Muft mkuu wa waislamu tusaidie kudhibiti misikiti mtaani, uhuru umezidi kwenye vipaza sauti

Mawaidha yanatakiwa yasikike kwa walio ndani tu. Mbona kuna misikiti mingi mjini lakini sijawahi sikia hizo kelele. Misikiti ya uswazi ndio ina hayo mambo
Mawaidha yanayozungumziwa sio ya Mchana wala jioni mkuu ni Mara baada ya adhana ya 1 Fajir (Subuh)
 
"Kitanda ni jeneza, shuka ni sanda, amka muislamu wewe ukaswali, adhabu ya kabri....". And stuffs like that[emoji23]
Chumba ni kaburi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bas wakianza mawaidha hapoo, woiiiih
 
ninacho ona hapa watu wanaogopa mawaidha ya baada ya adhana ya asubuhi kisa ni waovu sasa yale maneno yanawachoma. na waovu wanaogopa kifo balaaa

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Rafiki yangu pale MABIBO - MAKUTANO anapoishi Kuna "kijikanisa" Cha Mpendwa mmoja hivi ndio anaibukia kwenye huduma nadhani, pembeni Kuna Pub (anasema wanakesha) then MITA kama 50 hivi Kuna Msikiti.
 
"Kitanda ni jeneza, shuka ni sanda, amka muislamu wewe ukaswali, adhabu ya kabri....". And stuffs like thatπŸ˜‚
Kumbe Daawah inakuingia umeanza kuhifadhi hata maneno yake in out inakuingia sana na huo ndio ukweli wenyewe.
 
Lakini na kuna yale makanisa ya upepo wa kisulisuli pia ya kukesha alhamisi na Jmosi miziki na maombezi ya makelele ni kero hili nalo waliangalie vizuri
 
Hapa ni sawa mkuu baada ya adhana mic zizimwe na baada ya misa mizike iwe indoor maana eeh hatulali kwa masebene
 
Labda warokole wa mtaani kwenu ndo wana hiyo hekima [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hasa kwenye stori pale, hiyo adhana waendelee nayo ni alam yangu, ila kwenye mastori happy naona huwa wanajiongelesha wenyewe na huku kwetu wanapenda sana mastori ya wanawake
Nipo zangu tandale,muadhini wa alfajir akishamaliza kuadhini,utasikia 'nimekuamsha uje kuswali,we unachukua kapu lako safari kariakoo'
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hatareee
 
We jamaa unatumia kwa kufikiria nini sasa mtu anayezitaka hizo kelele si aende akazifuate huko ziliko, uliona wapi kitu chenye madhara kikaruhusiwa kwa kuangalia watu wanaokifurahia badala ya watu wanaodhurika, hizo kelele zikipigwa marufuku itampunguzia mtu asiyezipenda madhara ya kukosa usingizi ila huyo anayezipenda itampunguzia kitu gani
 
Halafu mkiambiwa kwamba dini yenu haina uvumilivu na dini nyingine na inalazimisha kila mtu awe mfuasi wake mnakuwa wakali, sasa aliyewaambia hayo mawaidha kila mtu anahitaji kuyasikia ni nani kwanini hamheshimu haki za wengine, naunga mkono hiyo adhana yaa kuitana ila baada ya hapo zimeni vipaza za sauti vya nje hayo mawaidha peaneni wenyewe humo misikitini sasa shida ipo wapi hapo
 
Tatizo unaandika kwa kupanic na hasira kwa hyo huwezi kuelewa point yangu kwa sababu umesoma maelezo yangu kwa chuki bila kutumia Busara...

Narudia tena unachokiona wewe ni kero kuna mwingine kwake anataman kiwepo muda wote..
Ingekuwa kama kelele hizo zina madhara kama unavyosema bhasi naamini Wazi zisingekuwepo na zingepigwa marufuku..
Sheria haiendeshwi kwa matamanio ya mtu bali kwa matakwa ya taratibu na Kanuni..
 
Mimi sio Muislamu wala sio mkristo bado umeweka chuki na udini na kwa bahati nzuri kwangu na bahati mbaya kwako sipo katika udini..
Nilichojaribu kukiongea kinatokana na utaratibu wao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…