MUHIMU: Tuma maoni yako ya Rasimu ya Katiba Mpya, Mabaraza ya CHADEMA

MUHIMU: Tuma maoni yako ya Rasimu ya Katiba Mpya, Mabaraza ya CHADEMA

moja kwa moja naanza na nafasi ya RAIS katika rasimu ya katiba mpya RAIS kawekewa kinga kwa maoni yagu kinga dhidi ya rais ingeondolewa ili awemakini na anavyoongoza nchi akijua ya kwamba akifanya madudu atakuja shtakiwa
2),swala la serikali tatu halina tija kwa maana itakua ndio chanjo cha kurudisha u tanganyika na u zanzibari kwa huyo si vyema kuwepo kwa serikali ytako pia hali ya maisha ya wananchi itazidi kuwa mbaya kwasababu kuongoza serikali tatu inahitajika hela nyingi
3)nyingine ni swala la wakuu wa wilaya ,,, MIMI naona hakuna haja ja kuweka wakuu wa wilaya wakati kuna wabunge na wakuu wa mkoa
4)Mamlaka ya Rais ya punguzwe Mfano kwenye kuchagua wakuu wa mkoa ,,
 
Mkuu Tumaini Makene Kurugenzi ya Habari

Tunaendelea;
Tunahitaji Mamlaka inayojiamini na inayoweza kuaminika na hiyo inawezekana kwa kuwa na Katiba Imara yenye kubebaba mawazo ,mtazamo na maamuzi ya Wa Tanzania


93.-(1) Kutakuwa na Mawaziri na Naibu Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano watakaoteuliwa na Rais kwa kushauriana na Makamu wa Rais na baadaye kuthibitishwa na Bunge.

(2) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (1), idadi ya Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano haitozidi kumi na tano.
(3) Serikali ya Jamhuri ya Muungano itakuwa na Wizara kwa kuzingatia mamlaka ya Serikali kwa mujibu wa Katiba hii.
(4) Uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano utazingatia uwakilishi na uwiano wa Washirika wa Muungano.
(5) Majukumu ya Waziri na Naibu Waziri yatakuwa kama yatakavyoainishwa na Rais kwenye Hati ya Uteuzi.
Maoni;

93.-(1) Kutakuwa na Mawaziri na Naibu Mawaziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano watakaoteuliwa na Rais kwa kushauriana na Makamu wa Rais na baadaye kuthibitishwa na Bunge.
(2) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (1), idadi ya Mawaziri na Manaibu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano jumla yao haitozidi kumi na tano.

(3) Serikali ya Jamhuri ya Muungano itakuwa na Wizara kwa kuzingatia mamlaka ya Serikali kwa mujibu wa Katiba hii.
(4) Uteuzi wa Mawaziri na Naibu Waziri wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano utazingatia uwakilishi na uwiano wa Washirika wa Muungano.
(5) Majukumu ya Waziri na Naibu Waziri yatakuwa kama yatakavyoainishwa na Rais kwenye Hati ya Uteuzi.




99.-(1) Kutakuwa na Makatibu Wakuu watakaoteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa Watumishi Waandamizi katika utumishi wa umma kama watakavyopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Umma.

(2) Kila Katibu Mkuu atakuwa kiongozi na Mtendaji Mkuu wa Wizara ya Serikali aliyopangiwa na Rais na atashika nafasi ya madaraka ya Katibu Mkuu na kutekeleza majukumu yake kama itakavyoainishwa katika sheria za nchi.
(3) Rais anaweza, kwa mapendekezo ya Tume ya Utumishi wa Umma, kumteua mtumishi mwandamizi katika Utumishi wa Umma kuwa Naibu Katibu Mkuu.
(4) Kila Katibu Mkuu atakuwa mshauri wa mwisho kwa Waziri kwa masuala yote ya utendaji na atatoa ushauri kwa Baraza la Mawaziri katika vikao na Kamati zitakazoitishwa na Katibu wa Baraza la Mawaziri.
(5) Katibu Mkuu Kiongozi, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu hatashika madaraka yake mpaka kwanza aape mbele ya Rais kiapo cha utii na uaminifu au kiapo kingine chochote kinachohusu utendaji wa kazi zake.

