Muheshimiwa Sugu anashusha vina ndani Bunge

Muheshimiwa Sugu anashusha vina ndani Bunge

Ndallo

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
7,619
Reaction score
4,299
Hatimaye lile bunge tukufu leo limeanza tena vikao vyake mjini Dodoma leo, muheshimiwa mbunge wa Mbeya mjini AKA Sugu anashusha vina kuhusiana na makabila ya nchini Tanzania.
 
Mi nipo hapa,vina gani anavyoshusha.Acha kumdhalilisha Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Watu wengine sijui ndo uboya,..we unaona habari yako imekamilika kabisa hadi uanzishe thread?
 
Sugu jimbo lake ni la wasanii akina Afande Sele, Mkoloni na wavaa heleni wengine. Jimbo la Mbeya limo likizo ya miaka 5 mpaka uchaguzi Wa 2015. Hili watu wa Mbeya wanalijua kwa vile waliamua wenyewe kutokuwa na mbunge
 
Sugu jimbo lake ni la wasanii akina Afande Sele, Mkoloni na wavaa heleni wengine. Jimbo la Mbeya limo likizo ya miaka 5 mpaka uchaguzi Wa 2015. Hili watu wa Mbeya wanalijua kwa vile waliamua wenyewe kutokuwa na mbunge

Wewe aidha in GERARD HANDO au EFRAIM KIBONDE......maana jamaa anawanyima usingizi hata mabosi wenu
 
Kweli Jabulani unachosema ni sawa. Kama kuna ombwe la mkuu nchi, then kwa nini upoteze muda wako kufikiria kichagua mbunge makini? Na ukipitia majimbo mengi hususan yale yanayoongozwa na wenye elimu ya msingi kama Njombe ya akina Nyimbo, Njombe ya akina Makweta, Iringa ya akina Monica Mbegga na Rorya ya akina Sarungi, utagundua kuwa wananchi wa maeneo hayo walishachoshwa sana na CCM hivyo wakapiga kura za ghadhabu ili tu kuelezea hisia zao kwa jamii. Kwa dunia tuliyopo sasa ni kwa miujiza tu mbunge mwenye elimu ya darasa la 7 au kidato cha 4 cha akina Sugu, Lameck au Jah People kuweza kuongoza maendeleo ya jimbo
 
Wewe aidha in GERARD HANDO au EFRAIM KIBONDE......maana jamaa anawanyima usingizi hata mabosi wenu
Mimi siyo Kibonde wala Gerald bali ni mwana-Mbeya niliye na uchungu wa maendeleo. Nasema kuwa jimbo liko wazi na sisikitiki kwa Hali hiyo kwa kuwa ni wana Mbeya ndiyo waliomchagua ingawa hawategemei kuwa atawaletea maendeleo yoyote. Kwa muda hui mfupi tumeona wabunge vijana wa vyama vya upinzani wanavyojenga hoja zenye mvuto na wanavyosimamia maendeleo ya majimbo yao kama vile Godbless Lema, John Mnyika, Kafulila, na Mary Mwanjelwa (viti maalum). Ila Mbunge Joseph Mbilinyi ameonekana akipamba vijarida vya udaku juu ya uhusiano wake na Shrose Bhanji, mara akiongelea namna ya kudai studio ya muziki ambayo JK aliwaahidi wanamuziki. Vilevile ameahidi kushughulikia haki za mradi wa Malaria No More. ameahidi vilevile kutoa part 2 ya anti virus. Sasa kama wewe unapenda maendeleo ya Mbeya, kweli Kati ya hayo kuna kitu kweli ambacho kinawagusa wananchi wake? Sanasana anaonekana amejawa na kisasi kwa wale waliomdhulumu haki zake na anataka atumie kofia hiyo ya ubunge kuzipata. Na hapo ndiyo nashawishika kusema jimbo la Mbeya liko wazi. Najua Kauli hii haiwapendezi wana CDM lakini chukueni hii Kama 'Wake Up Call' kwa vile bado mapema anaweza akajitekebisha
 
