Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 1,115
- 2,464
Mugalu anatuchulia niaje sana yani game ya leo alichofanya anakijua yeyeHivi Mugalu anatuchukuliaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mugalu anatuchulia niaje sana yani game ya leo alichofanya anakijua yeyeHivi Mugalu anatuchukuliaje?
Polenj Sana makolokoloMugalu anatuchulia niaje sana yani game ya leo alichofanya anakijua yeye
Mkuu Simba kazidi kwenye possession tu ila shots on target Yanga ameongoza. Simba wamefungwa huku wakipigiwa mpira mwingi.Umeangalia possession, simba leo kaposses mpira kuliko Yanga. Asilimia 54 kwa 46
Hata nafasi za kufunga katengeneza nyingi tu.
Aaah kumbe we mtopolo.Sema kawaida tu sema Mugalu leo alikuwa na wenge.Polenj Sana makolokolo
usimteteee ujinga kwani si alikuwa likizo huko nchi yenye uchawi mkubwa afrika ????? hana kipaji MAZAFAKA YAANI NDIYE STRAIKA WETU NAMBARI MOJA? MAMAMAMEEEEEMugalu hebu aende nyumbani kwao mara moja....
Ataipata maana.....
#DaimaMbeleNyumaMwiko
Hat trick ni magoli matatu yanayofungwa upande mmoja, hapo mawili yanahesabika upande wake moja upande wa mpinzani, hivyo sio hat trick. MTU akijifunga goli 3 hiyo ni hat trick ya kujifungaIn today Match agaist Burnley
1st goal was own goal
2nd & 3rd goal ware for his team.
He scored hat trick or not???
Mnaanza kauli zenu chafu,then baadae mje kumtukana hapa kama mnavyomtukana Mugalu sasa hivi.Hebu mpe heshima Kanoute aisee!!, hakuna mchezaji pale utopolo anaemfikia.
Wenzake wamemuangusha.
KumekuchaUkitazama hata mechi ya mazembe tulikufa sabab ya uzembe wake .
Ifike wakat Simba wakubali kuwa Mugalu na boko wamechoka .
Kibu Denis atafutiwe pacha maisha yaendelee .
Alafu kocha nae aache kukariri Ana mbinu za mwaka Jana tayar washamsoma abadir mfumo pia aache kukariri kuchezesha wachezaj wale wale.
Nikiri tu waz mm ni Simba damu Ila kwa huu msimu Simba kubeba ubingwa wajipange Sana Tena sana ,yanga safar hii Wana timu nzur hasa ile pacha ya bangala na aucho plus fei italeta shida Sana kwa timu nyingi.
Pia yanga wamepata mtu sahihi wa kumalizia yule mayele namwona akitupia Sana huu msimu.
Tadeo lwanga kwa mpira ule huu msimu kadi zitamhusu Sana .
Kanoute ni mtu Sana yule Ila waswas wangu upo kwa lwanga pale katikat anacheza Sana faulo .
Mugalu Mugalu Mugalu hapana aisee kila cku yeye tu jaman ,hapana nasema Bora aje okwi kuziba nafas yake.
Acha utoto wee soma hivyo videsa vyako vya international law utakuja kufeli bure mitihani. Kukosa magoli hata ulaya wanakosaTafadhalini sana tuondoleeni huyu mcheza striker mkabaji na mcheza off side kila wakati kwenye club yetu kwani kazi ya kufunga magoli iliisha mshinda siku nyingi. Kiwango hana na hastahili kuchezea timu kama Simba.
🤣😂😁Iyo ni brace kitaalam mkuu..
Ila mugalu umbwa yule bac tu!
Chama huyu huyu mlishampigia kelele hafanyagi kitu mechi za Yanga. Eti leo amekuwa mwamba.swali na unafungwa na umechezaje?
Turudi pale pale. Chama alikuwa mpaka abebwe na wenzie au alikuwa anabeba team yeye mwenyewe? Tena kwenye nyakati ngumu..
Sasa huyu mariaroza unadai anaangushwa na wenzie means anabebwa tena kiungo?