Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Muharami Abdallah (Chonji) na wenzake wahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa makosa ya kusafirisha dawa za kulevya

Tanaka Adam (mwenye T-shirt ya Njano) moja ya middle ya uhakika Uwanjani huyu Feisal Salum na Chama wanasubiri nje!!!nilisoma nae Tambaza,katika vurugu za Tambaza 1994 ile Wanafunzi wote tukahamishiwa Shule mbalimbali nchini hivyo mimi na yeye na wenzetu wengine tukapelekwa Songea Boys tulikomaliza Form Four 1997. Miaka ya 2013 nilikutana nae Dar akiwa kanenepa na gari kali hatari wakati tulipomaliza Form Four tu hakuendeleaga na Shule,nikahisi lazima atakuwa anapiga deal chafu. Anyway ni Ajali kazini,pole kwake
 
Inatakiwa uumize kichwa kuelewa nilichoandika mkuu..
Hata kutaja haiondoki watu eti ndo wata engage au biashara itashamiri
Siku hizi pwani za huku bongo hawaji.....wanadakwa sana
Wenyewe wanakuambia tunaenda kuvua 😄
Ununio kipindi fulani walishushiwa sana maboom...baadhi ya wavuvi walipopewa mchongo wengi wakahamia huko na uvuvi wakaacha,kwa kina dallas huko
Any way kitengo bongo kinajitahidi kupiga kazi aise..pongezi wapewe
Na sahivi wao wanataka wakikudaka wakudake na kidhibiti
Ukidakwa ukitoka we kidume...
Ile OP ya awamu ile nyingi zilikuwa na ulakini,kila mtuhumiwa akidakwa anakutwa na grm 200
Kama ulinotice...kulikuwa na kuchomekeana

Ova
Enzi za mwenye Dar Yake alikua anasumbua sana kukamata watu kumbe nae wale wale tualikua anajipossition
 
Toka maktaba :

2022 21 November
Kambi Zubery Seif, mmiliki wa kituo cha Cambiasso Sport Academy na wenzake watano wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka mawili ya kusafirisha dawa za kulevya kilogram 27 eneo la Kiluvya kinyume na Sheria ya Kuzuia na Kupamba na Dawa za Kulevya.


View: https://m.youtube.com/watch?v=JPTClkY3Ntk

SARAH MWENYE KESI ya DAWA ZA KULEVYA kilo 34.89 inayomkabili pamoja na Muharami Sultan, Cambiasso na wenzanke kadhaa AWATAJA WATOTO WAKE MAHAKAMANI - ''SIELEWI WANAISHIJE''...

View: https://m.youtube.com/watch?v=Dh02jQsSM_Y
2023 16 February
SARAH MWENYE KESI ya DAWA ZA KULEVYA heroine zenye uzito wa kilo 34.89. AWATAJA WATOTO WAKE MAHAKAMANI - ''SIELEWI WANAISHIJE''...Kutoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ni kuhusu mshtakiwa Sarah Joseph anayekabiliwa na kesi ya kusafirisha dawa za kulevya, ameieleza Mahakama hiyo kuwa haelewi watoto wake wanaishi maisha gani huko walipo.Mshtakiwa huyo ametoa madai hayo leo baada ya Wakili wa Serikali Caroline Matemu kuieleza mahakama hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mary Mrio kuwa upelelezi wa shauri hilo bado unaendelea, hivyo wanaomba Mahakama ipange tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

Hakimu Mrio baada ya mahakama kuelezwa hayo, ameahirisha kesi hiyo hadi Machi 2, 2023 itakapotajwa na washtakiwa wamerudishwa rumande kutokana na kesi inayowakabili haina dhamana kwa mujibu wa sheria.

Mbali ya Sarah pia katika kesi hiyo kuna washtakiwa wengine watano akiwemo aliyekuwa kocha wa Makipa wa Timu ya Simba, Muharami Sultan(40), ambapo kusafirisha dawa za Kulevya aina ya heroine zenye uzito wa kilo 34.89.

