Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Mbona maelezo hayaeleweki vizuri - madakitari wanasema bado hawahajua vizuri ufanisi wa mashine hizo hukoje? Sasa kama madaktari hawaja zifanyia utafiti wa kitosha kwa nini mashine zinafingwa Muhimbili na Mloganzila-nani katoa kibari cha kutumia mashine ambazo bado ni umproven kama kweli ni effective?

Kitu kingine ambacho nakiona ni hatarishi, je, watu wenye matatizo ya pumu, mapafu,moyo na wazee eanawrza kweli kufungiwa kwenye SAUNA yenye oil essentials bila ya kudhulika - mambo mengine tuwe makini sana, kama ni suala la biashara basi wafanye tafiti za kutosha kuhusu kundi nililo taja hapo juu.
 
MITANO TENA

bitanu

FIVE MORE

5+

还有五个

पाँच और
 
Kiingereza hukijui na Kiswahili hujui umebaki kuajiandikia hovyo dogo punguza kujifanya we wa Oxford
Kiingereza kipi sijui? Na Kiswahili kipi? Tumekubaliana kuandika Kiswahili ambacho sijui? Kasarobo!
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mloganzila zimefunga mashine nne za kujifukiza.

Wakati Muhimbili zikifungwa mashine tatu, Mloganzila imefungwa moja. Gharama ya kila mashine ni Sh7.5 milioni na kila moja ina uwezo wa kuhudumia watu sita kwa wakati mmoja wanaopaswa kukaa kati ya dakika tano hadi 10.

Ili mtu aweze kujifukiza katika mashine hizo anapaswa kulipia Sh5,000 na yeyote anaruhusiwa hata wapita njia.

Akizungumza katika uzinduzi wa mashine hizo zilizopewa jina la Bupiji Sauna leo Alhamisi Machi 4, 2021 mkurugenzi mtendaji wa MNH, Profesa Lawrence Museru amesema kuanzishwa kwa mashine hizo kutarahisisha upatikanaji wa huduma ya kujifukiza kwa watu wote wanaohitaji.

“Kujifukiza huku kunaenda sambamba na matumizi ya dawa za asili ambazo zimekuwa zikitumiwa na zimeonyesha kusaidia, mashine hii inatumia dawa ya Bupiji inayowekwa katika maji ya mvuke na mgonjwa au mtu anayetaka anaingia ndani atakaa dakika tano hadi 10,” Profesa Museru.

Profesa Museru amesema uwepo wa mashine hizo kutawawezesha madaktari kujua kama njia hiyo inasaidia kwa kiwango gani vita dhidi ya corona.

Mwananchi

---

PICHA ZA MUONEKANO WA MASHINE YA KUJIFUKIZA
View attachment 1717891View attachment 1717892View attachment 1717893View attachment 1717894
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom