Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
We ni linafikiiKinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.
No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.
Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.
Nitarudi.
Linafiki Hilo GENTAMYCINEMkuuu mbona hujasema chochote kuhusu ushindi wa mnyama
Hao walishakuwa magalasa kitambo sana, wanatesa kwa nguvu ya sangoma.Kinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.
No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.
Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.
Nitarudi.
Ila Genta jaman aaaaaahNi Mpumbavu tu pekee ndiyo alikuwa akijua kuwa kwa Simba SC ambayo Makundi yote Hasimu yameungana baada ya kumaliza tofauti zao na wamefungua / wamekunjua Mioyo yao jana ingefungwa na Horoya FC.
Kupitia Kwako na GENTAMYCINE nakuambia hili huku nikijiamini kabisa kuwa Simba SC ilifungwa na Raja Casablanca FC kwa Usaliti wetu wenyewe kwa wenyewe, ila tungeungana kwa Umoja wetu Siku ile Simba SC angeshinda na hakuna Timu itakayokuja hapa Tanzania Kucheza na Simba SC iliyo na Umoja na Nguvu ikashinda hata ikiwa Liverpool FC yangu au PSG yenu au ile Real Madrid FC yenu.
Nimemaliza.
Na wasiende hatutaki Shobo. Yaani Kapombe anaachwaje achwaje kwa mfanoKinachochelewesha tu Taarifa yao kutolewa ni jinsi gani Waliowaacha watahimili aibu na chuki zao Binafsi dhidi ya hawa Mabeki Wawili wa pembeni Shomary Kapombe na Mohammed Hussein Tshabalala.
No Upumbavu na Uwendawazimu uliovuka mipaka kwa Wachezaji Wakubwa, Wanaocheza Michuano mikubwa ya Kimataifa, Mahiri kwa Nafasi zao na wana Uzoefu wa kutosha Kuachwa katika Kikosi cha Timu ya Taifa ya Taifa Stars.
Natamani nimtaje hapa huyo Kiongozi mwenye Chuki na hawa Wachezaji Wawili kwakuwa tu walikataa kutoa 10% ya Jasho lao kwa Mpuuzi huyo wa TFF.
Nitarudi.
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]Ila Genta jaman aaaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Breaking News na ichukueni kutoka Kwangu GENTAMYCINE na muiamini pia kwa 100% sawa?Shomari Kapombe na Mohammed Hussein waitwe kwenye timu ya taifa wakati mwanzo hawakuitwa.....
Nini faida au hasara ya kubadili maamuzi ya mwanzo?
Kama una Ushahidi wa 100% kuwa Mimi au ID yangu hii pekee na tukuka hapa JamiiForums ya GENTAMYCINE ilisema hivyo weka hapa tafadhali na kama huna basi ni vyema tu Ukanyamaza ili usinilazimishe nikaanza Kukudharau ukizingatia Wengine tuna Dharau Kali na za Asili pia sawa!?,[emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]alisema 200%hafuzu simba
Asante Mkuu, karibu na tuko pamoja.Hahaja genta ahsantee kunipa Raha asubuhi
Kiongozi Mmoja Mpuuzi hivi hapo TFF na ambaye nimecheza nae Mpira akiwa Makongo Shuleni na Mimi nikiwa Timu yangu ( Chama langu ) la Kawe Rangers miaka ya 90 kuelekea ya 2000.Swali langu ni moja tu nani alimpa kocha list ya wachezaji wa timu ya taifa, maana kocha kama kocha asiinge acha kuwaita
Kama Wewe ulivyo Lipumbavu.We ni linafikii
Lipumbavu hili Jay4 bigLinafiki Hilo GENTAMYCINE
Umekumbuka Kunywa leo Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili unaokusumbua?Hao walishakuwa magalasa kitambo sana, wanatesa kwa nguvu ya sangoma.
Tayari.Umekumbuka Kunywa leo Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili unaokusumbua?
Yaan ana hataree huyu baba. Lol[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3]
Wewe na Shunie mngekuwa Wake zangu kama Dini yangu ya Kikristo na Dhehebu langu Tukuka Duniani la Katoliki ( siyo lile Feki la Mtume Wao Mwamposa ) lingeruhusu Kuoa Wake wengi hakyanani nyie Wawili mngekuwa Wake zangu na Ningefurahi ile mbaya.Yaan ana hataree huyu baba. Lol
Mgogoro bundle.Ulikuwa unatumika ban Nini?
Ahsanteeeee Genta, [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Wewe na Shunie mngekuwa Wake zangu kama Dini yangu ya Kikristo na Dhehebu langu Tukuka Duniani la Katoliki ( siyo lile Feki la Mtume Wao Mwamposa ) lingeruhusu Kuoa Wake wengi hakyanani nyie Wawili mngekuwa Wake zangu na Ningefurahi ile mbaya.
Nawapenda kuliko vile nyie mjuavyo.