Mufindi: Afungwa Jela miaka 20 kwa kukutwa na kilo 32 za nyama ya Tandala

Well Noted Mkuu....
 
Daaah inauma Sana wanyama wetu njaa zetu
2019 ndg yangu alikutwa anapika kilo moja swala kainunua kutoka Kwa muuzaji simkumbuki jina bana nyie pale Arusha alikaa jela zaidi ya siku 90
Huyo ni mnunuzi tuu

Ifike mahali kuwe na limit ya wanyama kuuwawa Ila wengine wafanywe kitoweo please
 
Mambo kama hayo ndio starting point ya kudai haki kwa wananchi wanyonge hapo ilitakiwa kukinukisha kwa maandamano Nchi nzima kupinga huo uonezi miaka 20 kisa nyama ya tandala!!! What's a shithole country?
 
Kesi za kipuuzi hizi, law society muwe mnatembea nchi nzima kuwasaidia bure watu wanaofungwa kwa upuuzi kama huu.

Wanyama ni viumbe tumepewa na Mungu bure kutumia kwa kotoweo.
hivi hizi mahakama Huwa hazihusiki na yale majizi yanayotajwa kwenye ripoti ya CAG? wanahangaika na watu na vitoweo, kuwaonea tu watu!!!!

shithole countries!
 
akate rufaa, tutamchomoa kabla ya saa nne asubuhi
 
Sheria tunazojiwekea ni kandamizi kws upande mwingine, Na watu wanakutwa na ufisadi wa mabilioni ya pesa, anapewa kifungo cha nje au faini laki 5, Binadamu tulikubaliana tuwekeane utaratibu wa kuishi duniani, Ila waliopo chini ndo wanaumia na kutengwa. Mahakama ingemsamehe na kumpa kitalu cha uwindaji kama wale wengine.
 
wapo pia wawindaji wanaozidisha idadi kwenye vitalu vyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…