Mke sielewi kwa nini hawa watu wanakamatwa alafu tunatumia hela tena kuendesha kesi.
Wee tengeneza mazingira ya kuua tuu hamna kesi wala nini
 
Na kesi hii ilikuwa na msukumo nyuma yake.... ikimlenga huyu huyu chonji ndy yote haya yakatokea
Kwanza hiyo siku jamaa chonji anapigwa ambush kituo cha polisi magomeni wala urafiki walikuwa hawana taarifa
Umeme ulizimwa eneo lote hilo la magomeni
Baharia siku hiyo nlikuwa grand Hotel pale nna mgeni
Ebwana ilikuwa kama movie....
Chonji walipomtimbia kwake alijua anavamiwa na majambazi
Mule ndani kwqke jamaa alikuwa na mzigo mahela,kuna watu walikuwa wanapack kazi wengine wana hesabu mijihela nk
Jamaa alipelekewa watu wa maana watu walipigika sana maana yeye si alikuwa na watu wapiga ngumi 😄 akapelekewa watu wa ngumi pia
Ila ile operation kwake hata polisi magomeni,urafiki,obay walikuwa haijuwi kama inafanyika

Ova
Na Mtama mchungu naye kaishia wapi?
 
Hata kutaja haiondoki watu eti ndo wata engage au biashara itashamiri

Enzi za mwenye Dar Yake alikua anasumbua sana kukamata watu kumbe nae wale wale tualikua anajipossition
Ile ilikuwa ni vita fake kuwapumbaza wajinga, ile ilikuwa ni vita ya drug cartels kumiliki territory ndio maana hukuwahi kusikia jina la Kinje.
 
Ile ilikuwa ni vita fake kuwapumbaza wajinga, ile ilikuwa ni vita ya drug cartels kumiliki territory ndio maana hukuwahi kusikia jina la Kinje.
Yeah bora walivyompeleka Arusha huko akaanzishe mashindano ya pikipik na kufokea watumish na naona upepo wake wa mikutano umekata kaamia kwenye kampeni
 
Mke sielewi kwa nini hawa watu wanakamatwa alafu tunatumia hela tena kuendesha kesi.
Wee tengeneza mazingira ya kuua tuu hamna kesi wala nini

Ile staili ya rais aliyepita wa nchi ya Filipino mheshimiwa Duterte haifai Tanzania manake wasio na hatia watatekwa pia kupotezwa kwa kisingizio cha madawa ya kulevya ....

Shirika la Utangazaji la Australia
https://www.abc.net.au › habari › p...
Rais wa Ufilipino Rodrigo Duterte anasema anahusika na mauaji ...

20 Okt 2020 - Chini ya kampeni hiyo ya Rodrigo Duterte, polisi walilenga wafanyabiashara wadogo na watumiaji pamoja na wafanyabiashara wachache wakubwa wa dawa za....

By freelance correspondent Ben Bohane in Manila
15 Sep 2016 at 11:45pm
Philippine President Rodrigo Duterte gives speech

President Rodrigo Duterte's hardline stance on drugs is taking its toll.(AFP: Presidential Communication Operations Office)
 
Na kesi hii ilikuwa na msukumo nyuma yake.... ikimlenga huyu huyu chonji ndy yote haya yakatokea
Kwanza hiyo siku jamaa chonji anapigwa ambush kituo cha polisi magomeni wala urafiki walikuwa hawana taarifa
Umeme ulizimwa eneo lote hilo la magomeni
Baharia siku hiyo nlikuwa grand Hotel pale nna mgeni
Ebwana ilikuwa kama movie....
Chonji walipomtimbia kwake alijua anavamiwa na majambazi
Mule ndani kwqke jamaa alikuwa na mzigo mahela,kuna watu walikuwa wanapack kazi wengine wana hesabu mijihela nk
Jamaa alipelekewa watu wa maana watu walipigika sana maana yeye si alikuwa na watu wapiga ngumi 😄 akapelekewa watu wa ngumi pia
Ila ile operation kwake hata polisi magomeni,urafiki,obay walikuwa haijuwi kama inafanyika

Ova
Duuh jamaa aliajiri hadi Wana martial arts..!! Kweli alijiandaa kwa kazi
 
Back
Top Bottom