Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hayo ni majungu sasa, kama unauhakika na hiyo kazi kwanini unaogopa kuitaja?Hujakosea kabisa
Miaka nenda rudi alikuwa akifanya hizo shuguli za -----
Ngoja tuishie hapo
Ova
Kafir wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni majungu sasa, kama unauhakika na hiyo kazi kwanini unaogopa kuitaja?Hujakosea kabisa
Miaka nenda rudi alikuwa akifanya hizo shuguli za -----
Ngoja tuishie hapo
Ova
Una panic nini sasaHayo ni majungu sasa, kama unauhakika na hiyo kazi kwanini unaogopa kuitaja?
Kafir wewe.
Hili limekuwa taifa la maigizo.Huyu mtu akamatwe kwa uhalifu wake na sio kuombewa dua!
Ni alhad Mussa Salum ndio alisema " kwani Makonda ndio nani?"😂😂🔥
Viongozi wa Dini ya Kiislamu wengi ni kama Wana " Njaa" kwa sababu Siyo matapeli wa SadakaZuberi nae ana tumbo na njaa jamani
Good! Kama nakumbuka vizuri Makonda alipokuwa Mkuu wa mkoa Dar aliwajengea BAKWATA jengo la ghorofa nne ikiwemo ofisi ya Mufti mkuu!
Huyu mtu akamatwe kwa uhalifu wake na sio kuombewa dua!
Sio Mufti ana Hekima sana hajawahi tamka hivyo labda umechanganyaHuyu Si ndo mufti alimkana hamjui kipind kile baada TU ya kutumbuliwa u-rc?
Ulichosema Hakiendani Na Mada,kamuombea Makonda Na Sio CCMViongozi wa dini hao hao wakiikosoa serikali ma chama chao wanaambiwa waache kuchanganya dini na siasa.
Mzee wa michanganyo , kumekuchaView attachment 2830417
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka zaidi.
Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano na Viongozi wa Dini katika kufanya kazi, kwani anatambua ndio sehemu kubwa inayochochea uwepo wa Amani katika Taifa kutokana na maombi yao.
Kwa upande wa Mufti Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally amempokea na kumfanyia Dua maalum ndugu Paul Makonda na kumuahidi kuendeleza ushirikiano na nakuombea katika kuhakikisha anafanya kazi zake vyema kwa lengo la kumsaidia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , kwa manufaa ya Watanzania na Taifa kwa Ujumla.
1 December, 2023
#KaziIendelee
View attachment 2830420View attachment 2830423
Ana makalio makubwa kama ya baba yako mzaziMakonda makalio makubwa kwa kujipendekeza! Huwa hajambo.
Ana makalio makubwa kama ya baba yako mzazi
VIONGOZO wa Dini zetu ni Wanasiasa kabisaView attachment 2830417
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, Itikadi, Uenezi na Mafunzo ndugu Paul Makonda leo tarehe 1 December 2023 amemtembelea na kumshukuru Mufti wa Tanzania Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally kwa kumuombea na kuanae katika nyakati zote alizo zipitia Ndg Makonda na kuendelea kupata Baraka zaidi.
Mwenezi Makonda amefanya hivyo ikiwa ni muendelezo wa ushirikiano na Viongozi wa Dini katika kufanya kazi, kwani anatambua ndio sehemu kubwa inayochochea uwepo wa Amani katika Taifa kutokana na maombi yao.
Kwa upande wa Mufti Dkt. Abubakary Zuberi bin Ally amempokea na kumfanyia Dua maalum ndugu Paul Makonda na kumuahidi kuendeleza ushirikiano na nakuombea katika kuhakikisha anafanya kazi zake vyema kwa lengo la kumsaidia Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan , kwa manufaa ya Watanzania na Taifa kwa Ujumla.
1 December, 2023
#KaziIendelee
View attachment 2830420View attachment 2830423