Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Jaribu kuwa muelewa, nimeelezea tukio la kukamatwa kwake linamfanano wa kuuliwa Escoba au kumzidi.Unafahamu mpaka Escoba anauliwa alikuwa kwenye mazingira gani?? Alikuwa mpweke na amejichokea halafu hana tena msaada!

Sisi watoto wa Magomeni tumeshuhudia ambush kubwa mbili za wauza madawa maarufu hapa Tanzania! Kwa umri wangu nimeyaona haya, wahenga wataongezea!


1) F.B.I walipoamua kutafuta lao mara baada ya Osama kulipua ubalozi! Magomeni haikukalika! Wale wahenga mnamkumbuka ule msako wa F.B.I kwenye ile nyumba ya muuza madawa maarufu wa Magomeni miaka hiyo??


2) Ambush ya serikali ya Tanzania dhidi ya Chonji! Fikiria serikali inatumia rasilimali zake kubwa kumkamata mtu mmoja! Serikali inakata mawasilino ya mkoa, inatumia magari zaidi ya 20, inatumia kikosi maalumu kumkamata jamaa!

Ok, wale wahenga wa Kinondoni mtaongezea yenu, ila la komando Tamimu msilikose!
Itakuwa tunafahamiana hivi pale magomeni panapo jengwa sheli muda huu pembeni yake kulikuwa na nyumba wanauza mkaa...

Kwenye hiyo nyumba Kuna kijana alikuwa anaitwa George unamfahamu...?​
 
Jaribu kuwa muelewa, nimeelezea tukio la kukamatwa kwake linamfanano wa kuuliwa Escoba au kumzidi.Unafahamu mpaka Escoba anauliwa alikuwa kwenye mazingira gani?? Alikuwa mpweke na amejichokea halafu hana tena msaada!

Sisi watoto wa Magomeni tumeshuhudia ambush kubwa mbili za wauza madawa maarufu hapa Tanzania! Kwa umri wangu nimeyaona haya, wahenga wataongezea!


1) F.B.I walipoamua kutafuta lao mara baada ya Osama kulipua ubalozi! Magomeni haikukalika! Wale wahenga mnamkumbuka ule msako wa F.B.I kwenye ile nyumba ya muuza madawa maarufu wa Magomeni miaka hiyo??


2) Ambush ya serikali ya Tanzania dhidi ya Chonji! Fikiria serikali inatumia rasilimali zake kubwa kumkamata mtu mmoja! Serikali inakata mawasilino ya mkoa, inatumia magari zaidi ya 20, inatumia kikosi maalumu kumkamata jamaa!

Ok, wale wahenga wa Kinondoni mtaongezea yenu, ila la komando Tamimu msilikose!
Kwa mtama mchungu hiyo
Ilikuwa soooo...
😄 nyumbani kwake ilikuwa kuna foleni kama mko ubalozini
Haya maisha haya Acha tu

Ova
 
Achana naye huyo, mshikaji alikuwa bonge la don, marehemu Magu ndiyo alitoa oda. Kuna mdau kaelezea jinsi alivyokamatwa kwake, tulikuwepo hiyo siku.Nafikiri umeme ulikatwa Dar nzima, coz tuliulizana kila mahali.

Unamkumbuka yule muuza madawa maarufu wa Colombia aliyeitwa Pablo Escobar?? Lile tukio la kukamatwa kwake ndiyo kama la mshikaji na linaweza kuzidi coz Escoba alikuwa tayari kishajichokea!

Wale vijana, sijui ni makomando?? Yale magari plus silaha, hahaha wewe acha wewe , usichezee dola wewe! Jamaa alikuwa na vijana wake full trained na silaha lakini walichapika kama mvua! Simu haitoki wala haiingii! Aliyekuwepo mwingine ajazie nyama basi!

Nani walikuwa well trained? Tanaka na Tanaruza? au marehemu Mashali duh, yaani unataka kumfananisha Chonji na Escobar wa Colombia? kuwa serious basi.

