UDOM ndo chuo pekee kinachopeleka wanafunzi wake clinical area kwa mwaka mzima , DRs na Nurses, that is why they have a lot of exposure, hivyo experience wanapata za kutosha
Unaishi Tanzania ipi mkuu?Hakuna mnachojua
Labda wewe unaweza kujibu, umesema nimekosea kuandika jina kwamba ningeandika Generic name !
What Generic na Generic brand
Innovator na Innovator brand ? Au what is INN
Ukiweza kujibu hili akili yako itatulia
BORA MGANGA WA KIENYEJI ATAKUNYWESHA MCHAICHAI UTAPATA VITAMIN C KULIKO HAWA MADOKTA UCHWARAKati ya nyinyi mnaojiita madaktari wa vyuo bora na mganga wa kienyeji nani ana akili zaidi?
MADOKTA UCHWARA
MANESI UCHWARA
MADOKTA WANAOCHATI WHATSAPP
MADOKTA WANAODUNGA WATU MACHANJO YA HOVYO HOVYO
MADOKTA WANAOBANIKA WATU KWENYE MIONZI
MADOKTA WENYE D MBILI
Unaishi Tanzania ipi mkuu?
Medicine kama hauna div one au two hugusi
Hata hapo UDOM kama huna one au two hugusi
Hayo mambo ya D umeyatoa wapi?
Au unazungumzia clinical oficers?
Aaaah unaichosha mizimu ya babu yangu dokita iliyopo kichwani inayontuma niandike haya madude
Nakutakia kila la kheri huko ulaya
Hahaha siyo kweli, Kwani siku hizi wamezuiliwa kufanya practical? MUHAS wako vizuri tu, unaweza kuta mtu mmoja anashida zake lakini chuo kiko vizuri tu.MUHAS kinatoa madaktari wanaojua theory zaidi kuliko practical, ndio maana wewe tunakuambia hujui unachoongea na umekurupuka, na sio kosa la wanafunzi kwasababu kwa nature ya hicho chuo mwanafunzi hadi amguse mgonjwa ni shughuli pevu.
Nadhani bado kijana, ana nguvu na majivuno. Wanafunzi wana panic field hata kwenye mitihani. Kuna madaktari bingwa leo ukiuliza historia zao vyuo walivyosoma labda hawa kuwa hata kwenye top tena huko mashuleni lakini wako vizuri kazini. Muda wa kazi unampika mtaaluma yeyote vizuri.Mimi naona wewe ndo shida na siyo hao unaowasema. Hivi unategemea mtu ambaye ndo anaanza kazi awe competent kama wewe ambaye upo kazini muda mrefu?
Badala uwaelekeze waelewe wewe unaanza kuponda vyuo wanavyotoka, hivi huoni kwamba wewe ni tatizo zaidi sehemu yako ya kazi zaidi ya unavyojiona?
Unadhani waliosoma Urusi, China na Poland ni vilaza? Mbona wako wengi wazuri sana? Wapo mmoja mmoja wana matatizo yao binafsi, lakini siyo wote.Wapo wengi
Wengine wamesoma Russia, china Poland
Hujui unachosema. MUHAS kuna wagonjwa hadi wanamwagika. Daktari mwanafunzi akitaka muda wote awe na wagonjwa anaweza.MUHAS kinatoa madaktari wanaojua theory zaidi kuliko practical, ndio maana wewe tunakuambia hujui unachoongea na umekurupuka, na sio kosa la wanafunzi kwasababu kwa nature ya hicho chuo mwanafunzi hadi amguse mgonjwa ni shughuli pevu.
Daktari wa leo ana assitances nyingi sana sababu ya tekinologia ya zana zake za kazi ukilinganisha enzi za Dr.Livingstone.GPA ya nne chuo gani , Kampala? St John’s ?
Au KCMC inayokuwa na wafanyakazi wenye vyeti fake !?
Any where, kwenye Afya D ni failure
Inatakiwa C iwe minimum criteria
Kwa zaman you are right for D ,
Ufaulu wa sasa ni mkubwa kutokana na technology kuwa kubwa hivyo C ndio standard
D ya zamani was best kipindi ambacho hakuna CHATGPT au AI , inakulazimu ujue Abbot ni kitabu cha nini, solving anatafutwa mtu 1 tu aliyepiga one ya saba
Now days you don’t need that , swali unakopi na kuingiza kwenye AI, unaletewa solution in one sec
Ni uchizi kuchukua D kama pass mark kwenye Afya .
D ziende kwenye socialogy na marketing
You have a point to ponder, You are very correct! all in all kumbuka Albert einstein alikataliwa kwenda university kuwa uwezo wake ni mdogo, ....and you know the story about the guy!Wakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .
Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?
Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).
Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne
Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,
tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .
Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.
Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.
Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.
How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?
MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .
MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.
Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !
Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .
Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .
Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences
health education system must be preserved at any COST
Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.
Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.
TAFAKARI MTANZANIA !
Unafundishwa namna ya kufikirri, reason, philosophical thinking........ abstract thinking inafundishwa hiyo katika various fields. Wewe na wenzako vijana wa vyuo vya kata it seems!Hivi nataka kuwa daktari, topic ya projectile ya form six inanisaidia Nini.
You can also take up the agenda!Mkuu una mawazo mazuri tu tafuta the right platform uwasilishe maoni yake I'm sure yatafanyiwa kazi tu. Don't end up lamenting just act responsibly
Everybody is potentially a thief! It is a matter of time, opportunity ......Ndio hao viongozi wa TZ , unakuta mtu Rais au Waziri but still anaiba na kupiga deal .
Ccm mbere kwa mbereWakati nipo Ocean Road nikiwa TZ , nimefanya kazi na products mbalimbali kutoka vyuo tofauti, wapo wanafunzi kama intern wakiwa madaktari ambao we were training them, wengine wafamasia au nurses ….based on the experience, students from MUHAS and CUHAS were the best doctors , pharmacist and nurses .
Wanafunzi kutoka vyuo tofauti na hivyo, ni majanga makubwa unajiuliza wewe unaendaje kutibu watu au unaendaje ku deal na dawa za binadamu?
Una mwambia prospective doctor achukue pathologic history, unabaki unashika kichwa, you meet a pharmacist anamwambia mgonjwa umeze Gynozol mbili mara tatu , shame ! ( gynozol is a medication need to be inserted through vagina).
Ukiuliza umesoma wapi utaambiwa ……..,,,vyuo fulan Fulani hivi na vile vyuo ambavyo unaambiwa chuo kipo gorofa ya nne
Ni kawaida siku hizi student with Flat D akawa enrolled kwenye medical field , it is a shame CCM inaenda kuharibu hadi mfumo wa elimu ya Afya,
tuna madaktari very low intelligence can’t even reason , we have pharmacist and nurses who cannot even notice medication errors zinazokuwa committed by doctors .
Ikiwa mtu mwenye D anaenda kusoma kozi za Afya , we need to go back kwenye drawing table or else let’s all perish.
Kwa ufaulu wa sasa, kama hauna C and above ilitakiwa usiruhusiwe kusoma course za Afya level ya Diploma , watanzania wanaangamia, ever wondered why now days magonjwa ya matajiri wanaumwa masikini.
Kwa mfano hii nchi ninayoishi, the best students let’s say A plus wanaenda kusoma Veterinary na Pharmacy, then best students with A wanaenda kusoma medicine , nurses and injinia.
How come tunaruhusu D Iende kusoma medical field , hivi CCM kwanini tunapenda ku play na mambo muhimu; last time tuliona ufaulu wa madokta was catastrophic , this time tunaona ufaulu wa pharmacist ni worse, ukipitia hiyo link ya mwananchi utaona matokeo yao , a student from certain universities in TZ Kutoa MUHAS na CUHAS utaona mtu amerudi mara 6 the same exams [emoji2099], such student baadae ataenda Hosp kumshauri mgonjwa…… where are we going CCM ?
MUHAS and CUHAS are the only conservatives universities, kusoma medicine nurses au Pharmacy .
MUHAS kama huna A za kutosha kwenye qualification entry zako, my friend sahau bachelor of medicine wala famasi.
Sasa Wakikosa MUHAS au CUHAS , pakukimbilia ni hivyo vyuo vinavoleta watu wanaenda kuwaaambia wagonjwa meza gynozol au anaenda kuandika pathologie kuwa a family has a history of falling down the trees ! Shame shame shame , problem !
Qualification entry za Course za Afya lazima ziangaliweUPYA , kwa level ya diploma you must have C or above in all subjects and for bachelor tuige mfano wa MUHAS na CUHAS .
Ni Umasikini tu wa black skin , I wished kwa Tanzania vyuo vyote vinavyohusu Afya viwe ni vya Serikali, ikitokea vya private , basi viwe BEST ya vyuo vya serikali lakini pia qualification entry ziwe standardized kwa Course za Afya .
Minimum criteria ziwe ni C for diploma , na minimum criteria for bachelor iwe ni A na B tu na kusiwe na C kwenye physic’s , math , bio, chemistry otherwise, tunatengeneza bomu and in few years tujiandae the consequences
health education system must be preserved at any COST
Professional bodies , mshike hapo hapo, msipitishe Uharo kwa expenses ya watanzania wasiojua chochote masikini.
Hongereni wafamasia, na sisi Madokta tuige mfano kupiga scrutiny za kutosha,kama lichuo linachukua F au D For the sake of money , piga PIN kwenye professional exams tu.
TAFAKARI MTANZANIA !