The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Ongea pole pole maana unaweza kuta una chat kwenye forums za weupe alaf ukakuta hili swali waulizwa where are you came from kwa ujinga huu huna budi kusema Kenya maana ukisema uko tz unajumuishwa kundi la nyumbu wale wanaofuatana pasipo kujua waendakoTumekuwa Taifa la Wapumbavu Mkuu kwa sababu tu ya mtu mmoja ambaye hajaelimika hata chembe.