Kweli Jabulani unachosema ni sawa. Kama kuna ombwe la mkuu nchi, then kwa nini upoteze muda wako kufikiria kichagua mbunge makini? Na ukipitia majimbo mengi hususan yale yanayoongozwa na wenye elimu ya msingi kama Njombe ya akina Nyimbo, Njombe ya akina Makweta, Iringa ya akina Monica Mbegga na Rorya ya akina Sarungi, utagundua kuwa wananchi wa maeneo hayo walishachoshwa sana na CCM hivyo wakapiga kura za ghadhabu ili tu kuelezea hisia zao kwa jamii. Kwa dunia tuliyopo sasa ni kwa miujiza tu mbunge mwenye elimu ya darasa la 7 au kidato cha 4 cha akina Sugu, Lameck au Jah People kuweza kuongoza maendeleo ya jimbo

wananchi wa hayo majimbo na majimbo yote Tz wametumia haki yao ya kumchagua mtu au chama walichokiona kitawaondolea matatizo yao baada ya kulinganisha sera za mtu, chama chake akicompare na wenzake. Kuwasemea vinginevyo ni kuwakosea na kiungwana uwatake radhi!
 
Hatimaye lile bunge tukufu leo limeanza tena vikao vyake mjini Dodoma leo, muheshimiwa mbunge wa Mbeya mjini AKA Sugu anashusha vina kuhusiana na makabila ya nchini Tanzania.

acha uzushi! Umeathirika na fikra mgando za kifisadi mnazotengenezewa kuzusha mambo ili waonekane hawafai au kututoa kwenye issue za msingi na kutuhamishia kwenye upuuzi kwa ujira kutoka kwa mafisadi. Nime'comment' hapa ili kukufahamisha kwamba tukimaliza kuchangia upuuzi huu tunaendelea na mambo ya msingi maana msiba hauahirishwi na huwa unaisha baada ya matanga na si maziko!
 
Sugu jimbo lake ni la wasanii akina Afande Sele, Mkoloni na wavaa heleni wengine. Jimbo la Mbeya limo likizo ya miaka 5 mpaka uchaguzi Wa 2015. Hili watu wa Mbeya wanalijua kwa vile waliamua wenyewe kutokuwa na mbunge

acha mambo ya ajabu ww nenda meta hospital kanunua vitanda sasa anataka kila shule iwe na computer za kutosha huyo mpesya alifanya nini cha ajabu mm nipo mbeya watu wanamkubali sana labda wewe na kibonde mkoloni nyimbo zake unazijua ni mtu makini hatudanganyiki huyo kpomba ainafanya nini zaidi ya kulala tu na mtumbo wake oooooooooooz
 
Mimi siyo Kibonde wala Gerald bali ni mwana-Mbeya niliye na uchungu wa maendeleo. Nasema kuwa jimbo liko wazi na sisikitiki kwa Hali hiyo kwa kuwa ni wana Mbeya ndiyo waliomchagua ingawa hawategemei kuwa atawaletea maendeleo yoyote. Kwa muda hui mfupi tumeona wabunge vijana wa vyama vya upinzani wanavyojenga hoja zenye mvuto na wanavyosimamia maendeleo ya majimbo yao kama vile Godbless Lema, John Mnyika, Kafulila, na Mary Mwanjelwa (viti maalum). Ila Mbunge Joseph Mbilinyi ameonekana akipamba vijarida vya udaku juu ya uhusiano wake na Shrose Bhanji, mara akiongelea namna ya kudai studio ya muziki ambayo JK aliwaahidi wanamuziki. Vilevile ameahidi kushughulikia haki za mradi wa Malaria No More. ameahidi vilevile kutoa part 2 ya anti virus. Sasa kama wewe unapenda maendeleo ya Mbeya, kweli Kati ya hayo kuna kitu kweli ambacho kinawagusa wananchi wake? Sanasana anaonekana amejawa na kisasi kwa wale waliomdhulumu haki zake na anataka atumie kofia hiyo ya ubunge kuzipata. Na hapo ndiyo nashawishika kusema jimbo la Mbeya liko wazi. Najua Kauli hii haiwapendezi wana CDM lakini chukueni hii Kama 'Wake Up Call' kwa vile bado mapema anaweza akajitekebisha

