Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan aeleza kutoridhishwa na kasi ya uendeshwaji wa bandari.
Chanzo: ikulu_mawasiliano
Na kwa Kukusaidia hupigwi tu hapo Bandari bali unapigwa zaidi katika Utalii, Wizara ya Fedha na katika Madini.
Si ulisema Wewe utakuwa Mpole na ukampiga hadi Madongo Mtangulizi wako ( sasa Kalala Mazima ) kuwa alikuwa Mkali na anaharibu, ila Wewe utakuwa Unatuchekea tu Watanzania ili tukuone Unatupenda na Unatuhurumia?
Sasa unalalamika nini tena? Nakushauri tu Mama ( Rais ) tafadhali endelea tu Kutudekeza, Kutupetipeti Sisi Wanao na wala 'Usitufokee' na hata 'tukikuibia' Wewe tutoe 'Kiupole' na Uteue Wengine sawa?
Ninapenda mno Marais walio Wakali.