Muda wote tu unawaza Kusafiri 'Majuu' kwanini huku nyuma Wajanja 'wasikupige' na Kujitajirisha?

Muda wote tu unawaza Kusafiri 'Majuu' kwanini huku nyuma Wajanja 'wasikupige' na Kujitajirisha?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aeleza kutoridhishwa na kasi ya uendeshwaji wa bandari.

Chanzo: ikulu_mawasiliano

Na kwa Kukusaidia hupigwi tu hapo Bandari bali unapigwa zaidi katika Utalii, Wizara ya Fedha na katika Madini.

Si ulisema Wewe utakuwa Mpole na ukampiga hadi Madongo Mtangulizi wako (sasa Kalala Mazima) kuwa alikuwa Mkali na anaharibu, ila Wewe utakuwa Unatuchekea tu Watanzania ili tukuone Unatupenda na Unatuhurumia?

Sasa unalalamika nini tena? Nakushauri tu Mama (Rais) tafadhali endelea tu Kutudekeza, Kutupetipeti Sisi Wanao na wala 'Usitufokee' na hata 'tukikuibia' Wewe tutoe 'Kiupole' na Uteue Wengine sawa?

Ninapenda mno Marais walio Wakali.
 
Magu alishawahi kusema ukiona kiongozi anasema huko nje Kuna hela nyingi tu ujue mmepigwa
 
Nilikwenda hosptali ya Serikali kuanzia juzi sijapata huduma nimepanga foreni ndefu kila nikikaribia kumuoma Dr. Mara anaondoka kama vile ameitwa sehemu! Kuna wakati nimemsikia Dr anasema anakwenda kunywa chai nami nikaheshimu Kwani huwezi kufanyakazi bila Kula lakini alirudi baada ya masaa manne!

Ngoma ikalala kesho yake ikawa kama Jana mara kalipie pale mara x-ray mbovu njoo kesho na nilipokwenda kesho kunakipimo unatakiwa ukapime nje ya hosptali maabara elekezi!

Yote haya sikuwahi kuyaona inaweza Kuwa ni kipindi hiki Tu lakini kilichoniuma ni Wale wagonjwa wenzangu waliojaa Sura za kukata tamaa Waliokuwa wamezidiwa mlangoni Kwa Dr. wakipitwa kama vile kufika kwao pale ni kosa kubwa linalowaudhi hawa wauguzi wa taifa.

Nadhani kabla ya katiba mpya na mambo kadha wa kadha tuungane kuona utumishi wa umma unawekewa mikakati na sheria za kipekee Kwani nilichojionea nashindwa kukitofautisha na Ujambazi unaofanyika TENA ule wa kutumia silaha Jamani Kuna watu wanaroho mbaya.
 
Nilikwenda hosptali ya Serikali kuanzia juzi sijapata huduma nimepanga foreni ndefu kila nikikaribia kumuoma Dr. Mara anaondoka kama...
Nyie wote ndio wanyonge aliosema mwenda zake. Yaani mmekaa mnamuangalia anawafanya yote haya?
 
Watoa huduma za Afya na askari polisi ni watu wenye roho mbaya sana. Utafikiri hawajasomeshwa na kodi zetu.Na nyie vijana ma Daktari mnaojiriwa miaka hii acheni tamaa.
 
Watoa huduma za Afya na askari polisi ni watu wenye roho mbaya sana. Utafikiri hawajasomeshwa na kodi zetu.Na nyie vijana ma Daktari mnaojiriwa miaka hii acheni tamaa.
Kodi gani hizo mkuu?
 
Kwani unazani unapoenda shule za msingi walimu, madawati , umeme na maji unalipwa na ela kutoka wapi?
Si tunalipa ada tena siyo hayo uliyoyasema pekee: tulilipia hadi umeme, usafiri, ulinzi, maktaba, tours na zaidi tukalipa na fedha ya tahadhari. Kodi zenu zipo wapi hapo?
 
Si tunalipa ada tena siyo hayo uliyoyasema pekee: tulilipia hadi umeme, usafiri, ulinzi, maktaba, tours na zaidi tukalipa na fedha ya tahadhari. Kodi zenu zipo wapi hapo?
Hiyo michango yote haiwezi kufika hata nusu ya bajeti ya shule
 
Nilikwenda hosptali ya Serikali kuanzia juzi sijapata huduma nimepanga foreni ndefu kila nikikaribia kumuoma Dr. Mara anaondoka kama vile ameitwa sehemu! Kuna wakati nimemsikia Dr anasema anakwenda kunywa chai nami nikaheshimu Kwani huwezi kufanyakazi bila Kula lakini alirudi baada ya masaa manne!

