mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,257
- 1,543
Hilo pia sio rahisi, sidhani kama kuna nchi inaweza kufanya uhalifu kama huo kwa dunia ya sasa.
Kama Silaha za kemikali zinapigwa Vita kutumika (japo Syria zilitumika ila bado kuna utata nani hasa mhusika) je silaha ya kibaolojia kama kupandikiza virusi si ndio zaidi hazitakiwi kabisa.
Wameiba?....🙄🙄🙄Marekani nasikia wameiba test kit 500,000 toka Italy usiku huu
Katafute mitandaoni acha uvivuChanzo kikuu ni ulaji wa popo mwenye virusi vingi vya Corona.
Naomba reliable source ya hio taarifa.
Ndio
Ili zitumike pale itakapobidi kufanya hivyo!Sasa kama hazitakiwi kabisa then kwanini zinatengenezwa?
Bibi hapa unakosea sasa !!Wala nguruwe msijifariji. Kuna uwezekano huyo.mdudu wa nguruwe. Biblia inakataza, Yesu aliwaangamiza nguruwe, Qur'an imekataza, nyie mnaojidai ujanja kufakamia nguruwe mmelikoroga sasa mlinywe.
Uongo huo. Yesu anasema hakuja kutengua Taurati.
Yesu alipowaangamiza nguruwe ilikuwa agano lipi?
Miaka yote ya industrial revolution hakukuwahi kuwa na korona leo ndo uje kunambia hivi
Low thinking capacity
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan CHINA Ndio Alimtuma US Akamuue Soleiman ?!Ili kuanguangusha himaya na kuinuka kwa himaya kuu nyingine lazima haya yatokee
China alitamani usa aingiie vitani na irani ile ampige proxy war kwa kusaidiana na russia na mahasimu wengine wa usa.marekani akashitukia dili..CHINA NDO WALIOTENGENEZA VIRUS they gain much financially and strategically from the aftermath of covid 19
fuatilia global stock market utaelewa
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Ndio demokrasia ilivyo, sio lazima wote tuwe na mawazo sawa.
Chanzo kikuu ni ulaji wa popo mwenye virusi vingi vya Corona.
Naomba reliable source ya hio taarifa.
Ni mahesabu tu mkuu me pia nilimtumia rafiki yangu china!!I agree. Sisi wenyewe tuu hapa tulipata order ya kutuma masks kwenda china maana viwanda vyote vimefungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe, nani brother[emoji25]Ni mahesabu tu mkuu me pia nilimtumia rafiki yangu china!!
Material yenyewe ya kutenganeza hizo mask yana tokea china na machine pia!!!
Don't underestimate Beijing brother adi mda huu wameshaiteka Dunia!!!
fundi25!
Air pollution ipo toka miaka na miaka waache kutufanya wajinga China au USa watakua ni wao wao wametengeneza hao virusiSoma hii wewe mwenye high thinking capacity View attachment 1392833
Sent from my iPhone using Tapatalk
Air pollution ipo toka miaka na miaka waache kutufanya wajinga China au USa watakua ni wao wao wametengeneza hao virusi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili zitumike pale itakapobidi kufanya hivyo!
Katafute mitandaoni acha uvivu