Muhimbili yaongeza Gharama za Kuona wagonjwa wa VIP

Muhimbili yaongeza Gharama za Kuona wagonjwa wa VIP

Dawa yao tususie kuumwa
Halafu tuone hizo hela za VIP watapata wapi hao Muhimbili
 
Taarifa iliyotolewa na Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili Aprili 9, 2024 imesema kutokana na maboresho yaliyofanyika na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili upande wa Kliniki za VIP Jengo la wagonjwa wa nje inayoitwa 'NOPD VIP', bei ya kumwona Daktari kwa Kliniki kwa sasa ni Shilingi 100,000/=.

Mgonjwa wa Malipo Taslimu 'Cash' atatakiwa kulipia kwa Control Namba ya kiasi kama inavyoonyesha kwenye Jedwari. Aidha, Wagonjwa wa Bima watakaohitaji kuonwa kwenye Kliniki hii watalipa kama Jedwari linavyoonyesha hapo chini.

View attachment 2965279
Niko nje ya mada samahani. Ivi madaktari wanaotibu VIP ni walewale wa average au ni vichwa tofauti??
 
Sio wagonjwa VIP tu hadi Marehemu VIP wapo.

Tutafuteni Pesa, Sio Kayumba Zote zina Treatment sawa.

Kuna Watoto wa Viongozi wanasoma Kayumba Schools Ada Free ila sio kayumba zenu hizo.

Tanzania ni Nchi nzuri sana ukiwa na Pesa utaishi kama Ji Falme la Uarabuni maana lina treatment nzuri sana kwa VIP Kwa Low Cost Compare to other countries.
 
Back
Top Bottom