Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakimaliza na hili watuletee na vifaa na madawa ya kupunguza uchungu!...watu tuzae sasa!bandika bandua!
Sasa itakuwa ni sehemu ya uchumi wa viwanda ?yah tunaweza kuwa tumetengeneza ajira kwa watu wetu na ni ubunifu pia..
Kweli asee, hawa madaktari wetu si ndio waliowahi kukosea wakamfanyia mgonjwa operation ya kichwa na wakati alikuwa amepangiwa kufanyiwa operation ya goti, sijui kama mbegu za watu zitakuwa salama, kuna hatari ya kuwekea mbega za daktari wa mloganzira... mimba halali ni ile inayotungwa kwa manii kuingia tumbo la uzazi baada ya uume kupenya ukeni; hiyo ndio njia pekee aliyoumba Mola wetu kuendeleza kizazi na sio vinginevyo.
Unajua bei yake Kh ?Sijui biblia inasemaje kuhusu hiyo kitu ila kama si dhambi itabidi niende nikapandikize[emoji125][emoji125]
Hasara roho pesa makaratasiUnajua bei yake Kh ?
Chakura 'IVF' ni kitu gani kunako Wavuti.hajaelekeza inavyopandikizwa hyo mimba?
Elimu tafadhari
Basi wale ambao hawajabahatika kuolewa au kuoa na wenye upungufu wa nguvu za kiume Basi nafikili hii itawasaidia.
Ni watu wachache sana wataweza gharamia ili kupata hiyo huduma.iyo gharama sasa
Kwa hiyo umeambiwa process hizo sisi hatuziwezi?Ni watu wachache sana wataweza gharamia ili kupata hiyo huduma.
Naona wadada wanashangilia wanadhani unaenda na elfu 10 yenye tembo unapanua unawekewa mbegu...
Its a long process, nitaelezea nikipata muda..