Jamaa huwa namuhisi mtu wa mfumo , mnajua mwenzenu kumbe undercover agent!Cartoonist na chonchi damdam
Kuna mwaka niko transit airport flan,nikamuona mtu mzima kaja kunipa hi kwa lafudhi ya kitanga,nikamuuliza amenijuaje kumbe bracelet yangu ya bendera ya bongo ndio iliyomfanya anijue ni mbongo,nilipomuuliza uelekeo wake akaniambia anatokea south africa anaenda brazil halafu anadondoka msumbiji,nikamuaga naenda msalani na ndio akuniona tenaSio kweli bhana wajinga wengi Cape Town waliingia kwenye hiyo mishe kwa kupata huo mchongo kirahisi tu wengine wamenyongwa China,wamefungwa Brasil,Peru na Hong Kong kuishi SA haimaanishi utajua kitu wengi wameishi SA na hakuna kitu wanajua zaidi ya kusema hiki hakiwezekani mimi nipo Road narudi kutoka SA wengine wapo hapo Botswana Jela walitamanishwa wakaacha kazi yao ya kusafirisha mizigo wakapakia Bwimbwi wameisha...yaani Sembe limezaga daslm unasema usilione wawapi wewe?.
Nakupa mfano mdogo tu hv unajua mtu anaweza kuhusishwa moja kwa moja kwenye kesi ya mauaji kama alihusika kula njama tu!!!??Tracking ni kusafirisha,,
Especially nje ya inchi ,,au mkoani ,,, mfano airport, bandarini,kwenye vituo vya magari.
Hata ukikutwa ndani ya mji kwenye bus au gari basi police wanaweza wakaamuwa kukupa either dealing au posession na sio trafficking.
Huwezi kumkuta mtu nyumbani kwake useme trafficking..
Hyo kesi ni either dealing,au posession.
Yaani kujihushisha na madawa,
Au kufanya biashara ya madawa.
Au kukutwa na madawa..
Trafficking haina dhamana.
Dealing
Possession zina dhamana.
Kesi ya mauaji na kuhusika ni tofauti na kesi za madawa.Nakupa mfano mdogo tu hv unajua mtu anaweza kuhusishwa moja kwa moja kwenye kesi ya mauaji kama alihusika kula njama tu!!!??
Hata kama sio yy aliyeuwa moja kawa moja
The same principle applied here
Si Mwana FA mwenyewe aliimba. Yeye atakuwa ndiyo shahidi namba moja. Unamuimbaje drug king pin burebure?Una ushahidi na hiki umeandika au "nimesikia" "nimeambiwa"
Kufumuliwa nini mkuu?Sasa hiyo si sawa tu na dau lako la 10 ukifumuliwa mara 20 unapata 200 yako
Hakiihitaji ushahidiUna ushahidi na hiki umeandika au "nimesikia" "nimeambiwa"
EHehehehehKufumuliwa nini mkuu?
Ulichoandika mwanzo na ulichoandika sasa ni vitu tofauti. Ulisema alikua ni punda wake ndio nikakuomba ushahidiSi Mwana FA mwenyewe aliimba. Yeye atakuwa ndiyo shahidi namba moja. Unamuimbaje drug king pin burebure?
Tungemaliza utata kama kungekuwa na kopi ya judgment tusome. Tuone huo ushahidi ulikuwaje. Otherwise tutabishana bila kuona hukumuKesi ya mauaji na kuhusika ni tofauti na kesi za madawa.
Wameweka bayana.
-kujihusisha/kufanya biashara (dealing)
-kukutwa nayo madawa either nyumbani,au mtaani (posession)
-airport, bandarini au harakati za kusafirisha mfano tumboni,,kwenye bag kutoka sehm moja kwenda ingine.(Trafficking)
Na hii trafficking ndy nzito zaidi kuliko hzo zingine.ambayo hata dhamana hupati.
Tatizo Tanzania watu wengi sheria hatuzijuwi.
