Wacha tujitahidi kumaliza tofauti zetu, naamini tutafanikiwa.Huwa nawapenda mashabiki wawazi na wakweli kama wewe. Hili liko Wazi Sana ndani ya Simba kuna shida Kwa Sasa, malizeni mgogoro wenu tunataka soka Sisi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatareeeeh sana.Hawez kuwa Phil Mimi nitakuwa mtu wa mwisho kuamini Kama ni Moses Phil
Haya sawa, bas tuyaache haya, na tusiombee yatokee.Hakuna mgogoro wowote Simba
Mkuu mpira ni mfumo, CHIKWENDE alikiwa ball dancer mzuri sana, anabeba kijiji anapiga anafinya anakung'uta plus stamina lkn alipofika Simba ikaonekana wazi kuwa hawezi fit kwenye mfumo ule.wewe Phiri umemjulia JF
Sasa Mkurugenzi unataka kupingana na maelezo ya mwalimu ambaye amepewa mkataba wa mwaka mmoja, huku akiwekewa malengo lukuki kama vile anaviziwa ashindwe ili atimuliwe kama wenzake!Muda wa kufanya hayo yote upo wapi kumbuka sasa hivi zimebaki week tatu ligi ianze
hahahahaha,au kashindwa kumtumiaKiungo aliesajiliwa kwa pesa nyingi?! Atakua nani huyu?! Ngoja tusubiri soon zitajulikana mbivu na mbichi japo siamini kama kuna usajili wa kigeni mbovu kwa Simba msimu huu
OkeyNaomba nikusahihishe kuhusu Chiko. Hakusajiliwa kabisa na Nabi, Yanga wenyewe wanajua. Yule kiungo wao Mukoko hakutaka kuwekwa kabisa benchi wakati wao walitaka Aucho acheze maana ndo mkataba wake ulivyotaka. Wakalazimika kumtema mmoja na timu iliyomchukua haikutaka kutoa fedha ndo maana wakawapa mchezaji majanga Kwa majeruhi Chico Ushindi anayecheza nafasi tofauti na waliyemtoa.
Shabiki mandazi utamjua tu. Si lazima kila jambo utukane.Chiko hakusajiliwa na Yanga alikuja kwa mkopo kwa makubaliano ya kusajiliwa tumia akili japo najua huna
Wapi imeandikwa ni kiungo??Kiungo aliesajiliwa kwa pesa nyingi?! Atakua nani huyu?! Ngoja tusubiri soon zitajulikana mbivu na mbichi japo siamini kama kuna usajili wa kigeni mbovu kwa Simba msimu huu
Unakumbuka guadiaola anakuja city, taarifa alizipata wakati huo Manuel peregrine alikuwa mzigoni city, jamaa akanza kusuggest wachizaje ambao angalau angependa wawemo kwa kuanzia!
Jamaa aliwahi kumpigia simu Gabriel Jesus kuwa ana malengo nae na kwamba akija city atakuwa bora zaidi, Sterling timu ya taifa alikuwa anabezwa Sana jamaa akamchek akamtia moyo mpaka dogo kaondoka city bado Yuko [emoji91]
Kumbuka gundogan wakat anakuja city, alikuwa na majerehi yaliyomweka mda mrefu pending lakin jamaa alilazimisha aje hivyo hivyo!
Tanzania tunahitaji kubadilika
Kumbe Simba inawaza kombe la CUF sawaSimba sio level ya yanga, yanga Ni level ya akina mtibwa , toto , ihefu nk, Simba Ni level nyingine ya juu Sana usiifananishe na uto, akili ya Simba inawaza nusu final kwnda mbele ya CUF champions league, yanga anawaza kombe la shirikisho , mapinduzi na ngao ya jamii!
Usiifananishe Simba na Kinye FC
Wewe mrembo mkoko na Chico ilifanyika swap dealShabiki mandazi utamjua tu. Si lazima kila jambo utukane.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahNi M. Piri. Maki hataki hata kumuona
Anae miliki kombe la mapinduzi ni nani?Hahahaha, mambo ya vyama na mpira hayo, bila Shaka nlieleweka