Muhimbili yaongeza Gharama za Kuona wagonjwa wa VIP

Dawa yao tususie kuumwa
Halafu tuone hizo hela za VIP watapata wapi hao Muhimbili
 
Niko nje ya mada samahani. Ivi madaktari wanaotibu VIP ni walewale wa average au ni vichwa tofauti??
 
Sio wagonjwa VIP tu hadi Marehemu VIP wapo.

Tutafuteni Pesa, Sio Kayumba Zote zina Treatment sawa.

Kuna Watoto wa Viongozi wanasoma Kayumba Schools Ada Free ila sio kayumba zenu hizo.

Tanzania ni Nchi nzuri sana ukiwa na Pesa utaishi kama Ji Falme la Uarabuni maana lina treatment nzuri sana kwa VIP Kwa Low Cost Compare to other countries.
 
Sasa hz kadi zetu za NHIF zitakua mzigo kuzibebq huko mahospitalini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…