Mufti Watanzania Dkt. Abubakari Zuberi Ally amfanyia dua maalum Paul Makonda

Mufti Watanzania Dkt. Abubakari Zuberi Ally amfanyia dua maalum Paul Makonda

Attachments

  • tapatalk_1488873578481.jpeg
    tapatalk_1488873578481.jpeg
    79.3 KB · Views: 1
View attachment 2830417

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka zaidi.

Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano na Viongozi wa Dini katika kufanya kazi, kwani anatambua ndio sehemu kubwa inayochochea uwepo wa Amani katika Taifa kutokana na maombi yao.

Kwa upande wa Mufti Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally amempokea na kumfanyia Dua maalum ndugu Paul Makonda na kumuahidi kuendeleza ushirikiano na nakuombea katika kuhakikisha anafanya kazi zake vyema kwa lengo la kumsaidia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , kwa manufaa ya Watanzania na Taifa kwa Ujumla.

1 December, 2023
#KaziIendelee

View attachment 2830420View attachment 2830423
Huyu Mufti kusema ukweli huwa namwelewa sana. Ni Mzalendo na anaipenda nchi yake kwa dhati. Laiti kama tungekuwa na viongozi wote wa dini wenye kaliba yake!
 
View attachment 2830417

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka zaidi.

Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano na Viongozi wa Dini katika kufanya kazi, kwani anatambua ndio sehemu kubwa inayochochea uwepo wa Amani katika Taifa kutokana na maombi yao.

Kwa upande wa Mufti Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally amempokea na kumfanyia Dua maalum ndugu Paul Makonda na kumuahidi kuendeleza ushirikiano na nakuombea katika kuhakikisha anafanya kazi zake vyema kwa lengo la kumsaidia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , kwa manufaa ya Watanzania na Taifa kwa Ujumla.

1 December, 2023
#KaziIendelee

View attachment 2830420View attachment 2830423
Sasa nasubiria tuu, 2025 mnipe tuu maua yangu pale nilipo waambia Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke hivyo you can never tell for sure with politics, anything can happen!, hivyo bado inawezekana kabisa bandiko hili Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... ni very valid, Maza anamalizia tuu awamu ya Magufuli, kisha 2025, the game is on again!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Ukisoma kwa jicho la ndani kabisa, ukituliza kichwa kweli na kuacha akili ya kawaida ifanye kazi, utagundua kijana yule machachari anayo nguvu kubwa tusioijua.

Mimi naamini kabisa kijana akituliza kichwa kidogo, akakua kifikra zaidi, busara kdg ikaongezeka... no doubt atakua ni mtoto pekee mpakwa mafuta wa kuja kutuvusha kwenda kaanani.
Niliwahi kuandika hapa jukwaani kwamba Makonda ndio Rais ajaye baada ya Samia raia wakanishukia but time will tell. Jamaa ana uthubutu wa hali ya juu na anakubalika na wananchi kupita maelezo.

Jamaa ni jasiri na haogopi mtu wala kitu chochote.

Hayumbishwi wala hatishwi na kitu chochote.

Halafu ana " a saviour aura " watu wakimuona wana muona mkombozi na mtetezi wa maisha yao...

Adui zake wana tetemeka na kumuogopa kama mtu alie toa sadaka ya kuwatisha na kuwoagopesha adui zake vile.

Watu kama Makonda ndo wanapataga wafuasi watiifu kwa sababu kwa nature ya binadamu huwa anamkubali na kumuamini sana binadamu jasiri.

Halafu ni lichapa kazi kinoma noma.

Jamaa atakuja kuwa Rais na watu watashangaa.
Kiukweli 2025 kuna watu watashangaa sana!, na watashangaa sana!.
P
 
Kiukweli 2025 kuna watu watashangaa sana!, na watashangaa sana!.
P
Wewe piga John walker yako tu leo ijumaa, huyo Manyama hana lolote.

Hakuna kosa litakalojirudia kumkabidhi Msukuma nchi hii.

Chukuwa hii post fungia kwenye maktaba yako.

Mtu pekee Msukuma ambaye unaweza kupewa nafasi ya juu ambayo siyo Urais ni Dotto Biteko tu.

Huyo jambazi wenu anatumika kama tingatinga ili wenye akili wapite na Prado zao bila bughuza.

Mwambieni aongeze rushwa Bakwata wale hawaachi bahasha na wanakuombea dua la uongo.

