gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Chokambaya umetoka maporini unamaindi prado za wanaume,Na wote ni kutoka dini ileee, inayojifsnya ndio Ina ma tajiri wengi, kumbe wauza ngada tu, ukiwakuta, mjini na Prado zao, unajiuliza hawa wanazalisha nini!
We jamaa ulivyo hadithia nimekuogopa sanaNa kesi hii ilikuwa na msukumo nyuma yake.... ikimlenga huyu huyu chonji ndy yote haya yakatokea
Kwanza hiyo siku jamaa chonji anapigwa ambush kituo cha polisi magomeni wala urafiki walikuwa hawana taarifa
Umeme ulizimwa eneo lote hilo la magomeni
Baharia siku hiyo nlikuwa grand Hotel pale nna mgeni
Ebwana ilikuwa kama movie....
Chonji walipomtimbia kwake alijua anavamiwa na majambazi
Mule ndani kwqke jamaa alikuwa na mzigo mahela,kuna watu walikuwa wanapack kazi wengine wana hesabu mijihela nk
Jamaa alipelekewa watu wa maana watu walipigika sana maana yeye si alikuwa na watu wapiga ngumi 😄 akapelekewa watu wa ngumi pia
Ila ile operation kwake hata polisi magomeni,urafiki,obay walikuwa haijuwi kama inafanyika
Ova
Pesa.Nchi yetu haiwekezi kwenye kesi ngumu ngumu...hii nchi mtu ana ua vidhibiti vinahifadhiwa hovyo hovyo ata the end wanakosa evidence ya kuonyesha mahakamani🤣🤣🤣
Sio madawa pekee,,Lakini, Je, ni KWELI kwamba Watu hao wamekamatwa na hayo madawa ya kulevya au wamebambikiwa tu hayo madawa ya kulevya???
Endapo Kama ni kweli kiuhalisia Watu hao wanahusika na hayo madawa ya kulevya basi haki imetendeka, lakini kama wamebambikiwa na 'Watesi wao' basi Mungu awaongoze vyema ili waangalie namna ya kuweza kujinasua na dhahama hiyo, ikiwezekana wakate Rufaa na Mungu asaidie ili Rufaa yao ishinde.
Mmoja ajitolee kuandika kitabu kati ya AMARII , incharge , mrangi na wewe enzo1988Achana naye huyo, mshikaji alikuwa bonge la don, Kikwete wakati anamalizia utawala wake ndiyo alitoa oda. Kuna mdau kaelezea jinsi alivyokamatwa kwake, tulikuwepo hiyo siku.Nafikiri umeme ulikatwa Dar nzima, coz tuliulizana kila mahali.
Unamkumbuka yule muuza madawa maarufu wa Colombia aliyeitwa Pablo Escobar?? Lile tukio la kukamatwa kwake ndiyo kama la mshikaji na linaweza kuzidi coz Escoba alikuwa tayari kishajichokea!
Wale vijana, sijui ni makomando?? Yale magari plus silaha, hahaha wewe acha wewe , usichezee dola wewe! Jamaa alikuwa na vijana wake full trained na silaha lakini walichapika kama mvua! Simu haitoki wala haiingii! Aliyekuwepo mwingine ajazie nyama basi!
Hata kama wangemkuta huko nyumbani kwake amelala. Kama tayari kuna ushahidi ya kwamba yupo kwenye syndicate ya trafficking/kusafirisha ngada hiyo imekula kwake na ndio maana wapo washitakiwa 5 inawezekana yy anatoa maelekezo wengine wanasafirisha. Kisheria hao wote lao mojaPamoja na kununuwa tv inchi 55 segerea alipokuwa mahabusu lakini kapigwa maisha...
Kuna askari magereza na baadhi ya mahabusu watalia sn jamaa kufungwa.
.ila hyo jamaa akikata rufaa anatoka.au kupunguziwa adhabu.
Huwezi kumfungulia mtu kesi ya trafficking (kusafirisha)
Wakati mmemkuta nyumbani kwake.
Hiyo kesi ni either dealing (kujihushisha)
Au posession (kukutwa nayo).madawa.
Na sio kusafirisha (trafficking).
Yalikuwa yanajua yatatoka ukizingatia JPM alikuwa amefariki tayari. Na pesa za kuhonga walikuwa nazoMbona jamaa kama anashangilia
Hawata kaa watoke shuhuli imeishia hapo. Ukiona wametoka jua basi hawatadumuAmina, na kikubwa hapa ni rufaa, though ya shamimu iligoma. Sijui hii.
