CHADEMA
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 490
- 2,471
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), leo kinaanza rasmi kuendesha Mabaraza ya Katiba, ambapo wananchi wote watashirikishwa kujadili na kutoa maoni yao juu ya Rasimu ya Katiba Mpya, kwa njia mbalimbali kama ifuatavyo;
1. Mikutano ya hadhara, itakayoanza leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiongozwa na timu mbili za viongozi wakuu,
Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dkt. Willibroad Slaa.
Mikutano hiyo itafanyika nchi nzima. Ratiba ya mikutano yote, itaendelea kutolewa kwa umma, kupitia vyombo vya habari (mainstream & social media).
2. Kutuma ujumbe mfupi kwa simu. Mwananchi anaweza kutuma maoni yake ya Katiba Mpya kupitia simu ya mkononi, kwenye NAMBA HII YA SIMU; 0789 24 82 24.
3. Email; chademamaoni@gmail.com
4. Kwa kupitia JamiiForums, toa maoni yako kwenye hii thread, ukishatoa maoni; jaza fomu ifuatayo;
Fomu ya maoni juu ya Rasimu Katiba Mpya (CHADEMA) - 2013
ili kukubaliana au kutokubaliana na vipengele vilivyoonyeshwa kwenye Jedwali.
Mfumo huu utatumika kwa facebooks, twitter, group emails, k.m mabadiliko, wanabidii n.k,
====================
[TABLE="width: 942"]
[TR]
[TD]S/N
[/TD]
[TD]IBARA
[/TD]
[TD]MAPENDEKEZO YA CHAMA (CHADEMA)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1.[/TD]
[TD]2 Eneo la Jamhuri ya. Muungano[/TD]
[TD]Neno Tanzania Bara liondolewe na kuandika Tanganyika kila palipo na neno Tanzania Bara.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.[/TD]
[TD]4(1) Lugha ya Taifa[/TD]
[TD]Lugha ya Taifa itakuwa Kiswahili na miswada/sheria zote zitaandikwa kwayo pamoja na lugha zingine[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3.[/TD]
[TD]5 Tunu za Taifa[/TD]
[TD]Viongozwe vipengele hivi demokrasia ya vyama vingi, utawala wa sheria,uwazi na haki za binadamu.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4.[/TD]
[TD]6(2) Daftari la wapiga kura[/TD]
[TD]Liwe mahali ambapo kila raia akifikisha miaka 18 ana andikishwa wakati wowote.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.[/TD]
[TD]17&85 watumishi wa umma.[/TD]
[TD]Mishahara ya watumishi wote wa umma pamoja Rais ijulikane.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6.[/TD]
[TD]32 (2) haki ya kuandamana[/TD]
[TD]Kila mtu ana haki kwa amani na bila kubeba siraha kukusanyika/kuandamana kuzuia njia na kuwasilisha malalamiko.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7.[/TD]
[TD]35(e) kugoma[/TD]
[TD]Kugoma au kusitisha nguvu kazi yake mahali pa kazi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8.[/TD]
[TD]47 Haki ya kumiliki rasilimali[/TD]
[TD]Iongezwe ibara mpya ya 48 haki ya kumiliki rasilimali za asili zote Ardhi, Madini, mafuta na gesi, maji na misitu na wanyama pori.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9.[/TD]
[TD]60 (7)nyongeza[/TD]
[TD]Kiongozwe kifungu cha 7 Maadili na miiko ya uongozi na utumishi wa umma, Haki za binadamu na wajibu wa raia. Tume huru ya Taifa ya uchaguzi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10.[/TD]
[TD]Serikali tatu (3)[/TD]
[TD]Kuwepo serikali ya Muungano, serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanganyika.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11.[/TD]
[TD]75(d) Uchaguzi wa rais.[/TD]
[TD]Umri wa mgombea urais uwe miaka kumi na nane[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12.[/TD]
[TD]83(i) kinga dhidi ya mashtaka ya Rais.[/TD]
[TD]Wakati wowote Rais akiwa madarakani na baada ya kuacha kushika madaraka aweze kushtakiwa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13.[/TD]
[TD]105 (2) (b) wabunge wa kuteuliwa[/TD]
[TD]Kipengele hiki kifutwe na badala yake iwe wabunge 20 watakaochaguliwa kutokana na uwiano wa kura zilizopigwa kwa vyama vya siasa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14.[/TD]
[TD]117(i) (a) Mgombea Ubunge[/TD]
[TD]Umri wa mgombea ubunge uwe miaka 18 na si 25 kama inavyopendekezwa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15.[/TD]
[TD]123(2) uwajibikaji wa mbunge.[/TD]
[TD]Hii ifutwe na kuongeza :mbunge aliyependekezwa na chama cha siasa atapoteza ubunge wake ikiwa atafukuzwa au kuvuliwa uanachama wa chama chake cha siasa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]16.[/TD]
[TD]123(3) mbunge kuhama/kujiunga na chama cha siasa.[/TD]
[TD]Kuongeza ibara ndogo :endapo mbunge kwa ridhaa yake atajiondoa au kujivua uanachama wa chama cha siasa au kujiunga na chama kama alikuwa mgombea huru basi atapoteza sifa ya kuwa mbunge.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]17.[/TD]
[TD]124 adhabu kwa mbunge[/TD]
[TD]Kuondoa kabisa ibara hiyo na badala yake iseme wananchi wa jimbo au kata watakuwa na haki ya kuwaondoa madarakani kwa sababu na kwa kufuata utaratibu na sheria.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18.[/TD]
[TD]182 Tume Huru ya uchaguzi.[/TD]
[TD]Kuongeza wajumbe wa vyama vya Mawakili na vyama vya siasa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.[/TD]
[TD]184 Tume Huru ya Uchaguzi[/TD]
[TD]Watumishi wote wa Tume Huru ya uchaguzi wasiwe watumishi wa serikali.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]20.[/TD]
[TD]234 Mkurugenzi wa usalama wa Taifa.[/TD]
[TD]Ateuliwe baada ya kuthibitishwa na Bunge[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]21.[/TD]
[TD]Nyongeza[/TD]
[TD]Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba ya Tanganyika, kuundwa TUME ya Katiba ya Tanganyika.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
1. Mikutano ya hadhara, itakayoanza leo katika maeneo mbalimbali ya nchi, ikiongozwa na timu mbili za viongozi wakuu,
Mwenyekiti Freeman Mbowe na Katibu Mkuu, Dkt. Willibroad Slaa.
Mikutano hiyo itafanyika nchi nzima. Ratiba ya mikutano yote, itaendelea kutolewa kwa umma, kupitia vyombo vya habari (mainstream & social media).
2. Kutuma ujumbe mfupi kwa simu. Mwananchi anaweza kutuma maoni yake ya Katiba Mpya kupitia simu ya mkononi, kwenye NAMBA HII YA SIMU; 0789 24 82 24.
3. Email; chademamaoni@gmail.com
4. Kwa kupitia JamiiForums, toa maoni yako kwenye hii thread, ukishatoa maoni; jaza fomu ifuatayo;
Fomu ya maoni juu ya Rasimu Katiba Mpya (CHADEMA) - 2013
ili kukubaliana au kutokubaliana na vipengele vilivyoonyeshwa kwenye Jedwali.
