Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Muhammad El Wahad: What is behind Corona Virus is business and financial gains

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Januari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.

Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.

Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.

Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.

wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.

Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.

Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.

Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.

Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.

Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.
 
He's not wrong, it came from China.
Ndio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.
 
Ndio imeanzia China mji wa Wuhan,wachina wangeweza kuupeleka nchi yeyote Kama wao wanahusika,wamarekani walijua kuwa mji wa Wuhan Kuna maabara ya virus,
Mwezi oktoba mwaka Jana,kulikua na mazoezi ya kijeshi China,yakihusisha nchi mbalimbali ikiwemo marekani,
Wanajeshi wa marekani wakiwa huko,walikua wakitembelea soko moja la vyakula pale Wuhan,Mara kwa Mara.
Mwezi mmoja baadae ugonjwa ukaripuka Wuhan na ulianzia maeneo ya pale sokoni,
Ina maana jamaa walitarget na kuupandikiza ugonjwa pale ili ionekane eti tabia ya wachina kula supu za popo zimechangia,
Lengo la marekani ilukuwa Ni kuslow down uchumi wa China kwani ulikuwa ukija juu tofauti na walivyotaka.
Hii umeitoa wapi Elungata?.
 
Januari USA waliongea biashara na China. China kawaida yao wana shusha thamani ya pesa ili wauze bidhaa zao kwa wingi nje ya nchi. Kwa mbinu hii USA na dunia nzima wanapoteza kibiashara mshindi ni China.

Jambo lingine tena ukiwa unabiashara unataka kuifanyia China inabidi utoe technology ya biashara yako kwaserikali ili upate kibali cha kufanya biashara.

Januari Trump aliwasisitiza sana China wafanye biashara bila kushusha thamani ya pesa, China walitia saini mkataba lakini hawakuridhika na makubaliano.

Baada ya hapo Corona Virus alianzia Wahuan nchini China. Januari hiyo hiyo. Wiki mbili baadae idadi ya waliokufa kwa corona virus duniani ili fika 8,000.

wiki iliyopita Xi Jinping rais wa China akiwa Wahuan alisema wamedhibiti ugonjwa. Sasa hivi hakuna habari mpya za mgonjwa wala kifo kutoka China. Idadi ya raia wa China ni 1.4 billion.

Ukija kwenye huduma za afya huwezi kulinganisha matibabu ya China na nchi za Magharibi ya Ulaya na Marekani.

Katika maajabu corona virus anasambaa Ulaya Magharibi na Marekani wakati China wameweza kumdhibiti. France, Italy, England na Marekani sasa wanapambana na corona. Walati Urusi anaepakana na China ameripoti mgonjwa mmoja tu.

Kutoka India kwenda China ni maili 100 na wana idadi ya watu 1.5 billion lakini wana wagonjwa 60. Italy in watu milioni 65 na imeripoti wagonjwa 12,000.

Tangu corona virus isambae stock exchange market imeshuka sana hasa kwa nchi za Magharibi. Sasa hivi China ndiye mnunuzi mkubwa wa share kupitia makampuni ya serikali.

Kwa kifupi Januari Trump aliwapush mno China, waliingia mkataba ambao hawakuupenda. Wameleta kirus na sasa kinamchanganya Trump na rafiki zake.

Theory nzuri sana,utadhani kweli!
 
Hii umeitoa wapi Elungata?.
Gogle hii
According to The New York Times, some U.S. troops participated in the Military World Games in Wuhan, China, in October. But that was months before the first cases of illness emerged there is no evidence any service member carried the coronavirus before the visit.
 
Back
Top Bottom