Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Unayo?Mhhh! Leo ngoja nijinyamazie zangu. [emoji40]
Njoo nikufanyishe mazoezi yaishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unayo?Mhhh! Leo ngoja nijinyamazie zangu. [emoji40]
💯Uko sahihi,mimi naona hapa inawahusu wale ambao wana unene wa kurithi,lakini unakuta mtu ana unene wa kula mi chipsi,pombe na nyama,kajiachia kawa mnene kizembe,sidhani kama ni wote wa kufanyia operaesheni,wengine kama wakitoa uvivu wao,mazoezi yanaweza kurudisha miili yao ikawa vizuri...
acha kutembea mitaani kwa miguu nunua gari.Afadhali maana wapo wengi sana hadi huruma, unapishana na dume lina nyonyo saa sita
hii kitu ni ya muhimu sana, nilishawahi kuta kwenye shule moja, kijana ana sura ya mwanamke kabisa hadi matiti yanaota, ila ni mwanaume. nilimwonea huruma sana, na anaonekana anajisikia vibaya.
HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) - Mlongazila, imesema huduma ya kupunguza uzito na upasuaji rekebishi zinazotarajiwa kufanyika hospitalini huko, zitahusisha pia wanaume wenye maumbile kama matiti.
Mkuu wa Idara ya Upasuaji MNH-Mloganzila, Dk. Eric Muhumba, alibainisha hayo na kueleza kuwa huduma hizo kama alivyoeleza awali, zitatolewa kwa siku mbili kuanzia Oktoba 27 mwaka huu.
"Huduma hii ya kupunguza uzito ni kwa jinsi zote mbili kwa kuwa kumekuwa na minong’ono kwamba, mbona mmependelea wanawake. Huduma itafanyika kwa watu wote wenye uzito mkubwa," alisema.
"Tumeona wanaume kwa bahati mbaya inatokea miili yao wanakuwa kama wana matiti badala ya kifua cha kiume, nao watafanyiwa upasuaji rekebishi katika siku hizi mbili," alisema.
Bingwa huyo aliwatoa hofu Watanzania kwa kuwaeleza kuwa, upasuaji huo ni salama na ni sawa na upasuaji mwingine unaofanywa hospitalini huko.
Sure, nilishawahi kumbana na kijana wa hvyo yani hd nkaishiwa pozi mkuuhii kitu ni ya muhimu sana, nilishawahi kuta kwenye shule moja, kijana ana sura ya mwanamke kabisa hadi matiti yanaota, ila ni mwanaume. nilimwonea huruma sana, na anaonekana anajisikia vibaya.
Daah nimecheka sana EvilSpirit ina maana Dunia na vitu vyote imejitengeneza yenyewe tuu...Sasa hapo Mungu katoka wapi,yaani na utu uzima wako mpaka leo hii unaamini umeumbwa na mungu?
Mm sio choko wew dada ntake radhi ,Judging from your dp, wewe ni wale wa jinsi tata ngoja nikuache endelea kuwanyonyesha midume wenzio
Kama usingekua na manyonyo usingepanic kwenye comment yangu, katoe hizo nyonyo mshaletewa huduma hadi mlangoni, mnataka nini tena jamanKwann uandikie mate na wino upo wew, embu njoo huku nkunyamazshe nkutie dozi [emoji3]
Hakuna rijali mwenye nyonyo kubwa kama zako, zinavutwa hizo bhana weeeeeMm sio choko wew dada ntake radhi ,
Energy wasterHakuna rijali mwenye nyonyo kubwa kama zako, zinavutwa hizo bhana weeeee
Umepanic wew bhnKama usingekua na manyonyo usingepanic kwenye comment yangu, katoe hizo nyonyo mshaletewa huduma hadi mlangoni, mnataka nini tena jaman
nilishangaa sana nikagundua kumbe hili suala la matiti linaweza kua ni tatizoMiez miwili ndan ya kozi , manyonyo hayajaisha....
Labd huyo ni complete homon imbalance
Yes hiyo ni kasoro katk maumbili inawez kuwa na ulagi wa vyakula vya kisasa ambavyo vinatumia madawa alkazalk pombe...nilishangaa sana nikagundua kumbe hili suala la matiti linaweza kua ni tatizo