSION zake kwa pamoja

3. Miaka 52 uwe ni UMRI wa lazima kustaafu, huyu apewe only 40% ya mafao yake.
4. Kazi za Umma ziwe za MKATABA MAALUM. Minimum 5 years, maximum 10 years

Kwenye Cycle ya maisha, in your 25 to 30 unatakiwa uwe umeshaamua unataka kuwa nani au nini!! In your 30 to 40 unafanyia kazi ulichoamua, ni golden age of building your empire . In your 40 to 47, unakuwa leader and showing the way , unaandaa wengine waje kutake over. Ukiona in your 50 bado unapambana na maisha, unaamka asubuhi saa kumi na moja kupambana na maisha, ujue in your 25 to 30, hukufanya decision sahihi, in your 40 to 47 , hukuandaa watu , mwendo wa kutoboa likelihood umepungua kwa asilimia. matokeo yake unakuwa mlarushwa na dili fake kwenye taasisi za umma.

Above 50 unatakiwa kuwa mshauri mkuu na mkusanyanya
Maokoto…. Unaamka saa mbili na kuchungulia miamala….that means you had better decision in your early age, and ukaandaa watu in your middle age . Hii ndio Philosophy ya wahindi, wasomali, wazungu and some arabs .

Naishauri serikali kuangalia namna ya kuwapatia fund wahitimu waliomaliza wakaungana let’s say 2, wakaja na proposal kwa mfano tunataka kuanzisha Hospital . Tutaajiri wahasimu, doctors nurses etc etc . wafamasia wakaungana wataanzisha viwanda vya dawa… hospital zitapata huduma za dawa from local , same to injinia
Pia , serikali ishushe muda wa kustaafu as proposed ili kuleta tija, utumishi isiwe kama ndoa za Kikatoliki.
Conflict of interest declaration; nina miaka 36 , ajira yangu ya kwanza ilikuwa mkoani Kagera, nilifanya kazi 48 hrs tu . Nikakimbia mazingira. Wizara ya Afya ikanipqngia Ocean Road. Nikafanya kazi OCean road 5.5 years na kukimbia.

Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada 🇨🇦
Well Said

Hivyo vyote vinategemea kitu kimoja cha muhimu "VISION"

Wewe umesema hivyo kwasababu yamkini una Vision, lakini take it from me....Watumishi wengi wa Tanzania hawana Vision, jaribu kumuuliza Mwajiriwa yeyote kuwa utaajiriwa mpaka lini,au ukifikisha 45 utakuwa umewekeza wapi au utakuwa na kampuni gani? HAJUI

Na Serikali nayo inawapenda watumishi hao waitumikie ndio maana haiwatengenezei mazingira, mbaya zaidi kwa TZ, SIASA ndio ina nguvu ya kuamua mpaka kutunga sera...juzi hapa ndio serikali imekuja na kitu kinaitwa DIRA YA TAIFA
 
Wewe fala unayeandika huu upuuzi umejiajiri kwenye shughuli gani na ukipata ufaulu gani ?
Takataka kabisa
Dumb fool !

Maandishi mengi ,logic na facts Hamna ,mavi mavi tu
Pumbavu ,kama na wewe ni muajiriwa wa serikali basi ndio maana CAG aliwahi sema serikali ina asilimia 80 ya majitu yasiyo na akili ,ufanisi wala common sense ,wewe uko kwenye hilo kundi
Na kwa akili hii ndo maana huwezi kuajiliwa na hautaajiliwa Kamwe. You are very depressed over normal.
 
Nchi hii imeridhi mambo yote ya hovyo ya kijamaa
Ujamaa ndio umedumaza akili za haya majitu , yakipata ajira za serikali yanaona ni kama mali zao au nyadhifa zao za kudumu , delivery na efficiency yenyewe ni almost zero
Kuleta visingizio mfu tu vya kipuuzi
Tunaweza Leta reform ya kupunguza mafao ,kwani huko private sectors watu wanafanyaje kazi ? , yaani ushindwe kufanya maendeleo kwa kutumiaa mshahara wako unaopata ,usubiri mafao , akili za kipuuzi kabisa hizi .
Ndio maana yanakufa masikini
 
Kama unataka uingie huko serikalini tafuta gap ujichomeke uanze kusifu na kuabudu acha kelele. Mawazo yako hayana uhalisia hata dahari.

Huku Mabumbini ukija na hizo akili zako na u much no😄😄😄😄 utajuta kuzaliwa.

Pia kama Canada hapakutoshi njoo huku mavumbini, stop dreaming!!!
 
