Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Mwisho wa kunukuu.[emoji1609]”Profesa Museru amesema uwepo wa mashine hizo kutawawezesha madaktari kujua kama njia hiyo inasaidia kwa kiwango gani vita dhidi ya corona”.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa kunukuu.[emoji1609]”Profesa Museru amesema uwepo wa mashine hizo kutawawezesha madaktari kujua kama njia hiyo inasaidia kwa kiwango gani vita dhidi ya corona”.
Hii nchi ina ombwe la uongoziYaani kuvuta hayo mamivuke buku 5, kwamba kila mtu hawezi kutengeneza nyumbani kwake.....hivi mnauelewa kwamba mazingira ya humo ndani na idadi ya watu watakaoingia itachochea zaidi maambukizi ya korona na magonjwa mengine kama TB, hivi nchi hii wote wamegeuka waganga wa kienyeji?
hao wagonjwa wanapimwa na kuambiwa wana maambukizi kabla ya kuingia humo?Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Mloganzila zimefunga mashine nne za kujifukiza.
Wakati Muhimbili zikifungwa mashine tatu, Mloganzila imefungwa moja. Gharama ya kila mashine ni Sh7.5 milioni na kila moja ina uwezo wa kuhudumia watu sita kwa wakati mmoja wanaopaswa kukaa kati ya dakika tano hadi 10.
Ili mtu aweze kujifukiza katika mashine hizo anapaswa kulipia Sh5,000 na yeyote anaruhusiwa hata wapita njia.
Akizungumza katika uzinduzi wa mashine hizo zilizopewa jina la Bupiji Sauna leo Alhamisi Machi 4, 2021 mkurugenzi mtendaji wa MNH, Profesa Lawrence Museru amesema kuanzishwa kwa mashine hizo kutarahisisha upatikanaji wa huduma ya kujifukiza kwa watu wote wanaohitaji.
“Kujifukiza huku kunaenda sambamba na matumizi ya dawa za asili ambazo zimekuwa zikitumiwa na zimeonyesha kusaidia, mashine hii inatumia dawa ya Bupiji inayowekwa katika maji ya mvuke na mgonjwa au mtu anayetaka anaingia ndani atakaa dakika tano hadi 10,” Profesa Museru.
Profesa Museru amesema uwepo wa mashine hizo kutawawezesha madaktari kujua kama njia hiyo inasaidia kwa kiwango gani vita dhidi ya corona.
Mwananchi
sauna wapi na wapi na kujifukizaHiyo ni sauna, Dodoma zipo mda mrefu sana
Ulitegmea zifanyiwe utafiti kwa nyani? Zipo zinafanyiwa utafiti kwa binadamu na majibu yake yatachapichwa "The Lancet"
Sauna za wazungu ni sawa sawa na nyungu ? Maana wao walisema hazifai katika kipindi hiki cha kovidi, labda wataalamu watakuwa wameweka vya ziada ili kuzifanya salama na tofauti na hizo za wazungu
We ndiyo fala, huo mvuke unaotoka una kiasi gani cha Oxygen? mnauwa watu kwa makusudi nyie. Afu unakuta prof mzima wa udaktari wa binadamu anashadadia hii mivuke eti inatibu Virus."....unampa Caron dioxide kwa wingi." Hapo mkuu sijuhi ulikuwa una maana gani.....jinga sana wewe!
Ni kwasababu inafanywa namtanzania ndyo maana watu wanaidharau. Watanzania tuna hulka mbaya sana. Ingekuwa mzungu kafungua SAUNA watu wangekimbizana kwenda lakini kwasababu ni mtanzania ndyo katengeneza tunaona ni utopolo mtupu[emoji119]Msiojua hii ni sauna ipo toka zamani, hakuna hoteli kubwa isiyokuwa nayo, kazi yake kutoa sumu mwilini nk, inasaidia sana hata magonjwa nyemelezi ngumu kupata anayefanya sauna
Mjumbe hauwawi au wewe wataka panga mashambuliziNi Mjumbe tu Yeye....Kwanini wataka kumuua?
Unaengelea miaka gan hyo mkuu?! Ujue zama zmebadilika hata dhaman watu walikua wana jistili tuu sehemu za siri then wana ingia mtaani fanya hvo sahv uone kama hautaonekana kichaa the inshu zama zilipita na hyo practice ilionekama siyo poa sasa sis tunataka kurud hukooo😂😂😂View attachment 1717355
Tatizo nadhani siyo kupinga sayansi bali kwa mbaaaali tunakale kaugonjwa kuwa lazima aanze kwanza mzungu ndio inakuwa sayansi ya ukweli.
Ngozi nyeupe wametumia sana mivuke ya Eucalyptus na sisi tunaita Bupigi.
Wataalamu wetu wafanye clinical trials.
Kwa hiyo mtu wa kipato cha chini atoke kwake, apande usafiri, afike MNH na atoe TZS 5000 ili apige nyungu kisha arudi kwake tena!Kumbuka kuna watu hawana uwezo kama wewe. Hivyo hiyo ni kwa ajili ya watu wakipato cha chini.
Halafu aliyesema hivyo ni Professor!!!Kumbe ni mashine ambazo bado hazijafanyiwa utafiti?
Very ridiculous.
Wamekufa watu wangapi hadi leo kwa kupewa hicho unchoita Oxygen?....Aliyekwambia inatibu virus ni nani mkuu? Tumia muda wako wa ziada kujikumbushia uliyosoma shule ya msingi....inalipa sana!We ndiyo fala, huo mvuke unaotoka una kiasi gani cha Oxygen? mnauwa watu kwa makusudi nyie. Afu unakuta prof mzima wa udaktari wa binadamu anashadadia hii mivuke eti inatibu Virus.
Mkuu suala la afya sio eti kuleta uzalendo sio mpira huo!!yaani watu wanaumiza vichwa na pesa nyingi sana, kufanya tafiti za kina kugundua chanjo tena za virus, wewe unaamka asubuhi na kuja na MATOGWA, MIBANDA MIKUBWA, eti kujifukiza, mala kirusi kwenye joto la centigrade kadhaa kina pasuka kweli??!!"by mtaalam wa kemia"kwanza jiulize kwani hii covid 19, ndio ugonjwa wa kwanza, mbona hamjawahi gundua dawa yoyote ile, na ikaumika duniani kote?!!yaani sasa hivi ndio unawaona waganga wa kienyeji wanavyofumuka utafikiria ndio kwanza wamezaliwa hawakuwepo!!tuache siasa hiyo chanjo haikwepeki ni suala la muda tu, na baadaye atakapo kubali mtaanza tena kumsifia kuwa ni mzalendo!!hata hamueewekiHivi kwa nini tusipende vya kwetu? Shida ni nini iwapo na sisi watalam wetu wameona njia bora mojawapo kua ni hiyo? Kwani na sisi hadi tuige kwa kwingine? Naunga mkono msimamo wa Nchi yangu