Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Tshs 5,000/-tu
Hospital ya taifa
Hivi lengo ni kutokomeza ugonjwa nchini au ndio tena ishakua fursa?
Mngeweka bei ya Tshs 200 au 500 kungekuwa na hasara gani?
Ukitaka kutawala kwa raha, piga mkwala kwanza kila mtu anyweee!!ndio uanze kufanya kila ulitakalo!!hakuna wa kusema, kipimo cha covid19, kilikuwa 40, 000 sasa ni 230, 000, nchi, nyingi ni bure, kwa raia wake!!wamepiga mkwala mask za nje, kumbe wanakuja na zao toka mcd!!leo nimesikia tena wanakuja na sanitizer!!!ni biashara tu, huko tena wizara ya afya kuna acc imefunguliwa yankuchangia mfuko wa covid19!!!nani wa kuhoji hayo?!!!
 
Mkuu suala la afya sio eti kuleta uzalendo sio mpira huo!!yaani watu wanaumiza vichwa na pesa nyingi sana, kufanya tafiti za kina kugundua chanjo tena za virus, wewe unaamka asubuhi na kuja na MATOGWA, MIBANDA MIKUBWA, eti kujifukiza, mala kirusi kwenye joto la centigrade kadhaa kina pasuka kweli??!!"by mtaalam wa kemia"kwanza jiulize kwani hii covid 19, ndio ugonjwa wa kwanza, mbona hamjawahi gundua dawa yoyote ile, na ikaumika duniani kote?!!yaani sasa hivi ndio unawaona waganga wa kienyeji wanavyofumuka utafikiria ndio kwanza wamezaliwa hawakuwepo!!tuache siasa hiyo chanjo haikwepeki ni suala la muda tu, na baadaye atakapo kubali mtaanza tena kumsifia kuwa ni mzalendo!!hata hamueeweki
Naona unawapigia debe ma- white wizard wenzio, Waafrika huwataki!???
 
Hivi kweli madakatari wetu wanapendekaza kujifukiza kutibu kovidi? Ewe mwenyezi Mungu wanusuru Watanzania.Ijumaa hii nasujudu ,ewe Mwenyezi Mungu wanusuru Watanzania. 6
Tatizo hujui kovidi kuwa ni mafua tu makali. Kujifukiza kunaboost natural immunity mwilini ambayo matokeo yake ni kupambana kifanisi dhidi ya virusi. Chanjo inaingiza foreign antigens mwilini ambazo zinakuwa kama sampuli za SARS-COVID Virus wa corona, matokeo yake kinga ya mwili inakuwa aktiveted kupambana na REAL Corona virus.
 
Kwa hiyo mtu wa kipato cha chini atoke kwake, apande usafiri, afike MNH na atoe TZS 5000 ili apige nyungu kisha arudi kwake tena!
Hiyo imewekwa kwa madhumuni ya watu wanaoenda Muhimbili kumbuka Muhimbili watu wengi wanaenda hapo wa kipato tofautitofauti.
 
Hiyo imewekwa kwa madhumuni ya watu wanaoenda Muhimbili kumbuka Muhimbili watu wengi wanaenda hapo wa kipato tofautitofauti.
Sasa boss si ulisema imelenga watu wa kipato cha chini? Imekuaje tena unaongelea watu wa kipato tofauti tofauti?
Pili, ulimjibu mtu aliyesema kuna haja gani ya kuwepo hiyo wakati mtu anaweza kufanya hivyo nyumbani kwake? Wewe ndiyo ukasema ya MNH imelenga wananchi wa kipato cha chini!
Lipi unalolisimamia sasa?
 
Wakisema steaming utakubali lakini wakisema nyungu unadharau. Waafrika tuna shida kwenye ubongo wetu hasa mnaojifanya mmesoma kumbe mmekariri hamkuelimika kabisa. Unajua kuwa virus wa corona ni inflammatory? Na kwamba virus wanauwawa na joto sasa steaming au nyungu ndiyo njia mwafaka ya kuwazuia.wasiendelee kuongezeka puani na njia za hewa mdomoni? Elimikeni kwanza then mpinge kwa akili basi nyinyi utopolo.
Acha ubwege wewe baradhuli. Kuna tofauti kubwa kati ya inflammatory na infectious ( inflammation na infection) Tofauti kama iliyopo kati ya mass na weight!
 