Ngoma ikalala kesho yake ikawa kama Jana mara kalipie pale mara x-ray mbovu njoo kesho na nilipokwenda kesho kunakipimo unatakiwa ukapime nje ya hosptali maabara elekezi!

Yote haya sikuwahi kuyaona inaweza Kuwa ni kipindi hiki Tu lakini kilichoniuma ni Wale wagonjwa wenzangu waliojaa Sura za kukata tamaa Waliokuwa wamezidiwa mlangoni Kwa Dr. wakipitwa kama vile kufika kwao pale ni kosa kubwa linalowaudhi hawa wauguzi wa taifa.

Nadhani kabla ya katiba mpya na mambo kadha wa kadha tuungane kuona utumishi wa umma unawekewa mikakati na sheria za kipekee Kwani nilichojionea nashindwa kukitofautisha na Ujambazi unaofanyika TENA ule wa kutumia silaha Jamani Kuna watu wanaroho mbaya.
Mkuu ni hospital gani hiyo? Watumishi wa afya mishahara midogo lugha chafu toka kwa wakubwa wao
 
Si tunalipa ada tena siyo hayo uliyoyasema pekee: tulilipia hadi umeme, usafiri, ulinzi, maktaba, tours na zaidi tukalipa na fedha ya tahadhari. Kodi zenu zipo wapi hapo?
Yaelekea wewe mweupe sana kichwani.
Ipo hivi,bila serikali kupitia kodi za wananchi kutoa ruzuku kwenye sector ya elimu na misamaha mingine ya kodi.hiyo ada unayojivunia kuilipa ingetakiwa iwe hata mara tano yake.sasa kwa vile serikali inatoa ruzuku ndiyo maana umeweza kuafford hicho kiasi kidogo unachojitapa kukilipa.
 
Nilikwenda hosptali ya Serikali kuanzia juzi sijapata huduma nimepanga foreni ndefu kila nikikaribia kumuoma Dr. Mara anaondoka kama vile ameitwa sehemu! Kuna wakati nimemsikia Dr anasema anakwenda kunywa chai nami nikaheshimu Kwani huwezi kufanyakazi bila Kula lakini alirudi baada ya masaa manne!

Ngoma ikalala kesho yake ikawa kama Jana mara kalipie pale mara x-ray mbovu njoo kesho na nilipokwenda kesho kunakipimo unatakiwa ukapime nje ya hosptali maabara elekezi!

Yote haya sikuwahi kuyaona inaweza Kuwa ni kipindi hiki Tu lakini kilichoniuma ni Wale wagonjwa wenzangu waliojaa Sura za kukata tamaa Waliokuwa wamezidiwa mlangoni Kwa Dr. wakipitwa kama vile kufika kwao pale ni kosa kubwa linalowaudhi hawa wauguzi wa taifa.

Nadhani kabla ya katiba mpya na mambo kadha wa kadha tuungane kuona utumishi wa umma unawekewa mikakati na sheria za kipekee Kwani nilichojionea nashindwa kukitofautisha na Ujambazi unaofanyika TENA ule wa kutumia silaha Jamani Kuna watu wanaroho mbaya.
Hospital gani hiyo ulioenda siku nne ujapata huduma unapanga foleni tu?
 
Yaelekea wewe mweupe sana kichwani.
Ipo hivi,bila serikali kupitia kodi za wananchi kutoa ruzuku kwenye sector ya elimu na misamaha mingine ya kodi.hiyo ada unayojivunia kuilipa ingetakiwa iwe hata mara tano yake.sasa kwa vile serikali inatoa ruzuku ndiyo maana umeweza kuafford hicho kiasi kidogo unachojitapa kukilipa.
Ada gani ambayo tumelipiwa na serikali?

Mimi nimelipa ada kuanzia darasa la Kwanza hadi mwaka wa 5 chuoni.

Hizo kodi zenu mmenitolea lini?
 
Mkuu Umeandika makamasi matupu.
 
Hate the game , not the players, bandari panatakiwa ubadilike mfumo , sio watendaji.
Jpm hakusafiri nje na bado bandari ilimiuumiza kichwa .
 
Ada gani ambayo tumelipiwa na serikali?

Mimi nimelipa ada kuanzia darasa la Kwanza hadi mwaka wa 5 chuoni.

Hizo kodi zenu mmenitolea lini?
Sizani kama ulimaliza hata sekondari achana na chuo otherwise ungekuwa umeshaelewa tunachosema
 
Back
Top Bottom