Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
🤣Huyo kaekwa na mfumo wa bakwata ya Nyerere ambayo ni kitengo cha usalama wa Taifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣Huyo kaekwa na mfumo wa bakwata ya Nyerere ambayo ni kitengo cha usalama wa Taifa
Var ya kitamaduni ni kali mnoo...Mbona Kigoma mwezi umeandama mapema tu?
Shem gani tena huyu asiyetaka kunitoa out anataka niungue vidole mapema hiviiWw shem si kasema kesho utulie home upike anakuja na rafiki zake 😂😂😂
Mbona mnayachezea mahusiano hivi??
Bff ngoja nilale kesho niwahi kunyoosha Abaya nikale eidShem gani tena huyu asiyetaka kunitoa out anataka niungue vidole mapema hivii
Ulifunga Hadi unyooshe abaya pasaka hamkutusalimia 😂😂😂😂mligoma had salamuBff ngoja nilale kesho niwahi kunyoosha Abaya nikale eid
😂😂😂 wizo mbona mkali sana?? Kuna kula biriani kesho kweli??Ulifunga Hadi unyooshe abaya pasaka hamkutusalimia 😂😂😂😂mligoma had salamu
Mashallah unamikono mizuri.😍Yani hapa ndo naizoom hapa kama ipo 😂View attachment 2959090
😂😂😂😂😂😂 wizo mbona mkali sana?? Kuna kula biriani kesho kweli??
Asante sanaMashallah unamikono mizuri.😍
Hata haichekeshi.Labda lile jiwe waliokuwa wanaluzunguka huku wakitamka ...... FULUSI........FULUSI.....FULUSI.... Bado halijawapa jibu
N picha tu afsaaa 😂😂 c wangu😁😁😄😄😄😄Basi una mguu uliokakamaa hatari!
Kawaida yake tumesha muzoea huyoYaani mufti Kachana mkeka