Acha ubwege wewe baradhuli. Kuna tofauti kubwa kati ya inflammatory na infectious ( inflammation na infection) Tofauti kama iliyopo kati ya mass na weight!
Hujui chochote! Umekariri
 
"Hadi sasa hakuna Tiba ya covid hivyo kila dawa inapaswa kujaribiwa. Matumizi ya miti shamba yaonekana kuwa na faida," amesema Prof Maseru.
Inanitia uchungu na hasira. Profesa kuna nini kinaendelea? Nadhani unajua kuna magonjwa bila dawa yanapona kwa siku saba na kwa dawa yanapona kwa wiki. Maana yake dawa haijasaidia chochote.
Pia unajua kuwa ukiona ugonjwa mara fulani katumia dawa hii amepona. Wa pili naye ugonjwa huohuo kapona kwa dawa tofauti. Wa tatu, wa nne na kuendelea, kila mmoja anapona kwa dawa tofauti. Huo ugonjwa haujapata dawa.
Wote ni mashuhuda wa jambo fulani la ajabu la magonjwa. Unasikia mgonjwa aliyepima na kukutwa na malaria anapona kwa panadol tu. Na mwingine anatumia dawa zinazofahamika kutibu malaria haponi mpaka labda drip ya quinine!
Magonjwa yasababishwayo na virus ndio ajabu kabisa. Mtu ni hiv+(true+) kwa miaka 20 sasa hajaumwa. Kuna wengine walikuwa hiv+ (confirmed) baada ya muda wakawa hiv-. Kuna tofauti kati ya kuwa mgonjwa na kuumwa. Wagonjwa ni wengi. Wanaoumwa ni wachache!
Yote haya yana maelezo yake kitabibu. Profesa unajua. Si ajabu hiyo mitishamba kuonyesha faida( neno lako) tena zama za covid-19 kutokuwa na tiba. Si ajabu hata kidogo. Ni ajabu daktari (licha ya kwamba wewe ni orthopedic surgeon) tena wa cheo chako kutamka vitu ulivyosema na kufanya. Inatisha!
 
Inanitia uchungu na hasira. Profesa kuna nini kinaendelea? Nadhani unajua kuna magonjwa bila dawa yanapona kwa siku saba na kwa dawa yanapona kwa wiki. Maana yake dawa haijasaidia chochote.
Pia unajua kuwa ukiona ugonjwa mara fulani katumia dawa hii amepona. Wa pili naye ugonjwa huohuo kapona kwa dawa tofauti. Wa tatu, wa nne na kuendelea, kila mmoja anapona kwa dawa tofauti. Huo ugonjwa haujapata dawa.
Wote ni mashuhuda wa jambo fulani la ajabu la magonjwa. Unasikia mgonjwa aliyepima na kukutwa na malaria anapona kwa panadol tu. Na mwingine anatumia dawa zinazofahamika kutibu malaria haponi mpaka labda drip ya quinine!
Magonjwa yasababishwayo na virus ndio ajabu kabisa. Mtu ni hiv+(true+) kwa miaka 20 sasa hajaumwa. Kuna wengine walikuwa hiv+ (confirmed) baada ya muda wakawa hiv-. Kuna tofauti kati ya kuwa mgonjwa na kuumwa. Wagonjwa ni wengi. Wanaoumwa ni wachache!
Yote haya yana maelezo yake kitabibu. Profesa unajua. Si ajabu hiyo mitishamba kuonyesha faida( neno lako) tena zama za covid-19 kutokuwa na tiba. Si ajabu hata kidogo. Ni ajabu daktari (licha ya kwamba wewe ni orthopedic surgeon) tena wa cheo chako kutamka vitu ulivyosema na kufanya. Inatisha!
Kama hutaki nenda USA kama unajari sana vya wazungu. Sisi tumepona kwa dawa zetu za miti shamba.
 
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mloganzila zimefunga mashine nne za kujifukiza.

Wakati Muhimbili zikifungwa mashine tatu, Mloganzila imefungwa moja. Gharama ya kila mashine ni Sh7.5 milioni na kila moja ina uwezo wa kuhudumia watu sita kwa wakati mmoja wanaopaswa kukaa kati ya dakika tano hadi 10.

Ili mtu aweze kujifukiza katika mashine hizo anapaswa kulipia Sh5,000 na yeyote anaruhusiwa hata wapita njia.

Akizungumza katika uzinduzi wa mashine hizo zilizopewa jina la Bupiji Sauna leo Alhamisi Machi 4, 2021 mkurugenzi mtendaji wa MNH, Profesa Lawrence Museru amesema kuanzishwa kwa mashine hizo kutarahisisha upatikanaji wa huduma ya kujifukiza kwa watu wote wanaohitaji.

“Kujifukiza huku kunaenda sambamba na matumizi ya dawa za asili ambazo zimekuwa zikitumiwa na zimeonyesha kusaidia, mashine hii inatumia dawa ya Bupiji inayowekwa katika maji ya mvuke na mgonjwa au mtu anayetaka anaingia ndani atakaa dakika tano hadi 10,” Profesa Museru.

Profesa Museru amesema uwepo wa mashine hizo kutawawezesha madaktari kujua kama njia hiyo inasaidia kwa kiwango gani vita dhidi ya corona.

Mwananchi

---

PICHA ZA MUONEKANO WA MASHINE YA KUJIFUKIZA
View attachment 1717891View attachment 1717892View attachment 1717893View attachment 1717894
Waseme tu kuwa wamebuni chanzo cha kukusanya kodi, hivi kweli mtu ambaye anategemea akauze nyanga, au atembee nguo atajifukiza atatoa 5,000 badala ya kuwanunulia watoto wake chakula
 
Hujui chochote! Umekariri
I'm in a dilemma. Don't argue with a fool, people might not notice the difference. Ninaye baradhuli mmoja mbele yangu. Anahubiri ujinga. Kwa wengi ni sumu. Ni mwache asambaze sumu? Hapana. Nataka kumshughulikia bila ya samahani. Atoe tofauti kati ya inflammatory na infectious. Kama hawezi akae tu asome wanaojua wanaandika nini. Akiendelea kuandika apuuzwe apuuzwavyo mpuuzi. Na ajue kuwa katika kujifunza kukariri hakukwepeki!
 
Kama hutaki nenda USA kama unajari sana vya wazungu. Sisi tumepona kwa dawa zetu za miti shamba.
You fool don't fool around me. What I've written is not for fools like you. Kuna dawa kwa ajili yako nimetoa tayari. Tulia. Kujua kusoma na kuandika tu kama wabunge wa Tz haitoshi.
 
Wamekufa watu wangapi hadi leo kwa kupewa hicho unchoita Oxygen?....Aliyekwambia inatibu virus ni nani mkuu? Tumia muda wako wa ziada kujikumbushia uliyosoma shule ya msingi....inalipa sana!
Wazungu wenyewe wanajifukiza hata kabla ya corona kuja....tuliopata bahati ya kusoma tiba zao ona wanavyofanya:

Steam Inhalation: What Are the Benefits?​

What are the benefits of steam inhalation?​

A stuffy nose is triggered by inflammation in the blood vessels of the sinuses. The blood vessels can become irritated because of an acute upper respiratory infection, such as a cold or a sinus infection.
The main benefit of breathing in moist, warm steam is that may help ease feelings of irritation and swollen blood vessels in the nasal passages. The moisture may also help thin the mucus in your sinuses, which allows them to empty more easily. This can allow your breathing to return to normal, at least for a short period of time.
Steam inhalation may provide some temporary relief from the symptoms of:
While steam inhalation can provide subjective relief from the symptoms of a cold and other upper respiratory infections, it won’t actually make your infection go away any faster.
Steam inhalation doesn’t actually kill the virus responsible for the infection. At best, steam inhalation might make you feel a little better as your body fights your cold.
One review of six clinical trials evaluating steam therapy in adults with the common cold had mixed results. Some participants had symptom relief, but others didn’t. Additionally, some participants experienced discomfort inside the nose from the steam inhalation.
Another recent clinical trial looked at the use of steam inhalation in treating chronic sinus symptoms. The study, however, didn’t find that steam inhalation was beneficial for the majority of sinus symptoms, except for headache.
Although the results of clinical studies have been mixed, anecdotal evidence claims steam inhalation helps alleviate:
  • headache
  • congested (stuffy) nose
  • throat irritation
  • breathing problems caused by airway congestion
  • dry or irritated nasal passages
  • cough

Sisi tunaongeza an dawa zetu kama bupeji....nk
Wewe zoba kabisa. Kujua kusoma na kuandika haitoshi. Ungejua kwa nini wagonjwa wanawekewa oxygen ungenyamaza. Covid-19 inaingia lower respiratory tract bila hodi. Hiyo rejea yako inasema steaming haiui virus hata huko kwenye upper respiratory tract. Sijui huyu mdudu MATAGA atabakiza mtu. Huyu ni hatari kuliko corona virus!
 
I'm in a dilemma. Don't argue with a fool, people might not notice the difference. Ninaye baradhuli mmoja mbele yangu. Anahubiri ujinga. Kwa wengi ni sumu. Ni mwache asambaze sumu? Hapana. Nataka kumshughulikia bila ya samahani. Atoe tofauti kati ya inflammatory na infectious. Kama hawezi akae tu asome wanaojua wanaandika nini. Akiendelea kuandika apuuzwe apuuzwavyo mpuuzi. Na ajue kuwa katika kujifunza kukariri hakukwepeki!
Si tumekubaliana lugha ni Kiswahili sasa swanglish ya nn
 
Back
Top Bottom