Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Ila Mimi nawaambiaje awa watu wanatoka...nchi yetu baada ya mkapa kesi nyingi hata za mauaji wahusika Huwa wanaachiwa...amini ata Hawa watatoka...!​
 
Cheki movie moja ya Elchapo Guzman utaona jinsi hiyo biashara inavyogusa connection nyingi mpaka polisi, siasa na jeshi
 
Yani unamfananisha Pablo Escober na Jamaa wa magomeni haupo siriaz au unatania...yani ufananishe mtu anasakwa na Marekani ( FBI) na huyo mzaramo
Hahahha .....aisee kuna comments zingine mtu unasoma unabaki kucheka tu na kumtafakari huyo aliyeitoa hiyo comment.

Sidhani kama huyu anajua hata historia ya Pablo Escober mwenyewe zaidi ya kumskia skia tu kwenye vijiwe vyao huko magomeni.

Halafu inaonekana anaamini mtu akiwa mjanja mjanja na kuishi kihuni huni hapa bongo na akatoboa, basi huyo ni muhuni na mjanja wa dunia nzima na hakuna mjanja au muhuni zaidi yake.
 
Vijana sahivi wepesi sana
Kila kijana anataka kuwa mkata
Uno

Ova
 
Aliekamatwa na wamarekani Beka Rangers,tena walienda kumkamatia Mauritius kama sijasahau akapelekwa Marekan nahisi kesi yake iliisha
Beka rangers Alifungwa miaka saba Mauritius ila kamaliza,, huyu anamuongelea tiko rasta wa makanya naye alikuja kuchukuliwa na interpool bongo akafungwa marekani nafikiri ni miaka mitatu nae kamwaga
 
Una ushahidi au ni stori za mitaani.

Mwache Mama akomeshe madawa. Hana roho mbaya ya kubambikia watu Madawa kwa chuki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…