Maoni;


99.-(1) Kutakuwa na Makatibu Wakuu watakaoteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa Watumishi Waandamizi katika utumishi wa umma kama watakavyopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Umma.
(2) Kila Katibu Mkuu atakuwa kiongozi na Mtendaji Mkuu wa Wizara ya Serikali aliyopangiwa na Rais na atashika nafasi ya madaraka ya Katibu Mkuu na kutekeleza majukumu yake kama itakavyoainishwa katika sheria za nchi.
(3) Rais anaweza, kwa mapendekezo ya Tume ya Utumishi wa Umma, kumteua mtumishi mwandamizi katika Utumishi wa Umma kuwa Naibu Katibu Mkuu.
(4) Kila Katibu Mkuu atakuwa mshauri wa mwisho kwa Waziri kwa masuala yote ya utendaji na atatoa ushauri kwa Baraza la Mawaziri katika vikao na Kamati zitakazoitishwa na Katibu wa Baraza la Mawaziri.
(5) Katibu Mkuu Kiongozi, Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu hatashika madaraka yake mpaka kwanza aape mbele ya Rais kiapo cha utii na uaminifu au kiapo kingine chochote kinachohusu utendaji wa kazi zake.
(6) Kwa vyovyote vile idadi ya Makatibu na Manaibu wao jumla yao haitazidi kumi na Mbili.




105.-(1) Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano.

(2) Wajumbe wa Bunge watakuwa wa aina zifuatazo:
(a) Wabunge waliochaguliwa kuwakilisha majimbo ya uchaguzi;
(b) Wabunge watano watakaoteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa watu wenye sifa za kuchaguliwa kuwa wabunge kuwakilisha watu wenye ulemavu kwa kuzingatia uwiano wa
Washirika wa Muungano.
(3) Kwa madhumuni ya Ibara ya ndogo (2)(a), kila mkoa kwa upande wa Tanzania Bara na wilaya kwa upande wa Zanzibar, itakuwa ni jimbo la uchaguzi.
(4) Katika kila Jimbo la Uchaguzi kutakuwa na nafasi mbili za ubunge, moja kwa ajili ya mwanamke na moja kwa ajili ya mwanamme.
(5) Wabunge wote katika kila Jimbo la Uchaguzi watapatikana kwa kupigiwa kura na wananchi kwa mujibu wa masharti ya Katiba hiina sheria inayoweka utaratibu kuhusu mambo ya uchaguzi.

Maoni;


105.-(1) Kutakuwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano.
(2) Wajumbe wa Bunge watakuwa wa aina zifuatazo:
(a) Wabunge waliochaguliwa kuwakilisha majimbo ya uchaguzi;
(b) Wabunge sita wenye sifa za kuchaguliwa kuwa wabunge kuwakilisha watu wenye ulemavu kwa kuzingatia uwiano wa Washirika wa Muungano na waombaji walemavu watawasilisha majina yao kwenye Tume ya Uchaguzi na Kanuni na masharti zitakazo simamia upatikanaji wamgombea huru zitazingatiwa na mwisho Walemavu wote watapewa nafasi ya kuchagua mgombea wanayemwona anawafaa.
(3) Kwa madhumuni ya Ibara ya ndogo (2)(a), kila mkoa kwa upande wa Tanganyika na wilaya kwa upande wa Zanzibar, itakuwa ni jimbo la uchaguzi.
(4) Katika kila Jimbo la Uchaguzi kutakuwa na nafasi mbili za ubunge, moja kwa ajili ya mwanamke na moja kwa ajili ya mwanamme.
(5) Wabunge wote katika kila Jimbo la Uchaguzi watapatikana kwa kupigiwa kura na wananchi kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii na sheria inayoweka utaratibu kuhusu mambo ya uchaguzi.

Maoni;
109.
-(1) Kwenye maneno Tanzania Bara badala yake kuwe na neno Tanganyika na hii iwe kila Ibara inayorejea Nchi itakayoitwa Tanzania Bara baada ya Kuanza Rasmi kutumika kwa Katiba hii.