Sasa wanaume tukiwa hatuna pesa na nyinyi dada zetu mnakua hamtutaki kabisa,achaa tujilipuwe tu ili nyinyi mfurahi,mwisho wa siku tunaishia mkashoo huku tunawaacha mnaliwa na wengine!!Wanaume wanapitia mengi sana kwenye utafutaji, Mungu awasimamie.
Ajali kazini kama hauna roho ngumu kaka zangu msifanye kazi na biashara haramu mtaani patamu sn
lile gorofa la mtaa wa popo bawa sijui itakuwaje
"Hustler kama Ali shkuba natimba kila kiwanja ,eh i'm the magnifico napiga kazi za hatari" - Mwana FA 2008Unamfananisha chonji na shkuba.
Chonji wa one man army. Pale magomeni makanya, tajiri huyu alijulikana sana na aina za gari zake either gx 100 nyeupe zina mdundo saaana mziki mnene, enzi dicksound ni fundi wa yule jamaa alikufaga, utamkuta pia na verossa.
Nyumba yake inakuta ndefu, nje garage ya magari, na imezungukwa na camera. Humkamati huyo. Akiingia tu ndio utamkamata, sii vinginevyo. Na hutojua yupo ndani au nje muda gani.
Hawa hawakusingiziwa ila walikutwa red handed.
Chonchi ni muuza madawa mkubwa sana magomeni, ajali kazini, Kaka zangu hawa nawaonea huruma kubananishwa maisha. Ila Mwenyezi Mungu awe nao mpaka mwisho wao uwe mwema.
Shkuba ni shkuba na hajawahi toroka popote, shkuba alikamatwa na tikotiko. Watoto wa kinondoni hao.
Kwa hiyo habari za Mwijaku siyo uwongo?Yeah, mfumo uliamua kumtema, kama siku ukiamua kumtema huyu mchora katuni maarufu hapa nchini!
Hao jamaa walishika 2014 utawala ule , walikuwa wanacheka kabisa ila kila utawala mambo yanabadilika , ngoja walie kwanza.Hiyo itakuwa kabla hajapewa namba za huko Saigon au Babylon...
Unyabeni mahali pa kujidai mnyapala.
Sasa kwenye hati ya mashitaka lazima thamani iandikwe, kwani kwenye hukumu ina saidia kuamua kiwango cha adhabu cha mtuhumiwa!!Kuweka thaman ya madawa kutahamasisha vijana kufanya biashara hyo
Huyu hapa Au??Yeah, 2014.Serikali karibu zote duniani zinajihusisha na hii biashara kwa namna moja ama nyingine na huwatumia watu fulani kisha baadaye wanawapoteza!
Yaani unakuta jamaa ni maarufu kwa kuuza madawa lakini hakamatwi! Kumbe yupo kwenye mfumo!Ingia wewe uone!
Yule jamaa mchoraji huwa nahisi anatumika na mfumo! Naona dalili za kuchokwa zimeanza, unafikiri Mwijaku alijitungia? Au wahenga wenzangu mnasemaje??
Uomgo wa mtaanii.....selo kusikie tu....chakula unapewa kutokana hela yako.....sasa wanakula gwanda zoezi lime change sasa wafungwa maisha
Acha ubishi alichoongea jamaa ni sahihi kabisa,shkuba kipindi yupo jela ya lindi aliwanunulia magodoro sero nzima,akitaka demu anapelekewa,simu anaongea nayo tena kwenye ofisi ya mkuu wa gereza,hata alivyokuwa jela ya marekani alikuwa anapiga video call
Hata manganese walimkamata kwa stallion hiyoBeka ranger namjuwa tokea skiwa fundi maredio mara nasikia kaingia kwenye mipango,anyway kwa kino na migomigo hyo kawaida tu
Sema yule alikamatwa kwa kuvitwa,FBI hao hao walikuwa wanamsaka...kuna watu waliwakamsta nje huko ndy wakamtaje beka
Ona sasa wazungu walivyokuwa na akili wakikutaka,hawana haraka si walikuwa wanafanya naye biashara na kumpa pesa
Dili moja wakanuambia kwann usije huku uchukue tu pesa yako na kuna mpango mkubwa zaidi,beka si akaenda kichwakichwa ndy akanasa 😄
Ova