sampuli nyingi
Senior Member
- May 4, 2022
- 187
- 298
Duh polen sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu 18 wamefariki dunia papo hapo, katika ajali ya gari Wilayani Mufindi katika barabara Kuu ya Iringa-Mbeya.
View attachment 2255971
View attachment 2255981
Source: ITV
========
Watu 18 wamefariki dunia papo hapo baada ya basi dogo aina ya Costa kugongana uso kwa uso na lori la mizigo karibu na eneo la Changarawe, Mafinga mkiani Iringa.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, ACP Allan Bukumbi amethibitisha kutokea vifo hivyo akisema kuwa taarifa ziaidi zitatolewa baadaye
"Ni kweli ajali imetokea na inasadikika watu zaidi 10 wamepoteza maisha papo hapo," amesema.
Wakizungumza kwa njia ya simu baadhi ya watu walio katika eneo la tukio wamesema mpaka saa tatu asubuhi, jitihada za kuokoa majeruhi na kutoa miili ya watu zinaendelea.
Eneo ambalo ajali hiyo imetokea, ndilo ambalo basi la Majinja liliangukiwa na lori mwaka 2015 na kuua zaidi ya watu 40
CHANZO: MWANANCHI
Ndiyo ongeza hapo 8 kupata hesabu kamili.hii leo tar 10 au
inaonyesha kuna mwinuko ,dalili inaonyesha moja alikuwa anaovertakeduuh yani sehemu peupee hivyoo jamani au ndo ajali haina kinga.. wapumzike kwa amani
Toa taarifa kamili wewe Mzee Mgaya. Nina maslahi na hilo eneo la Wilaya ya Mufindi kwa ujumla wake.Imetokea ajali mbaya iliyohusisha basi dogo aina ya Coaster na lori
Watu 18 wamekufa eneo la tukio
Source ITV habari
Hapo inaelekea Coaster aliyanuainaonyesha kuna mwinuko ,dalili inaonyesha moja alikuwa anaovertake
Mwenye Coaster ndiye mwenye makosa alikuwa kushoto linakopanda lorry mwenye lorry yeye alikuwa ameshawajibika kwa kosa lake kwa kuhamia upande wa kulia ila coaster ghafla akarudi upande wake ndo yakatokea hayo.hapo lazima kuna mmoja alikuwa wrong lane
Taarifa kilo itatolewa na RPCToa taarifa kamili wewe Mzee Mgaya. Nina maslahi na hilo eneo la Wilaya ya Mufindi kwa ujumla wake.
Hiyo hapoToa taarifa kamili wewe Mzee Mgaya. Nina maslahi na hilo eneo la Wilaya ya Mufindi kwa ujumla wake.
Coaster ilikuwa inatoka wapi, kwenda wapi! Chanzo cha ajali ni nini!!
Kabisa mkuuheshimu sana uhai, usiabudu vya dunia maana vyote tutaviacha.
Ajali haina kinga ila ka huna roho ngumu kwny bus usikae mbele asee jamaaa wanaovateki kihasara sana hata mkifika salama kosa kosa za uso kwa uso na malori huwa kibao....Madereva wengi hawafuati sheria ,wanabahatisha. Ukisafiri na basi halafu ukakaa siti ya mbele madereva wanaovatake pasiporuhusiwa ila bahati tu mbele hakuna gari inayokuja. Na bado abiria tuna/wanacheka na dereva.
Mkuu hivi umejipa hata muda wa kusoma habari kamili? Maana hiki ulichoandika na ambacho RPC amezungumza ni tofauti kabisa.Sad indeed.
Hii coaster siyo zile wanajiita Hakuna Kulala huwa wanasafiri usiku tu hao jamaa mwendo wao ni kama kimondo kuna siku nilimsikia nadhani mkuu wa mkoa wa Iringa akitoa tamko zisionekane barabarani na ajali hii inawezekana ikawa uchovu wa driver pamoja na hali ya ukungu ktk mikoa mingi kwa sasa,ukiiangalia hiyo picha ni kama Coaster ilikuwa wrong lane lorry likamkataa kwa kurudi kulia kisha Costa tena akataka arudi upande wake ndo akajaa.
Mungu azipokee roho za wahanga majeruhi awape afuweni na pole kwa wote waliowapoteza wapendwa wao.