Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Sio kweli bhana wajinga wengi Cape Town waliingia kwenye hiyo mishe kwa kupata huo mchongo kirahisi tu wengine wamenyongwa China,wamefungwa Brasil,Peru na Hong Kong kuishi SA haimaanishi utajua kitu wengi wameishi SA na hakuna kitu wanajua zaidi ya kusema hiki hakiwezekani mimi nipo Road narudi kutoka SA wengine wapo hapo Botswana Jela walitamanishwa wakaacha kazi yao ya kusafirisha mizigo wakapakia Bwimbwi wameisha...yaani Sembe limezaga daslm unasema usilione wawapi wewe?.
Kuna mwaka niko transit airport flan,nikamuona mtu mzima kaja kunipa hi kwa lafudhi ya kitanga,nikamuuliza amenijuaje kumbe bracelet yangu ya bendera ya bongo ndio iliyomfanya anijue ni mbongo,nilipomuuliza uelekeo wake akaniambia anatokea south africa anaenda brazil halafu anadondoka msumbiji,nikamuaga naenda msalani na ndio akuniona tena
 
Tracking ni kusafirisha,,
Especially nje ya inchi ,,au mkoani ,,, mfano airport, bandarini,kwenye vituo vya magari.
Hata ukikutwa ndani ya mji kwenye bus au gari basi police wanaweza wakaamuwa kukupa either dealing au posession na sio trafficking.
Huwezi kumkuta mtu nyumbani kwake useme trafficking..
Hyo kesi ni either dealing,au posession.

Yaani kujihushisha na madawa,
Au kufanya biashara ya madawa.
Au kukutwa na madawa..

Trafficking haina dhamana.
Dealing
Possession zina dhamana.
Nakupa mfano mdogo tu hv unajua mtu anaweza kuhusishwa moja kwa moja kwenye kesi ya mauaji kama alihusika kula njama tu!!!??

Hata kama sio yy aliyeuwa moja kawa moja

The same principle applied here
 
Nakupa mfano mdogo tu hv unajua mtu anaweza kuhusishwa moja kwa moja kwenye kesi ya mauaji kama alihusika kula njama tu!!!??

Hata kama sio yy aliyeuwa moja kawa moja

The same principle applied here
Kesi ya mauaji na kuhusika ni tofauti na kesi za madawa.

Wameweka bayana.
-kujihusisha/kufanya biashara (dealing)
-kukutwa nayo madawa either nyumbani,au mtaani (posession)
-airport, bandarini au harakati za kusafirisha mfano tumboni,,kwenye bag kutoka sehm moja kwenda ingine.(Trafficking)

Na hii trafficking ndy nzito zaidi kuliko hzo zingine.ambayo hata dhamana hupati.
Tatizo Tanzania watu wengi sheria hatuzijuwi.
 
Kesi ya mauaji na kuhusika ni tofauti na kesi za madawa.

Wameweka bayana.
-kujihusisha/kufanya biashara (dealing)
-kukutwa nayo madawa either nyumbani,au mtaani (posession)
-airport, bandarini au harakati za kusafirisha mfano tumboni,,kwenye bag kutoka sehm moja kwenda ingine.(Trafficking)

Na hii trafficking ndy nzito zaidi kuliko hzo zingine.ambayo hata dhamana hupati.
Tatizo Tanzania watu wengi sheria hatuzijuwi.
Tungemaliza utata kama kungekuwa na kopi ya judgment tusome. Tuone huo ushahidi ulikuwaje. Otherwise tutabishana bila kuona hukumu
 
Kuna mwaka niko transit airport flan,nikamuona mtu mzima kaja kunipa hi kwa lafudhi ya kitanga,nikamuuliza amenijuaje kumbe bracelet yangu ya bendera ya bongo ndio iliyomfanya anijue ni mbongo,nilipomuuliza uelekeo wake akaniambia anatokea south africa anaenda brazil halafu anadondoka msumbiji,nikamuaga naenda msalani na ndio akuniona tena
Upo sahihi mimi ujamaa nao hao jamaa tukiwa safarini sina kabisa hata awe anatokea Mkoa naotoka na mara nyingi wakiwa kazini huwa wanakua hawajiamini hivi wanatafuta kampani yeyote kwa story story tu ni kuwakataa kwa mbinu hiyo hiyo usipate balaa maana balaa linaweza kukuta na usiamini kilichotokea..
 
Ile operation ilikuwa ya kipekee sana.Nilikuwa naishi hapo Mtaa wa Mtwara.Ilikuwa kama movie,mdundiko ulilia haswa.
Ukitaka kuwajulisha ndugu na jamaa kuwa Leo mtaani kwetu Kuna vita,unakuta simu Haina network.
Nje risasi zinalia balaa!
Ukitaka kutoka nje unakuta mtaa mzima wamejaa wamba wameenda hewani wamejikoki na mikwasa!
Unarudi ndani kimya.
Mazingira kama hayo natamanigi sana yanikute yani huo mkono ntakavyoutembeza wee acha tu.

adriz Chaliifrancisco
 
Tungemaliza utata kama kungekuwa na kopi ya judgment tusome. Tuone huo ushahidi ulikuwaje. Otherwise tutabishana bila kuona hukumu
Kesi za Sembe ni kweli zimetofautiana kutokana na mazingira uliyokamatwa na huo mzigo ila muda mwingine anaweza kukamatwa mtu Nchi nyingine harafu wakaja kumkamata mtu aliemtuma ambae yupo Nchi nyingine kwa kidhibiti kilichopo Nchi nyingine wakiamua wanamsafirisha kule kwenye kesi hizo mambo watu wengi wamekutana nazo ndio kazi ya Interpol hiyo..
 
Shkuba alikamatwa na kupelekwa marekani sababu alikuwa most wanted by INTERPOL.

alitajwa sana na watu wengi waliokamatwa china, marekani,canada nk.

Na hapa kwetu shkuba alikamatwa sababu alitumiwa SMS ya mwisho na mtuhumiwa shabani ,,nusu saa kabla hajakamatwa.
MAMBO POWA

hii ndy sms iliyomtia hatiani skuba kuunganishwa na kesi ya Lindi.
KwaIyo kasingiziwa!?
 
Nakupa mfano mdogo tu hv unajua mtu anaweza kuhusishwa moja kwa moja kwenye kesi ya mauaji kama alihusika kula njama tu!!!??

Hata kama sio yy aliyeuwa moja kawa moja

The same principle applied here
Acha kulazimisha vitu
Umepewa maelezo kutokana na sheria za madawa, wewe unaleta mambo kesi ya mauaji, haviingiliani
Au hujui wazungu wanaposema loophole za kisheria
 
Upo sahihi mimi ujamaa nao hao jamaa tukiwa safarini sina kabisa hata awe anatokea Mkoa naotoka na mara nyingi wakiwa kazini huwa wanakua hawajiamini hivi wanatafuta kampani yeyote kwa story story tu ni kuwakataa kwa mbinu hiyo hiyo usipate balaa maana balaa linaweza kukuta na usiamini kilichotokea..
Hakika bro,anaweza kukuletea balaa lisilokuhusu
 
Back
Top Bottom