Muda wote tu unawaza Kusafiri 'Majuu' kwanini huku nyuma Wajanja 'wasikupige' na Kujitajirisha?

Kuna issue ya ndege ikilipuka nitakukumbusha.
 
Ada gani ambayo tumelipiwa na serikali?

Mimi nimelipa ada kuanzia darasa la Kwanza hadi mwaka wa 5 chuoni.

Hizo kodi zenu mmenitolea lini?
Umeshalipia ulinzi wako binafsi na ulinzi wa maeneo yote unayopita na kufanya biashara? Ukishalipia hayo uje na risiti onyesha upewe jambo lingine la kulipia ili usitolewe kodi na wengine.
 
Kwani katiba ya sasa au kanuni zinasema watumishi wa umma wawe wazembe? Issue ni usimamamizi wa hao wafanya kazi. Sasa kama SSH amesema wafanya kazi walijengewa nidhamu ya uoga lakini si kuwa eti wanafanya kazi kwa budii kutoka moyoni. TUtaona mengi mwaka huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…