Hakuna undugu kati ya mwislamu na Makafir amini hili.
 
View attachment 2830417

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka zaidi.

Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano na Viongozi wa Dini katika kufanya kazi, kwani anatambua ndio sehemu kubwa inayochochea uwepo wa Amani katika Taifa kutokana na maombi yao.

Kwa upande wa Mufti Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally amempokea na kumfanyia Dua maalum ndugu Paul Makonda na kumuahidi kuendeleza ushirikiano na nakuombea katika kuhakikisha anafanya kazi zake vyema kwa lengo la kumsaidia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , kwa manufaa ya Watanzania na Taifa kwa Ujumla.

1 December, 2023
#KaziIendelee

View attachment 2830420View attachment 2830423
Takataka
 
Dogo anakitafuta cheo cha ukatibu mkuu kwa udi na uvumba. Natamani wampe hicho cheo, ili wagawane fito.
 
Wewe piga John walker yako tu leo ijumaa, huyo Manyama hana lolote.

Hakuna kosa litakalojirudia kumkabidhi Msukuma nchi hii.

Chukuwa hii post fungia kwenye maktaba yako.

Mtu pekee Msukuma ambaye unaweza kupewa nafasi ya juu ambayo siyo Urais ni Dotto Biteko tu.

Huyo jambazi wenu anatumika kama tingatinga ili wenye akili wapite na Prado zao bila bughuza.

Mwambieni aongeze rushwa Bakwata wale hawaachi bahasha na wanakuombea dua la uongo.

Hakuna undugu kati ya mwislamu na Makafir amini hili.
Hahahah

Makonda mzoefu na dua zao

Ova
 
Hajui JD zake huyo hayo mambo wala hayana umuhimu kwa cheo chake
 
Waislamu tumefikiwa.
1.Kaburini Chato - target ni watanzania waliompenda Magufuli
2.Kardinali Pengo- target ni wakatoliki
3.Mkuu wa Majeshi Mstaafu Mabeyo-watanzania/ vyombo vya ulinzi na usalama/mzee wa heshima kanda ya ziwa
4.Leo Sheikh- waislamu
5. Baba Askofu Malasusa- Walutheri
6.Mbowe- Maridhiano/umoja wa kitaifa 4R
7. Ruto - Hustlers 😂
7. Wanamalizia kwa Madiba

Tunajiweka safi through power of association.Yaani mlitaka aonekane na Gekul? Anayepanga matukio na appearance yuko vizuri. Zanzibar mwaja lini yakheee?

In the sun there is great heat and light, and by reflecting the greatness of the sun’s light, the moon in night also appears great. Actually the moon is by nature dark and cold, but in association with sun it has become accepted as great. Hence by association of the Great, one appears great.

—A.C. Bhaktivedanta Swami Prabhupada
 
View attachment 2830417

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka zaidi.

Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano na Viongozi wa Dini katika kufanya kazi, kwani anatambua ndio sehemu kubwa inayochochea uwepo wa Amani katika Taifa kutokana na maombi yao.

Kwa upande wa Mufti Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally amempokea na kumfanyia Dua maalum ndugu Paul Makonda na kumuahidi kuendeleza ushirikiano na nakuombea katika kuhakikisha anafanya kazi zake vyema kwa lengo la kumsaidia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , kwa manufaa ya Watanzania na Taifa kwa Ujumla.

1 December, 2023
#KaziIendelee

View attachment 2830420View attachment 2830423
Jambo la Kheri sana.
Ni mwanzo mwema na mzuri pia.
Kazi na sala....
 
Dogo anajua kuwa mbele ya muda, mabosi wake wanafurahi wakiona dogo anafanya kazi yao vizuri.
 
Mufti au mganga wa kienyeji ? Namfahamu alikuwa ni mganga wa kienyeji akiishi pale Ufipa St. Karibu na ofisi za chadema.
 
Yaani unamwamini makonda,sabaya,Gekul,chalamila delete ccm
 
Mufti au mganga wa kienyeji ? Namfahamu alikuwa ni mganga wa kienyeji akiishi pale Ufipa St. Karibu na ofisi za chadema.
Hujakosea kabisa

Miaka nenda rudi alikuwa akifanya hizo shuguli za -----

Ngoja tuishie hapo

Ova
 
Back
Top Bottom