raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Langa - Kifo Jela au TaasisiHii biashara ina mambo 3
1.kuishia jela
2.kifo
3.kuwa mtejaaa
ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Langa - Kifo Jela au TaasisiHii biashara ina mambo 3
1.kuishia jela
2.kifo
3.kuwa mtejaaa
ova
Unamzungumzia Tiko wewe😂 😂 😂
Huyu Chonji pale Magomeni Makanya ana jumba la ghorofa aisee. Alafu alikuwa anasaidia sana Wagonjwa kwa mujibu wa watu wa Mwananyamala-Kisiwani na Magomeni maeneo ya Kwa Bi Nyau
Sidhani....! Hii list ni ndefu Kuna li papa li moja kwikwete alilikabizi kwa FBI likaenda kufungwa ULAYA huko harafu nasikia limebakisha muda mchache litoke...!
Shkuba huyo!Tetesi huyo aliefungwa US amesha achiwa... Kule walimpeleka kupumzika tu.. Waka freeze assets zake bhas... A very humble and family man... Ila kwa matukio sasa.....
Hakuna anayeweza kuwafananisha na hawa manguli wa kimataifa. Lakini lile tukio la kukamatwa kwake ni la kimataifa, au unasemaje?? Kuanzia mchoro mpaka hitimisho lake ni la kimataifa.Kweli huwezi kumfananisha Chonch na Pablo Escobar au El Chapo.
Ulikuwepo hiyo siku?? Unajua mchezo ulichukua muda gani?? Uliza kitengo walipata upinzani gani na kutoka kwa kina nani! Wewe unawafahamu hao, wengine unawajua??
Halafu sijafananisha mtu, nimeelezea tukio la kukamatwa kwake na siyo kama muuza unga wa kimataifa! Au nikupe ushindi kwa ubishi??
Hakuna anayeweza kuwafananisha na hawa manguli wa kimataifa. Lakini lile tukio la kukamatwa kwake ni la kimataifa, au unasemaje?? Kuanzia mchoro mpaka hitimisho lake ni la kimataifa.
Ile operation ilikuwa ya kipekee sana.Nilikuwa naishi hapo Mtaa wa Mtwara.Ilikuwa kama movie,mdundiko ulilia haswa.Hakuna anayeweza kuwafananisha na hawa manguli wa kimataifa. Lakini lile tukio la kukamatwa kwake ni la kimataifa, au unasemaje?? Kuanzia mchoro mpaka hitimisho lake ni la kimataifa.
Ule mchoro uliotumika kumkamata Escoba haufanani na wa jamaa??Hivi unaposema lakimataifa unamaanisha nini?
Hukana jiwe lililosalia juu ya jiwe kipindi Cha JPMMkuu hii biashara ina watu wazito nyuma yake . Hivi ngoja nikuulize kitu, magufuli pamoja na ubabe wake wote hakuwahi hata kuwanyooshea kidole hao mapapa achana na Hawa punda.
Hukana jiwe lililosalia juu ya jiwe kipindi Cha JPM
Chonchi alikamatwa kipindi cha JK akiwa ndio anakaribia kuondoka madarakani, hata shikuba alikamatwa kipindi cha JK pia... Hawa walikuwa Kingpin kweli?
Joji white marehemu yuleItakuwa tunafahamiana hivi pale magomeni panapo jengwa sheli muda huu pembeni yake kulikuwa na nyumba wanauza mkaa...
Kwenye hiyo nyumba Kuna kijana alikuwa anaitwa George unamfahamu...?
Nanga... Hao uliowataja unadhani kuna nani kingpin ukanda huu kuacha hao?
Kama shikuba anaeingiza mzigo kwa meli utasema ni nani? Shikuba ana namba hadi Pakistan... Na ndio maana wakubwa walimuomba chap wakaondoka nae... Chonch kwenye hizo kazi ni mdogo sana kwa shikuba
One of the realiest Dawg..Continue to rest in peace homeboy Langa KileoLanga - Kifo Jela au Taasisi