Mufti Watanzania Dkt. Abubakari Zuberi Ally amfanyia dua maalum Paul Makonda

Hujakosea kabisa

Miaka nenda rudi alikuwa akifanya hizo shuguli za -----

Ngoja tuishie hapo

Ova
Hayo ni majungu sasa, kama unauhakika na hiyo kazi kwanini unaogopa kuitaja?
Kafir wewe.
 
Kwahiyo Mufti amekatiwa zile za TASAF.
 
Kituo kinachofuata kwa Askofu malasusa kisha kwa mwamposa huku wasabato mkijiandaa.

Vilinge hivyo ni given kama Pai.
 
Mzee wa michanganyo , kumekucha
Haya ngoja tuone mwisho wake
 
VIONGOZO wa Dini zetu ni Wanasiasa kabisa

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…