Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uchungu uongezweWakimaliza na hili watuletee na vifaa na madawa ya kupunguza uchungu!...watu tuzae sasa!bandika bandua!
wanapoteza muda na hela bure..
Ajiri madume ya mbegu yasiyojulikana yakae pale iwe kazi kuwamwagia tu, ukimwagiwa unakwenda anaingia mwingine naye anamwagiwa kuna watu wanamatank ya mbegu..
Upunguzweuchungu uongezwe
mbona hii ni kinyume na maagizo ya Allah (SAW)
Acha kutisha watu....na mpaka ikifika 2025 mambo yatakuwa safi sana kwa ambao tumehangaika kutafuta watoto bila mafanikio.
Saaaaaaaaaana,,,,swala LA kuitana wagumba litapotea labda uamue mwenyewe kutokuwa na mtoto na bongo tumechelewa saaana kuna wameaangaika sana kutafuta watotooo
Labda ulaya ya miaka 1990 ila sio 2019Huko Ulaya na mataifa yaliyoendelea hakuna wagumba..?
Kalagabaho..!! [emoji276]
Zen inaelekea wewe unapenda wenzako wasipate watoto.Huko Ulaya na mataifa yaliyoendelea hakuna wagumba..?
Kalagabaho..!! [emoji276]
Wanaleta za mwendo kasi na Bluetooth... mimba halali ni ile inayotungwa kwa manii kuingia tumbo la uzazi baada ya uume kupenya ukeni; hiyo ndio njia pekee aliyoumba Mola wetu kuendeleza kizazi na sio vinginevyo.
Zen ulaya swala là watoto sio ishu kama Africa.Huko Ulaya na mataifa yaliyoendelea hakuna wagumba..?
Kalagabaho..!! [emoji276]
Asante sana.Pole sana
We baki uko uko kigoma mwisho wa reli ukahisi kunavitu haviwezekani kufanyika wenzako wameanza mpaka kubadili jinsia wakiume kuwa wakike na wakike kuwa wakiume.Huko Ulaya na mataifa yaliyoendelea hakuna wagumba..?
Kalagabaho..!! [emoji276]
Mkuu Hoja Yako Ni Nzito Na Inahitaji UtulivuAlikasusu na putuluu tutauza wapi!!!!!?????
Hiyo mimba ya kupandikizwa Muhimbili sijui itafananaje! Sipati pichaSio hatar kuna watu wanacancer ya uzazi hawez kumpa mimba mwanamke au maradhi kama hiv kuogopa kuambukizana unaenda pandikiza zinachukuliwa mbegu zako halafu zinaingizwa kwa mwanamke