Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Chonji si ndo yule aliyekamatwa na wa marekani? Akapelekwa mtwara akatoroka wakamkamata tena au ni yupi? Kama ni yeye umrinwake ni mkubwa sana na hiyo miaka sijui kama atakaa mingi atajifia zake gerezani tu.
Yule wa underground ya hapo magomeni yeye alitoka au vipi?
 
Chonji ni Tajiri maarufu kule Nagomeni MwembeChai ni The Doni hasa.
Tangu mwaka 2010 alikuwa akiwika kama tajiri anayeibuka kwa kasi.

Kesi hii imekaa muda mrefu sana..
Hongera Dr Samia kwa kusimamia ukweli kuliko wale wenzako walioshindwa kazi wakaishia kubambikia watu madawa kwa chuki tu.
Ndio yupi hapo kwny picha?
 
Lakini, Je, ni KWELI kwamba Watu hao wamekamatwa na hayo madawa ya kulevya au wamebambikiwa tu hayo madawa ya kulevya???

Endapo Kama ni kweli kiuhalisia Watu hao wanahusika na hayo madawa ya kulevya basi haki imetendeka, lakini kama wamebambikiwa na 'Watesi wao' basi Mungu awaongoze vyema ili waangalie namna ya kuweza kujinasua na dhahama hiyo, ikiwezekana wakate Rufaa na Mungu asaidie ili Rufaa yao ishinde.
Acha siasa wewe. Au umekuja mjini mwaka jana?
 
Chonji si ndo yule aliyekamatwa na wa marekani? Akapelekwa mtwara akatoroka wakamkamata tena au ni yupi? Kama ni yeye umrinwake ni mkubwa sana na hiyo miaka sijui kama atakaa mingi atajifia zake gerezani tu.
Yule wa underground ya hapo magomeni yeye alitoka au vipi?
Unamfananisha chonji na shkuba.
Chonji wa one man army. Pale magomeni makanya, tajiri huyu alijulikana sana na aina za gari zake either gx 100 nyeupe zina mdundo saaana mziki mnene, enzi dicksound ni fundi wa yule jamaa alikufaga, utamkuta pia na verossa.
Nyumba yake inakuta ndefu, nje garage ya magari, na imezungukwa na camera. Humkamati huyo. Akiingia tu ndio utamkamata, sii vinginevyo. Na hutojua yupo ndani au nje muda gani.

Hawa hawakusingiziwa ila walikutwa red handed.
Chonchi ni muuza madawa mkubwa sana magomeni, ajali kazini, Kaka zangu hawa nawaonea huruma kubananishwa maisha. Ila Mwenyezi Mungu awe nao mpaka mwisho wao uwe mwema.
Shkuba ni shkuba na hajawahi toroka popote, shkuba alikamatwa na tikotiko. Watoto wa kinondoni hao.
 
Back
Top Bottom