Huwezi kuwaambia freshers wajiajiri wakati hakuna hayo mazingira kuanzia kwenye kodi hadi kwenye mazingira.

Mfano, Canada, wahitimu wanaweza kupeleka business Proposal yao kwa Wizara husika, mainjinia; kuomba ufadhili wa pesa wenye riba nafuu, gvt ikielewa proposal yenu mnapewa fund. Opportunities Kama hizi kwa nini uwaze kuajiriwa?

Unakuta mtumishi wa Umma, anamiaka 55 ofisini, anafanya nini? Kama alishindwa kuiletea taasisi maendeleo in his 40, ataweza kuleta maendeleo in his 55 or so ? Kama umeajiriwa in your 30s na una miaka 55 and still serikali inakuhitqji kama mtu muhimu, maana yake wewe sio kiongozi mzuri…..na ni selfish…. Hukuandaa watu ili uendelee kuhitajika even in your death .

Zamani ilikuwa sawa, wazee walikuwa na material sana na hatukuwa na technology ya kutosha hivyo vijana ilikuwa lazima wajifunze kwa old people . hata kwenye medicine ilikuwa ivo, doctor anaweza pewa mkataba wa nyongeza afike hata 75, not now…. We are guided by advanced science and technology , artificial intelligence and automation, everything is there depending on how you are proactive.

Ushauri wangu kwa Serikali dhidi ya Mabadiliko ya muda wa kustaafu:

1. Lazima vijana wawe encouraged Kustaafu in their 45. Iwe hivi, mtumishi akifika 45 na akaomba kustaafu, basi apewe PENSION yake yote ili aende mtaan akaendeleze ajira. Huu ndio Umri wa kazi na energy ipo juu, ni rahisi mtu huyu kutoa ajira kwa vijana wengi along the way. Wazee wengi wa 60 wakistaafu ndio wanaenda kuanzisha miradi mtaan, huwa inakufa na kupoteza pesa sababu energy ipo chini na hardly kufika 75 to 80. It is sad but true 😭

My dad retired in his 47, na akaingia mtaani. Ben akaja akampa appointment ya U DG kwenye taasisi ya Umma. Akafanya kazi 5 years only , in his 52 …. Akarudi kwa Ben akamuomba mawazo mapya yachukue Ofisi, I have done my share for 5 years in a row . watumishi wa sasa wanaona utumishi ni kama ndoa ya kikatolic, ndio yanazaa ujinga kama usinichezee nitakuharibia… unanijua mimi…. Yaani mtu anaongea as if yupo kwenye ofisi ya Baba yake, anasahau kama yeye ni public servant and he is temporarily located .

2. Umri wa kustaafu wa HIYARI uanzie miaka 48. Bado tunaamini mtu wa 48 ni kijana mwenye nguvu ataisaidia jamii mtaani. Huyu pia apewe PENSION zake kwa pamoja

3. Miaka 52 uwe ni UMRI wa lazima kustaafu, huyu apewe only 40% ya mafao yake.
4. Kazi za Umma ziwe za MKATABA MAALUM. Minimum 5 years, maximum 10 years

Kwenye Cycle ya maisha, in your 25 to 30 unatakiwa uwe umeshaamua unataka kuwa nani au nini!! In your 30 to 40 unafanyia kazi ulichoamua, ni golden age of building your empire . In your 40 to 47, unakuwa leader and showing the way , unaandaa wengine waje kutake over. Ukiona in your 50 bado unapambana na maisha, unaamka asubuhi saa kumi na moja kupambana na maisha, ujue in your 25 to 30, hukufanya decision sahihi, in your 40 to 47 , hukuandaa watu , mwendo wa kutoboa likelihood umepungua kwa asilimia. matokeo yake unakuwa mlarushwa na dili fake kwenye taasisi za umma.

Above 50 unatakiwa kuwa mshauri mkuu na mkusanyanya
Maokoto…. Unaamka saa mbili na kuchungulia miamala….that means you had better decision in your early age, and ukaandaa watu in your middle age . Hii ndio Philosophy ya wahindi, wasomali, wazungu and some arabs .

Naishauri serikali kuangalia namna ya kuwapatia fund wahitimu waliomaliza wakaungana let’s say 2, wakaja na proposal kwa mfano tunataka kuanzisha Hospital . Tutaajiri wahasimu, doctors nurses etc etc . wafamasia wakaungana wataanzisha viwanda vya dawa… hospital zitapata huduma za dawa from local , same to injinia
Pia , serikali ishushe muda wa kustaafu as proposed ili kuleta tija, utumishi isiwe kama ndoa za Kikatoliki.
Conflict of interest declaration; nina miaka 36 , ajira yangu ya kwanza ilikuwa mkoani Kagera, nilifanya kazi 48 hrs tu . Nikakimbia mazingira. Wizara ya Afya ikanipqngia Ocean Road. Nikafanya kazi OCean road 5.5 years na kukimbia.

Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada 🇨🇦
Kwenye pendekezo lako umeacha kushauri kitu muhimu sana, labda ufanye marudio uelezee vipi mfuko wa wastaafu utamudu malipo na kumudu changamoto za
1. Ongezeko kubwa la wastaafu,
2. ambao hawakuchangia ipasavyo yaani muda wa wao kuchangia umekua mfupi.
3. Malipo kwa wastaafu yatakua zaidi sana sababu wanastaafu Bado wadogo na mpaka wafike uzeeni Mungu awachukue itakuwa miaka mingi
Kwa kifupi Kuna changamoto ya pesa kulipia pendekezo lako.
 
Kwenye pendekezo lako umeacha kushauri kitu muhimu sana, labda ufanye marudio uelezee vipi mfuko wa wastaafu utamudu malipo na kumudu changamoto za
1. Ongezeko kubwa la wastaafu,
2. ambao hawakuchangia ipasavyo yaani muda wa wao kuchangia umekua mfupi.
3. Malipo kwa wastaafu yatakua zaidi sana sababu wanastaafu Bado wadogo na mpaka wafike uzeeni Mungu awachukue itakuwa miaka mingi
Kwa kifupi Kuna changamoto ya pesa kulipia pendekezo lako.
Upo sawa , je private entity wanamifumo thabiti …. I think we can learn
 
Taahira wewe , nilivyoona tu hiyo avatar yako nikajua huna ubongo ,bali mavi ya ng'ombe kwenye hilo fuvu lako


Utalia mtoto huna adabu wewe, pumbaf kabisa, hooligan, nitakutandika ushike adabu na utajutia, nyoko wewe, hujatiwa adabu, i can teach you a lesson, huna adabu, stupid..!!
 
Huwezi kuwaambia freshers wajiajiri wakati hakuna hayo mazingira kuanzia kwenye kodi hadi kwenye mazingira.

Mfano, Canada, wahitimu wanaweza kupeleka business Proposal yao kwa Wizara husika, mainjinia; kuomba ufadhili wa pesa wenye riba nafuu, gvt ikielewa proposal yenu mnapewa fund. Opportunities Kama hizi kwa nini uwaze kuajiriwa?

Unakuta mtumishi wa Umma, anamiaka 55 ofisini, anafanya nini? Kama alishindwa kuiletea taasisi maendeleo in his 40, ataweza kuleta maendeleo in his 55 or so ? Kama umeajiriwa in your 30s na una miaka 55 and still serikali inakuhitqji kama mtu muhimu, maana yake wewe sio kiongozi mzuri…..na ni selfish…. Hukuandaa watu ili uendelee kuhitajika even in your death .

Zamani ilikuwa sawa, wazee walikuwa na material sana na hatukuwa na technology ya kutosha hivyo vijana ilikuwa lazima wajifunze kwa old people . hata kwenye medicine ilikuwa ivo, doctor anaweza pewa mkataba wa nyongeza afike hata 75, not now…. We are guided by advanced science and technology , artificial intelligence and automation, everything is there depending on how you are proactive.

Ushauri wangu kwa Serikali dhidi ya Mabadiliko ya muda wa kustaafu:

1. Lazima vijana wawe encouraged Kustaafu in their 45. Iwe hivi, mtumishi akifika 45 na akaomba kustaafu, basi apewe PENSION yake yote ili aende mtaan akaendeleze ajira. Huu ndio Umri wa kazi na energy ipo juu, ni rahisi mtu huyu kutoa ajira kwa vijana wengi along the way. Wazee wengi wa 60 wakistaafu ndio wanaenda kuanzisha miradi mtaan, huwa inakufa na kupoteza pesa sababu energy ipo chini na hardly kufika 75 to 80. It is sad but true 😭

My dad retired in his 47, na akaingia mtaani. Ben akaja akampa appointment ya U DG kwenye taasisi ya Umma. Akafanya kazi 5 years only , in his 52 …. Akarudi kwa Ben akamuomba mawazo mapya yachukue Ofisi, I have done my share for 5 years in a row . watumishi wa sasa wanaona utumishi ni kama ndoa ya kikatolic, ndio yanazaa ujinga kama usinichezee nitakuharibia… unanijua mimi…. Yaani mtu anaongea as if yupo kwenye ofisi ya Baba yake, anasahau kama yeye ni public servant and he is temporarily located .