Mfumo huu utatumika kwa facebooks, twitter, group emails, k.m mabadiliko, wanabidii n.k,
====================
[TABLE="width: 942"]
[TR]
[TD]S/N
[/TD]
[TD]IBARA
[/TD]
[TD]MAPENDEKEZO YA CHAMA (CHADEMA)
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]1.[/TD]
[TD]2 Eneo la Jamhuri ya. Muungano[/TD]
[TD]Neno Tanzania Bara liondolewe na kuandika Tanganyika kila palipo na neno Tanzania Bara.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]2.[/TD]
[TD]4(1) Lugha ya Taifa[/TD]
[TD]Lugha ya Taifa itakuwa Kiswahili na miswada/sheria zote zitaandikwa kwayo pamoja na lugha zingine[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]3.[/TD]
[TD]5 Tunu za Taifa[/TD]
[TD]Viongozwe vipengele hivi demokrasia ya vyama vingi, utawala wa sheria,uwazi na haki za binadamu.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]4.[/TD]
[TD]6(2) Daftari la wapiga kura[/TD]
[TD]Liwe mahali ambapo kila raia akifikisha miaka 18 ana andikishwa wakati wowote.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]5.[/TD]
[TD]17&85 watumishi wa umma.[/TD]
[TD]Mishahara ya watumishi wote wa umma pamoja Rais ijulikane.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]6.[/TD]
[TD]32 (2) haki ya kuandamana[/TD]
[TD]Kila mtu ana haki kwa amani na bila kubeba siraha kukusanyika/kuandamana kuzuia njia na kuwasilisha malalamiko.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]7.[/TD]
[TD]35(e) kugoma[/TD]
[TD]Kugoma au kusitisha nguvu kazi yake mahali pa kazi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]8.[/TD]
[TD]47 Haki ya kumiliki rasilimali[/TD]
[TD]Iongezwe ibara mpya ya 48 haki ya kumiliki rasilimali za asili zote Ardhi, Madini, mafuta na gesi, maji na misitu na wanyama pori.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]9.[/TD]
[TD]60 (7)nyongeza[/TD]
[TD]Kiongozwe kifungu cha 7 Maadili na miiko ya uongozi na utumishi wa umma, Haki za binadamu na wajibu wa raia. Tume huru ya Taifa ya uchaguzi.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]10.[/TD]
[TD]Serikali tatu (3)[/TD]
[TD]Kuwepo serikali ya Muungano, serikali ya Zanzibar na serikali ya Tanganyika.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]11.[/TD]
[TD]75(d) Uchaguzi wa rais.[/TD]
[TD]Umri wa mgombea urais uwe miaka kumi na nane[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]12.[/TD]
[TD]83(i) kinga dhidi ya mashtaka ya Rais.[/TD]
[TD]Wakati wowote Rais akiwa madarakani na baada ya kuacha kushika madaraka aweze kushtakiwa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]13.[/TD]
[TD]105 (2) (b) wabunge wa kuteuliwa[/TD]
[TD]Kipengele hiki kifutwe na badala yake iwe wabunge 20 watakaochaguliwa kutokana na uwiano wa kura zilizopigwa kwa vyama vya siasa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]14.[/TD]
[TD]117(i) (a) Mgombea Ubunge[/TD]
[TD]Umri wa mgombea ubunge uwe miaka 18 na si 25 kama inavyopendekezwa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]15.[/TD]
[TD]123(2) uwajibikaji wa mbunge.[/TD]
[TD]Hii ifutwe na kuongeza :mbunge aliyependekezwa na chama cha siasa atapoteza ubunge wake ikiwa atafukuzwa au kuvuliwa uanachama wa chama chake cha siasa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]16.[/TD]
[TD]123(3) mbunge kuhama/kujiunga na chama cha siasa.[/TD]
[TD]Kuongeza ibara ndogo :endapo mbunge kwa ridhaa yake atajiondoa au kujivua uanachama wa chama cha siasa au kujiunga na chama kama alikuwa mgombea huru basi atapoteza sifa ya kuwa mbunge.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]17.[/TD]
[TD]124 adhabu kwa mbunge[/TD]
[TD]Kuondoa kabisa ibara hiyo na badala yake iseme wananchi wa jimbo au kata watakuwa na haki ya kuwaondoa madarakani kwa sababu na kwa kufuata utaratibu na sheria.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]18.[/TD]
[TD]182 Tume Huru ya uchaguzi.[/TD]
[TD]Kuongeza wajumbe wa vyama vya Mawakili na vyama vya siasa.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]19.[/TD]
[TD]184 Tume Huru ya Uchaguzi[/TD]
[TD]Watumishi wote wa Tume Huru ya uchaguzi wasiwe watumishi wa serikali.[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]20.[/TD]
[TD]234 Mkurugenzi wa usalama wa Taifa.[/TD]
[TD]Ateuliwe baada ya kuthibitishwa na Bunge[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]21.[/TD]
[TD]Nyongeza[/TD]
[TD]Kuanzishwa kwa mchakato wa katiba ya Tanganyika, kuundwa TUME ya Katiba ya Tanganyika.[/TD]
[/TR]
[/TABLE]