Chonji alikuwa na nguvu iliyomlinda, ile familia ilivyomtema na yale maujinga yake ndio wakammaliza, hakuwa nanguvu yeyote zaidi ya ile familia na corrupting poor law enforcers.
all in all katajirisha wengi akiwemo msanii mkubwa na bosi wake na wale vijana wa pale redioni ghorofa jeupe ni vyema wakamkumbuka bosi wao, na yule dogo asimbwage swaiba wake sijui nini kilitokea.

Kumfananisha Chonji na wahuni wa Colombia na Mexico kama Pablo, Sinaloa, CJNG nk nikuwakosea heshima sana.
 
Sidhani....! Hii list ni ndefu Kuna li papa li moja kwikwete alilikabizi kwa FBI likaenda kufungwa ULAYA huko harafu nasikia limebakisha muda mchache litoke...!​
Beka ranger namjuwa tokea skiwa fundi maredio mara nasikia kaingia kwenye mipango,anyway kwa kino na migomigo hyo kawaida tu
Sema yule alikamatwa kwa kuvitwa,FBI hao hao walikuwa wanamsaka...kuna watu waliwakamsta nje huko ndy wakamtaje beka
Ona sasa wazungu walivyokuwa na akili wakikutaka,hawana haraka si walikuwa wanafanya naye biashara na kumpa pesa
Dili moja wakanuambia kwann usije huku uchukue tu pesa yako na kuna mpango mkubwa zaidi,beka si akaenda kichwakichwa ndy akanasa 😄

Ova
 
Na kesi hii ilikuwa na msukumo nyuma yake.... ikimlenga huyu huyu chonji ndy yote haya yakatokea
Kwanza hiyo siku jamaa chonji anapigwa ambush kituo cha polisi magomeni wala urafiki walikuwa hawana taarifa
Umeme ulizimwa eneo lote hilo la magomeni
Baharia siku hiyo nlikuwa grand Hotel pale nna mgeni
Ebwana ilikuwa kama movie....
Chonji walipomtimbia kwake alijua anavamiwa na majambazi
Mule ndani kwqke jamaa alikuwa na mzigo mahela,kuna watu walikuwa wanapack kazi wengine wana hesabu mijihela nk
Jamaa alipelekewa watu wa maana watu walipigika sana maana yeye si alikuwa na watu wapiga ngumi 😄 akapelekewa watu wa ngumi pia
Ila ile operation kwake hata polisi magomeni,urafiki,obay walikuwa haijuwi kama inafanyika

Ova
Kweli Mkuu,ndio maana mpaka leo Magomeni ile shoo wanakwambia walikuja wajamaica wenyewe.
 
Hii biashara ina mambo 3
1.kuishia jela
2.kifo
3.kuwa mtejaaa

ova
Wanao uwawa au kutupwa jela ujue mda wao ulisha isha na upo mfumo mwingine wanakuwa kama hawaamini maana walisha zoea kupiga hizi dili, ni kama vile wanakaidi amri ndiyo kinawakuta kama kina chonji,

Kuwaondoa hao siyo kuwa biashara ya madawa imeisha jua kabisa kuna safu mpya ipo na hii haiguswi, biashara ya madawa haitakaa iishe...

Mambo mengine yanayo endelea hapa dunia inayo husu drungs na mfumo wake kajiunge kwenye ile taasisi ya kupambana na madawa..

Wanacho simulia kwenye hii thread ni sinema tu za kupangwa
 
Nani walikuwa well trained? Tanaka na Tanaruza?
Ulikuwepo hiyo siku?? Unajua mchezo ulichukua muda gani?? Uliza kitengo walipata upinzani gani na kutoka kwa kina nani! Wewe unawafahamu hao, wengine unawajua??

Halafu sijafananisha mtu, nimeelezea tukio la kukamatwa kwake na siyo kama muuza unga wa kimataifa! Au nikupe ushindi kwa ubishi??
 
Back
Top Bottom