Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Janabi ni Muha au Mzaramo?! 🐼Dr.Janabi futa hiyo kitu Haraka sana.Wakati wa Nyerere saa hizi wewe kazi kwisha ! Ungesharudi Bagamoyo kukwea minazi !
Mama Samia usikubali upuuzi huu !
Binadamu wote tuko sawa hakuna cha VIP wala nini
Ingefaa mama uje na shule zako na mtaala wako nadhani utawafundisha vizuri mno.=jedwali.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hadi mochwariKumbe kuna mpaka wagonjwa VIP
🤔
NakaziaNHIF ndio imejifia hivyo, ni mwendo wa kutoa cash sasa hivi
😅🤣😃Ila Mkuu Unajua Vijembe Vya Rejareja Unavyotoa Siyo SawaMwanamke lake jiko;tutaelewana mbele ya safari!
#Tupo bega kwa bega na Mama mpaka atuuwe!!
Utafikiri kuna hiyo VIP kweliDaah Nchi hii watu wanajipangia gharama kubwa kama vile wanaotibiwa sio Watanzania daah na maboresho yote yanafanywa kwa Kodi zao ila kwenye kutibiwa sio jukumu lao...
Mpaka wafu VIP wapo!Kumbe kuna mpaka wagonjwa VIP
🤔
Asa analipaje akati hamuoni mkuu yeye direct kwa chumba ya Daktari [emoji23][emoji23]Kwahiyo vipofu hawatalipia hela ya kumuona daktari?
hivi kweli eeehKwahiyo vipofu hawatalipia hela ya kumuona daktari?
Wewe ulienda kusomea kejeli?=jedwali.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hakuna hio kitu kuwa binadamu wote ni sawa 😂😂😂 hata nyumbani kwako tu hampo sawaDr.Janabi futa hiyo kitu Haraka sana.Wakati wa Nyerere saa hizi wewe kazi kwisha ! Ungesharudi Bagamoyo kukwea minazi !
Mama Samia usikubali upuuzi huu !
Binadamu wote tuko sawa hakuna cha VIP wala nini