Muhammad al-Jabari Kiongozi mkubwa wa magaidi wa Islamic Jihad anayeongoza kitengo cha kutengeneza silaha za maangamizi auawa leo asubuhi

Muhammad al-Jabari Kiongozi mkubwa wa magaidi wa Islamic Jihad anayeongoza kitengo cha kutengeneza silaha za maangamizi auawa leo asubuhi

Sisi tunaoona mbali ndio tunaelewa
Wabongo mnafurahisha sana.
Uone mbali wapi bana weweee!??
Netanyahu amekanusha kuhusika wewe ushahidi wa Israel kuhusika unautoa wapi!?
Just ultering nonsense.
 
Huyo so gaidi ni freedom seekers. Islamic jihad ni resistance movement dhidi ya udhalimu wa kikoloni
 
Back
Top Bottom