MUGALU: Persona non grata

MUGALU: Persona non grata

Umeangalia possession, simba leo kaposses mpira kuliko Yanga. Asilimia 54 kwa 46

Hata nafasi za kufunga katengeneza nyingi tu.
Mkuu Simba kazidi kwenye possession tu ila shots on target Yanga ameongoza. Simba wamefungwa huku wakipigiwa mpira mwingi.
 
Tatizo la mashabiki wa timu ndogo, ni kumsaidia kocha kuchambua nani anafaa na nani hafai. Na inastaajabisha kuona wachezaji wasiohitajika na kocha ndio wananunuliwa
 
Mugalu hebu aende nyumbani kwao mara moja....

Ataipata maana.....

#DaimaMbeleNyumaMwiko
usimteteee ujinga kwani si alikuwa likizo huko nchi yenye uchawi mkubwa afrika ????? hana kipaji MAZAFAKA YAANI NDIYE STRAIKA WETU NAMBARI MOJA? MAMAMAMEEEEE
 
Na haturingi..
20210925_233724.jpg
20210925_232024.jpg
 
In today Match agaist Burnley

1st goal was own goal
2nd & 3rd goal ware for his team.

He scored hat trick or not???
Hat trick ni magoli matatu yanayofungwa upande mmoja, hapo mawili yanahesabika upande wake moja upande wa mpinzani, hivyo sio hat trick. MTU akijifunga goli 3 hiyo ni hat trick ya kujifunga
 
Nimefuarahi sana kuwa sasa hivi mmepata muda wa kujadili na kufuatilia mambo ya timu yenu badala ya kuzusha kila aina ya uzandiki kuhusu Yanga. Safi sana.
 
Ukitazama hata mechi ya mazembe tulikufa sabab ya uzembe wake .

Ifike wakat Simba wakubali kuwa Mugalu na boko wamechoka .

Kibu Denis atafutiwe pacha maisha yaendelee .

Alafu kocha nae aache kukariri Ana mbinu za mwaka Jana tayar washamsoma abadir mfumo pia aache kukariri kuchezesha wachezaj wale wale.

Nikiri tu waz mm ni Simba damu Ila kwa huu msimu Simba kubeba ubingwa wajipange Sana Tena sana ,yanga safar hii Wana timu nzur hasa ile pacha ya bangala na aucho plus fei italeta shida Sana kwa timu nyingi.

Pia yanga wamepata mtu sahihi wa kumalizia yule mayele namwona akitupia Sana huu msimu.

Tadeo lwanga kwa mpira ule huu msimu kadi zitamhusu Sana .

Kanoute ni mtu Sana yule Ila waswas wangu upo kwa lwanga pale katikat anacheza Sana faulo .

Mugalu Mugalu Mugalu hapana aisee kila cku yeye tu jaman ,hapana nasema Bora aje okwi kuziba nafas yake.
Kumekucha

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Tafadhalini sana tuondoleeni huyu mcheza striker mkabaji na mcheza off side kila wakati kwenye club yetu kwani kazi ya kufunga magoli iliisha mshinda siku nyingi. Kiwango hana na hastahili kuchezea timu kama Simba.
Acha utoto wee soma hivyo videsa vyako vya international law utakuja kufeli bure mitihani. Kukosa magoli hata ulaya wanakosa
 
swali na unafungwa na umechezaje?
Turudi pale pale. Chama alikuwa mpaka abebwe na wenzie au alikuwa anabeba team yeye mwenyewe? Tena kwenye nyakati ngumu..

Sasa huyu mariaroza unadai anaangushwa na wenzie means anabebwa tena kiungo?
Chama huyu huyu mlishampigia kelele hafanyagi kitu mechi za Yanga. Eti leo amekuwa mwamba.
 
Back
Top Bottom