Mbumbumbu Katika ubora. Ulijambua ndo nini [emoji16][emoji28]Viva FEI... ulijambua
Kwamba ameenda bure?hakuna dau la usajili hapo. Sema wamekubali yaishe uvunjaji wa mkataba baina ya pande mbili.
hata hivyo anapotea hatacheza mpira we subiriKama sio siasa dogo alikua anapotea ulikua haujiulizi mbona haendi CAS? anyway cha msingi issue imeisha kila mtu ashike 5O zake
Lazima Kuna pesa amelipa ,...au yanga wamelipwa kiasi Fulani cha pesa kutoka vyao husikahakuna dau la usajili hapo. Sema wamekubali yaishe uvunjaji wa mkataba baina ya pande mbili.
kama hujui wamelipa milioni 300Nilipoona tu hii sentensi " dau halitawekwa wazi" nikajua hapa kuna watu wanaficha fedheha waliyoipata baada ya kumzungusha muda mrefu kijana.Hatimae wamerudi pale pale walipokuwa wanakataa.
sasa kama hujui azam wamelipa mil 300Wale waliokuwa wanamwambia Hersi asimamie kanuni na asikubali kutii 'ombi' la Mama nadhani leo watakuwa dissapointed sana.
Tuliwaambia lile ombi litatekelezwa haraka sana na Mama atapelekewa mrejesho.Dogo ameondoka kwa masharti mepesi sana ndiyo maana 'dau' lake la kuondoka halitawekwa wazi kuepusha fedheha kwa waliokuwa wanamfanyia zengwe last born wa Taifa.
Ni wachezaji wangapi hapa bongo dau lao hua haliwekwi wazi?Nilipoona tu hii sentensi " dau halitawekwa wazi" nikajua hapa kuna watu wanaficha fedheha waliyoipata baada ya kumzungusha muda mrefu kijana.Hatimae wamerudi pale pale walipokuwa wanakataa.
kama hujui kitu kaa kinya azam wamelipa mil 300hakuna dau la usajili hapo. Sema wamekubali yaishe uvunjaji wa mkataba baina ya pande mbili.
Zile pesa alizochangiwa zinarudishwa au veeeepeTaarifa za uhakika kutoka ndani ya Yanga ni kuwa tayari klabu hiyo imemalizana na Fei Toto na andiko la kumalizana naye lipo kwenye hatua za mwisho kupitiwa kabla ya kuwekwa kwenye platforms za Klabu ya Yanga.
Anaelekea Azam FC kwa dau la usajili ambalo halitawekwa wazi kutokana na makubaliano ya pande zote mbili.
Mnamsifu toto badala ya kumsifu aliyesema mgogoro uishe, hata angekuwa na msimamo mkubwa kiasi gani, bila jumba jeupe kumsitiri alikuwa amepotea. Mama amemsitiri dogo yani ni sawasawa wewe uwe na ugomvi na mtu then atokee mtu kuwasuluhisha ujisifu umeshinda, aushukuru sana wakati.Kweli nimeamini katika maisha simamia unachokiamini hata Kama kitakugharimu lakimi malipo yake mbele ni makubwa sana
Watu kama kina Edo kumwembe walimkejeli Santa Dogo na maandiko Yao Leo kipo wap?
Viva feisal Toto nilikuelewa toka mwanzoni..sasa nimeprove ile imani niliyokuwa nayo kwako
Acha kutudanganya hapa,dau halijawekwa wazi na nina uhakika hawataweka wazi kuficha fedhehakama hujui wamelipa milioni 300
Ni mtu mjinga pekee anaweza amini hersi angesimamia kanuni, kiongozi kama Rais akiomba sio ombi ni kutekeleza. Theoretically unaweza sema ombi ila ni maelekezo.Wale waliokuwa wanamwambia Hersi asimamie kanuni na asikubali kutii 'ombi' la Mama nadhani leo watakuwa dissapointed sana.
Tuliwaambia lile ombi litatekelezwa haraka sana na Mama atapelekewa mrejesho.Dogo ameondoka kwa masharti mepesi sana ndiyo maana 'dau' lake la kuondoka halitawekwa wazi kuepusha fedheha kwa waliokuwa wanamfanyia zengwe last born wa Taifa.
Tunamsifu kwakuwa amepata alichokitaka ambacho ni kuondoka Yanga.Msimamo wake wa bila kuyumbishwa mwisho wa siku umewafedhehesha Yanga na ile kamati ya mchongo ya TFF wakiwemo kina Mgongolwa waliokuwa wanamletea mazonge Last born wa Taifa hadi Mama akaingilia kati.Mnamsifu toto badala ya kumsifu aliyesema mgogoro uishe, hata angekuwa na msimamo mkubwa kiasi gani, bila jumba jeupe kumsitiri alikuwa amepotea. Mama amemsitiri dogo yani ni sawasawa wewe uwe na ugomvi na mtu then atokee mtu kuwasuluhisha ujisifu umeshinda, aushukuru sana wakati.
Jana hapa walikuwa kama wamepagawa,tulikuwa tunawauliza kama wanaelewa uzito wa lile ombi la Mama wakawa wanaruka ruka na maneno mengi.Leo hii wanaanza kutuletea blah blah za dau la 350MNi mtu mjinga pekee anaweza amini hersi angesimamia kanuni, kiongozi kama Rais akiomba sio ombi ni kutekeleza. Theoretically unaweza sema ombi ila ni maelekezo.
Kabisa mkuu. La muhimu Fei acheze.Wale waliokuwa wanamwambia Hersi asimamie kanuni na asikubali kutii 'ombi' la Mama nadhani leo watakuwa dissapointed sana.
Tuliwaambia lile ombi litatekelezwa haraka sana na Mama atapelekewa mrejesho.Dogo ameondoka kwa masharti mepesi sana ndiyo maana 'dau' lake la kuondoka halitawekwa wazi kuepusha fedheha kwa waliokuwa wanamfanyia zengwe last born wa Taifa.
Kaka maslahi muhimu, kule mshahara mil4 huku 16Safi sana...Wenzake walitoka huko kuja Yanga, yeye anaelekea huko....
Mm nafikiri tungempongeza baada ya majibu ya cas, kilichofanywa ni kudekezwa tu, jiulize bila mama nini kingetokea, hekima tu imetumika sheria zimewekwa pembeni. but kikanuni jamaa alipuyanga so tumsifu aliiyesema mgogoro uishe maana yale ni mamlaka na kauli ya mkuu ni sheria.Tunamsifu kwakuwa amepata alichokitaka ambacho ni kuondoka Yanga.Msimamo wake wa bila kuyumbishwa mwisho wa siku umewafedhehesha Yanga na ile kamati ya mchongo ya TFF wakiwemo kina Mgongolwa waliokuwa wanamletea mazonge Last born wa Taifa hadi Mama akaingilia kati.
Wako wapi waliokuwa wanamkejeli Feisal na washauri wake baada ya kufungwa midomo.
Msimu ujao ataenda Simba , Azam ni mlango usio na makeleleHuyu mnywa urojo ana roho ya kiaskari kabisa yani haiishi hadi imeisha ndio hii sasa, alafu wale walikua wanasema anaenda Simba wakome vidomo domo sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahhata hivyo anapotea hatacheza mpira we subiri