Mh. Mbilinyi amechaguliwa na hao wana mbeya baada ya kumsikiliza sera zake na chama chake. Miezi mi4 haiwezi kutoa judgement kwake. Nakushauri uwe na subira maana subira huvuta heri. Mi nipo Arusha. Mh. Lema amezitimiza ahadi alizoahidi angetimiza ndani ya siku 90. Nyingine hatuwezi kumdai leo maada bado muda upo. Angalia ccm kwa mfano. Waliahidi watahamishia makao makuu DDM tangu miaka ya 70 hadi leo hawajatimiza kwavile hawakuwa ma time frame. Huyu ana miaka mi5. Tutamhukumu muda ukifika.
 
Mimi siyo Kibonde wala Gerald bali ni mwana-Mbeya niliye na uchungu wa maendeleo. Nasema kuwa jimbo liko wazi na sisikitiki kwa Hali hiyo kwa kuwa ni wana Mbeya ndiyo waliomchagua ingawa hawategemei kuwa atawaletea maendeleo yoyote. Kwa muda hui mfupi tumeona wabunge vijana wa vyama vya upinzani wanavyojenga hoja zenye mvuto na wanavyosimamia maendeleo ya majimbo yao kama vile Godbless Lema, John Mnyika, Kafulila, na Mary Mwanjelwa (viti maalum). Ila Mbunge Joseph Mbilinyi ameonekana akipamba vijarida vya udaku juu ya uhusiano wake na Shrose Bhanji, mara akiongelea namna ya kudai studio ya muziki ambayo JK aliwaahidi wanamuziki. Vilevile ameahidi kushughulikia haki za mradi wa Malaria No More. ameahidi vilevile kutoa part 2 ya anti virus. Sasa kama wewe unapenda maendeleo ya Mbeya, kweli Kati ya hayo kuna kitu kweli ambacho kinawagusa wananchi wake? Sanasana anaonekana amejawa na kisasi kwa wale waliomdhulumu haki zake na anataka atumie kofia hiyo ya ubunge kuzipata. Na hapo ndiyo nashawishika kusema jimbo la Mbeya liko wazi. Najua Kauli hii haiwapendezi wana CDM lakini chukueni hii Kama 'Wake Up Call' kwa vile bado mapema anaweza akajitekebisha

Mh. Mbilinyi amechaguliwa na hao wana mbeya baada ya kumsikiliza sera zake na chama chake. Miezi mi4 haiwezi kutoa judgement kwake. Nakushauri uwe na subira maana subira huvuta heri. Mi nipo Arusha. Mh. Lema amezitimiza ahadi alizoahidi angetimiza ndani ya siku 90. Nyingine hatuwezi kumdai leo maada bado muda upo. Angalia ccm kwa mfano. Waliahidi watahamishia makao makuu DDM tangu miaka ya 70 hadi leo hawajatimiza kwavile hawakuwa ma time frame. Huyu ana miaka mi5. Tutamhukumu muda ukifika.
 
Filipo sina nia mbaya na Mh Sugu na wala sitaki tushindane kuandika Ila nakushauri usipuuze ushauri wangu wa kumrekebisha anapo misbehave Kama kweli unapenda mafanikio yake.
 
Hii habari inaniletea njaa tu! Kwanini usieleze kitu kizima?
 
Sugu jimbo lake ni la wasanii akina Afande Sele, Mkoloni na wavaa heleni wengine. Jimbo la Mbeya limo likizo ya miaka 5 mpaka uchaguzi Wa 2015. Hili watu wa Mbeya wanalijua kwa vile waliamua wenyewe kutokuwa na mbunge

usiwe unaongea kama umejinyea wewe...utamfananisha sugu na wabunge wenu akina viki kamatta au mchungaji rwakatale???
 
Back
Top Bottom