Muhimbili kuanza kutibu Wanaume wenye matiti

💯
 
hii kitu ni ya muhimu sana, nilishawahi kuta kwenye shule moja, kijana ana sura ya mwanamke kabisa hadi matiti yanaota, ila ni mwanaume. nilimwonea huruma sana, na anaonekana anajisikia vibaya.
 
hii kitu ni ya muhimu sana, nilishawahi kuta kwenye shule moja, kijana ana sura ya mwanamke kabisa hadi matiti yanaota, ila ni mwanaume. nilimwonea huruma sana, na anaonekana anajisikia vibaya.
Sure, nilishawahi kumbana na kijana wa hvyo yani hd nkaishiwa pozi mkuu

Homornal imbalance nahc ndio inapelekea Hali hyo ya wanawake kuwa na muonekano wa kiume na wanaume kuwa na muonekano wa kike
 
Kwann uandikie mate na wino upo wew, embu njoo huku nkunyamazshe nkutie dozi [emoji3]
Kama usingekua na manyonyo usingepanic kwenye comment yangu, katoe hizo nyonyo mshaletewa huduma hadi mlangoni, mnataka nini tena jaman
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…