Upo sahihi mimi ujamaa nao hao jamaa tukiwa safarini sina kabisa hata awe anatokea Mkoa naotoka na mara nyingi wakiwa kazini huwa wanakua hawajiamini hivi wanatafuta kampani yeyote kwa story story tu ni kuwakataa kwa mbinu hiyo hiyo usipate balaa maana balaa linaweza kukuta na usiamini kilichotokea..Kuna mwaka niko transit airport flan,nikamuona mtu mzima kaja kunipa hi kwa lafudhi ya kitanga,nikamuuliza amenijuaje kumbe bracelet yangu ya bendera ya bongo ndio iliyomfanya anijue ni mbongo,nilipomuuliza uelekeo wake akaniambia anatokea south africa anaenda brazil halafu anadondoka msumbiji,nikamuaga naenda msalani na ndio akuniona tena
Mazingira kama hayo natamanigi sana yanikute yani huo mkono ntakavyoutembeza wee acha tu.Ile operation ilikuwa ya kipekee sana.Nilikuwa naishi hapo Mtaa wa Mtwara.Ilikuwa kama movie,mdundiko ulilia haswa.
Ukitaka kuwajulisha ndugu na jamaa kuwa Leo mtaani kwetu Kuna vita,unakuta simu Haina network.
Nje risasi zinalia balaa!
Ukitaka kutoka nje unakuta mtaa mzima wamejaa wamba wameenda hewani wamejikoki na mikwasa!
Unarudi ndani kimya.
UmbwaaMazingira kama hayo natamanigi yanikute yani huo mkono ntakavyoutembeza wee acha tu.
adriz Chaliifrancisco
Kesi za Sembe ni kweli zimetofautiana kutokana na mazingira uliyokamatwa na huo mzigo ila muda mwingine anaweza kukamatwa mtu Nchi nyingine harafu wakaja kumkamata mtu aliemtuma ambae yupo Nchi nyingine kwa kidhibiti kilichopo Nchi nyingine wakiamua wanamsafirisha kule kwenye kesi hizo mambo watu wengi wamekutana nazo ndio kazi ya Interpol hiyo..Tungemaliza utata kama kungekuwa na kopi ya judgment tusome. Tuone huo ushahidi ulikuwaje. Otherwise tutabishana bila kuona hukumu
Hakikisha usalama wa hao mbusii hapo sisini wewee.Umbwaa
Dogo haya mambo huyafaham. Tulia zako tu huko kwenye affluent heavily gated community/neighbourhood.
Heshima kwako mkuuAcheni hizo wanangu...sisi ni ndugu tusi toleane maneno machafu...sio vyema...!
KwaIyo kasingiziwa!?Shkuba alikamatwa na kupelekwa marekani sababu alikuwa most wanted by INTERPOL.
alitajwa sana na watu wengi waliokamatwa china, marekani,canada nk.
Na hapa kwetu shkuba alikamatwa sababu alitumiwa SMS ya mwisho na mtuhumiwa shabani ,,nusu saa kabla hajakamatwa.
MAMBO POWA
hii ndy sms iliyomtia hatiani skuba kuunganishwa na kesi ya Lindi.
Acha kulazimisha vituNakupa mfano mdogo tu hv unajua mtu anaweza kuhusishwa moja kwa moja kwenye kesi ya mauaji kama alihusika kula njama tu!!!??
Hata kama sio yy aliyeuwa moja kawa moja
The same principle applied here
Hakika bro,anaweza kukuletea balaa lisilokuhusuUpo sahihi mimi ujamaa nao hao jamaa tukiwa safarini sina kabisa hata awe anatokea Mkoa naotoka na mara nyingi wakiwa kazini huwa wanakua hawajiamini hivi wanatafuta kampani yeyote kwa story story tu ni kuwakataa kwa mbinu hiyo hiyo usipate balaa maana balaa linaweza kukuta na usiamini kilichotokea..