Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Muhimbili na Mloganzila zafunga mashine za kujifukiza. Kupata huduma hiyo ni Tsh. 5,000 tu

Tumekuwa Taifa la Wapumbavu Mkuu kwa sababu tu ya mtu mmoja ambaye hajaelimika hata chembe.
Ongea pole pole maana unaweza kuta una chat kwenye forums za weupe alaf ukakuta hili swali waulizwa where are you came from kwa ujinga huu huna budi kusema Kenya maana ukisema uko tz unajumuishwa kundi la nyumbu wale wanaofuatana pasipo kujua waendako
 
Angalia Mkuu ningekuwa naunga mkono huu upumbavu unaoendelea basi ni sawa kabisa kujumuishwa lakini tangu alipoteuliwa kubeba bendera ya maccm NIMEMPINGA na sijawahi kujutia kwani hadi hii leo niko sawa huyo mtu hakustahili hata chembe.
Ongea pole pole maana unaweza kuta una chat kwenye forums za weupe alaf ukakuta hili swali waulizwa where are you came from kwa ujinga huu huna budi kusema Kenya maana ukisema uko tz unajumuishwa kundi la nyumbu wale wanaofuatana pasipo kujua waendako
 
Nasubiri kuona vigogo wengi wakipigana vikumbo wakienda hapo kupigwa picha za nyungu, ili wamfurahishe mukulu.

Kama namuona waziri dokita na mpenzi wake sana wakili msomi, wakiwa hapo kila wikiendi😅😅

Everyday is Saturday............................... 😎
 
1614882204057.png
 
Hongera Sana Muhimbili National Hospital MNH Waongoze juhudi katika hilo, Binafsi Nimefurahi

Niwakumbushe; Kama Tanzania inakukera sanaa unaweza kuhama.
 
Aibu aibu aibu!!!!!!!!
Hivi hao maprofesa wa Muhimbili wanaamini nyungu? Au ndio namna ya kumfurahisha mtukufu?
Hili jambo linatisha. Mustakabali wa taifa letu u mashakani wakati huu kuliko muda wowote wa uhai wa taifa hili. Naomba watafiti wafanye haraka kutafuta chanzo cha hili janga ambalo ni hatari kuliko corona.

Sizungumzii hofu! Ujinga mwingine ambao tunaaminishwa. Kuna ugonjwa. Tuseme haupo kuzuia taharuki! Upumbavu uliokubuhu. Upumbavu ni dhambi. Nazungumzia sycophantic intellectuals! What a shame? Alianza Kabudi. Janga linaendelea. Hata na wewe Museru? Nani kakulogeni?

Sauna zilianzia Finland. Kwa sasa zimetapakaa nchi za Scandnavia, Russia na Ujerumani. Zimeingia Ulaya ya Magharibi baada ya Vita Kuu II ya Dunia. Museru, tafadhali, soma hiyo kitu na kuielewa vizuri. Imeishafanyiwa utafiti wa kutosha sana. Indications na contraindications zake zinafahamika!
 
Wakisema steaming utakubali lakini wakisema nyungu unadharau. Waafrika tuna shida kwenye ubongo wetu hasa mnaojifanya mmesoma kumbe mmekariri hamkuelimika kabisa. Unajua kuwa virus wa corona ni inflammatory? Na kwamba virus wanauwawa na joto sasa steaming au nyungu ndiyo njia mwafaka ya kuwazuia.wasiendelee kuongezeka puani na njia za hewa mdomoni? Elimikeni kwanza then mpinge kwa akili basi nyinyi utopolo.

Wewe ndio hujitambui, yaani unasema nyungu inaua virusi at the same time unasema inawazuia, sidhani kama unajiskiliza,
 
Itaweza toa huduma kwa Watanzania Mil 10 wanaoishi Dar es Salaam?
 
Prof mzima kabisa anaongea hivo serikali hii kiboko wasomi wote Hawajitofautishi na marehemu severini mchunga ng'ombe kule kijijini kwetu
 
View attachment 1717355
Tatizo nadhani siyo kupinga sayansi bali kwa mbaaaali tunakale kaugonjwa kuwa lazima aanze kwanza mzungu ndio inakuwa sayansi ya ukweli.
Ngozi nyeupe wametumia sana mivuke ya Eucalyptus na sisi tunaita Bupigi.
Wataalamu wetu wafanye clinical trials.
Sayansi inasimama yenyewe haihitaji validation kutoka kwa mzungu. Kuleta hoja za "mbona wao wana sauna" na picha kama hizi kutafuta validation ndio inferiority yenyewe, na inaonesha kutokuwa na uelewa wa sayansi.

Sayansi ina taratibu zake. Sayansi hutafuta uelewa (hata kuna lugha Profesa ametumia kwenye habari hapo juu kuonyesha hili, japo inaleta maswali mengi zaidi ya majibu), na sio kuhitimisha kirahisi rahisi Kwa kusema mbona mababu zetu walifanya na ziliwaletea matokeo.

Mpaka kupewa legitimacy inayopewa kwenye jamii ya kisasa, sayansi imekumbana na vikwazo vingi, vingine vyenye nguvu kubwa. Ingekuwa inatoa majibu ya rejareja kama ambayo baadhi yetu tunaamini yanastahili kuitwa sayansi, pengine ingebaki historia
 
Back
Top Bottom