Muhimbili kuanza kupandikiza mimba mwaka 2020

Muhimbili kuanza kupandikiza mimba mwaka 2020

Nimesikia gharama zao zinaanzia 2m mpaka 10m inategemea ukubwa wa tatizo
 
Upandikizaji wa mimba naunga mkono zipo ndoa nyingi hazina watoto
 
Kwa mwanamke mwenye changamoto ya uzazi ni rahisi sana ‘kuliwa’ na mganga kwa ahadi ya kumwezesha kupata mimba, nakumbuka Idriso alivyomla Sepeto kwa kujifanya Dokta Mwaka.... kwa sasa tuendelee kushangilia tu kama tunavyofanya zikitangazwa gunduzi za dawa ya ngoma.


Usiku utapokwisha [emoji276]
 
Saaaaaaaaaana,,,,swala LA kuitana wagumba litapotea labda uamue mwenyewe kutokuwa na mtoto na bongo tumechelewa saaana kuna wameaangaika sana kutafuta watotooo

Huko Ulaya na mataifa yaliyoendelea hakuna wagumba..?

Kalagabaho..!! [emoji276]
 
Kama ulifanikiwa kupata watoto kwa haraka na bila shida,,basi hili swala utaona n ujinga na kupoteza pesa ila kwa wale ambao wamekaaa kwenye ndoa zaid ya miaka mitano au kumi wataelewa umuhimu wa kupandikiza mimba.
 
Hilo ini wanapandikizaje..!?
Halafu litakuwa linatoka wapi kwa wafu au la bandia...
 
... mimba halali ni ile inayotungwa kwa manii kuingia tumbo la uzazi baada ya uume kupenya ukeni; hiyo ndio njia pekee aliyoumba Mola wetu kuendeleza kizazi na sio vinginevyo.
Wanaleta za mwendo kasi na Bluetooth
 
Huko Ulaya na mataifa yaliyoendelea hakuna wagumba..?

Kalagabaho..!! [emoji276]
We baki uko uko kigoma mwisho wa reli ukahisi kunavitu haviwezekani kufanyika wenzako wameanza mpaka kubadili jinsia wakiume kuwa wakike na wakike kuwa wakiume.
 
Alikasusu na putuluu tutauza wapi!!!!!?????
Mkuu Hoja Yako Ni Nzito Na Inahitaji Utulivu
Kwasasa Watu Wengi Sana Wanaanza Taratibu Kuhamia Kwenye Alikasusu Naona Mundende Inaanza Kukosa Soko Ipo Pia Vicks
Inabidi Ubadili Biashara Haraka
😁😆😂😃😎😄😅😀😁😂
 
Sio hatar kuna watu wanacancer ya uzazi hawez kumpa mimba mwanamke au maradhi kama hiv kuogopa kuambukizana unaenda pandikiza zinachukuliwa mbegu zako halafu zinaingizwa kwa mwanamke
Hiyo mimba ya kupandikizwa Muhimbili sijui itafananaje! Sipati picha
 
Back
Top Bottom