2. Umri wa kustaafu wa HIYARI uanzie miaka 48. Bado tunaamini mtu wa 48 ni kijana mwenye nguvu ataisaidia jamii mtaani. Huyu pia apewe PENSION zake kwa pamoja

3. Miaka 52 uwe ni UMRI wa lazima kustaafu, huyu apewe only 40% ya mafao yake.
4. Kazi za Umma ziwe za MKATABA MAALUM. Minimum 5 years, maximum 10 years

Kwenye Cycle ya maisha, in your 25 to 30 unatakiwa uwe umeshaamua unataka kuwa nani au nini!! In your 30 to 40 unafanyia kazi ulichoamua, ni golden age of building your empire . In your 40 to 47, unakuwa leader and showing the way , unaandaa wengine waje kutake over. Ukiona in your 50 bado unapambana na maisha, unaamka asubuhi saa kumi na moja kupambana na maisha, ujue in your 25 to 30, hukufanya decision sahihi, in your 40 to 47 , hukuandaa watu , mwendo wa kutoboa likelihood umepungua kwa asilimia. matokeo yake unakuwa mlarushwa na dili fake kwenye taasisi za umma.

Above 50 unatakiwa kuwa mshauri mkuu na mkusanyanya
Maokoto…. Unaamka saa mbili na kuchungulia miamala….that means you had better decision in your early age, and ukaandaa watu in your middle age . Hii ndio Philosophy ya wahindi, wasomali, wazungu and some arabs .

Naishauri serikali kuangalia namna ya kuwapatia fund wahitimu waliomaliza wakaungana let’s say 2, wakaja na proposal kwa mfano tunataka kuanzisha Hospital . Tutaajiri wahasimu, doctors nurses etc etc . wafamasia wakaungana wataanzisha viwanda vya dawa… hospital zitapata huduma za dawa from local , same to injinia
Pia , serikali ishushe muda wa kustaafu as proposed ili kuleta tija, utumishi isiwe kama ndoa za Kikatoliki.
Conflict of interest declaration; nina miaka 36 , ajira yangu ya kwanza ilikuwa mkoani Kagera, nilifanya kazi 48 hrs tu . Nikakimbia mazingira. Wizara ya Afya ikanipqngia Ocean Road. Nikafanya kazi OCean road 5.5 years na kukimbia.

Dr Megalodon
WHO Regional Office,
Rue 52, Ottawa
Canada 🇨🇦
Uwe miaka 68 kama ambavyo Mbowe anaenda kustaafu uenyekiti wake maana watumishi walioko makazini wanaamini hakuna mbadala wao wa kuweza kutimiza shughuli za kiutumishi mahali pa kazi
 
Ujamaa ndio umedumaza akili za haya majitu , yakipata ajira za serikali yanaona ni kama mali zao au nyadhifa zao za kudumu , delivery na efficiency yenyewe ni almost zero
Kuleta visingizio mfu tu vya kipuuzi
Tunaweza Leta reform ya kupunguza mafao ,kwani huko private sectors watu wanafanyaje kazi ? , yaani ushindwe kufanya maendeleo kwa kutumiaa mshahara wako unaopata ,usubiri mafao , akili za kipuuzi kabisa hizi .
Ndio maana yanakufa masikini
Nikusahihishe kidogo, mafao siyo charity kwa mfanyakazi, siyo huruma ya serikali, bali ni haki ya mtumishi (private/government sector). Pesa alilizokuwa anakatwa kwenye mshahara wake kwa miaka yote ya utumishi. Anapostaafu hurudishiwa ila kidogo kidogo ili asije kuzitumia vibaya akataabika baadae (hii kauli ya kuzitumia vibaya ilitolewa na serikali). Ndo maana wastaafu hupata nguvu ya kutaka serikali iongeze kikokotoo sababu pesa ni yao. Kiuhalisia pesa yote ya makato ilitakiwa arudishiwe mfanyakazi baada ya kustaafu, lakini kwa sababu za kihafidhina hupewa kidogo. Ndo maan wengine huacha ajira serikali I na kuingia uraini kupambana.

Ajira ni nzuri km hauna ila ukiipata hasa hizi ajira za wanyonge utajua moto wake. Ila heri kuwa nacho hata km ni kidogo kuliko kutokuwa nacho kabisa.

Kila la heri kwenye mapambano ya ajira.
 
Ndo mnataka muachiwe kila kitu pindi mkitoka vyuoni.
Kwani huko vyuoni wengi ni Wazee au matunda ya wazee.
 
Back
Top Bottom