110.-(1) Bunge litatumia madaraka yake ya kutunga sheria kwa kujadili na kupitisha Muswada wa Sheria ambao utawekwa saini na Rais.

(2) Bila kuathiri masharti ya Ibara ndogo ya (3), Muswada wa Sheria unaweza kuandikwa na Serikali, Kamati ya Bunge au kikundi cha Wabunge.
(3) Wakati wa kuandaa muswada wa sheria kuhusu jambo lolote la Muungano, Serikali ya Jamhuri ya Muungano itahakikisha kwamba inawashirikisha wananchi kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo juu ya muswada huo.
(4) Bunge litatunga Kanuni za Kudumu zitakazoweka utaratibu wa:
(a) kuwasilisha, kujadili na kupitisha Muswada wa Sheria; na
(b) utekelezaji bora wa masharti ya Ibara ndogo ya (3).

Maoni;


110.-(1) Bunge litatumia madaraka yake ya kutunga sheria kwa kujadili na kupitisha Muswada wa Sheria ambao utawekwa saini na Rais.
(2) Bila kuathiri masharti ya Ibara ndogo ya (3), Muswada wa Sheria unaweza kuandikwa na Serikali, Kamati ya Bunge au kikundi cha Wabunge.
(3) Wakati wa kuandaa muswada wa sheria kuhusu jambo lolote la Muungano, Serikali ya Jamhuri ya Muungano itahakikisha kwamba inawashirikisha wananchi kwa ajili ya kupata maoni na mapendekezo juu ya muswada huo.
(4) Bunge litatunga Kanuni za Kudumu zitakazoweka utaratibu wa:
(a) kuwasilisha, kujadili na kupitisha Muswada wa Sheria; na
(b) utekelezaji bora kisheria wa masharti ya Ibara ndogo ya (3)



111.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 110,Bunge linaweza kutunga Sheria kwa ajili ya kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii kwa kufuata Kanuni kwamba, Muswada wa Sheria kwa ajili ya kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii utaungwa mkono kwa kura zisizopungua theluthi mbiliya kura za Wabunge wote kutoka kila upande wa Muungano.

(2) Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya Ibara ndogo ya (1) kubadilisha masharti ya Katiba hii au masharti ya sheria,maana yake ni pamoja na kurekebisha au kusahihisha masharti haya au kufuta na kuweka masharti mengine badala yake au kusisitiza au kubadilisha matumizi ya masharti hayo.


Maoni;

111.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 110,Bunge au Serikali linaweza kupendekeza kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii kwa kufuata Kanuni ya kwamba mapendekezo lazima ya ungwe mkono kwa kura zisizopungua theluthi mbili ya kura za Wabunge wote kutoka kila upande wa Muungano.
(2) Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya Ibara ndogo ya (1) kupendekeza mabadiliko ya masharti ya Katiba hii au masharti ya sheria,maana yake ni pamoja na kurekebisha au kusahihisha masharti haya au kufuta na kuweka masharti mengine badala yake au kusisitiza au kubadilisha matumizi ya masharti hayo.
(3) Kikundi au raia yoyote wa Jamhuri ya Muungano anaweza kufungua shauri Mahakama ya juu kutaka Mahakama kutoa ufafauzi wa kifungu cha Katiba hii na pale itakapo kubaliana na mfungua shauri inaweza kuamuru Bunge kuijadili kifungu husika kwa masilahi ya Taifa au inaweza kuamuru Tume ya Uchaguzi kuitisha moja kwa moja kura ya Maoni ya Wananchi wa jamhuri ya Muungano dhidi ya mapendkezo ya wafungua/mfungua shauri dhidi ya kifungu husika.
(4) Kwa vyovyote vile hakuna mamlaka yoyote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakayokuwa na uamuzi wa kubalidisha /kurekebisha Ibara yoyote ya Katiba bila kwanza kufuata na kuzingatia upatikanaji wa maoni na upigaji wa kura ya maoni yaliyo huru ya wananchi itakayosimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.





112.
Bunge halitaweza kufanya mabadiliko ya Katiba kwa lengo la:

(a) kuongeza au kupunguza jambo lolote la Muungano; mpaka kwanza mabadiliko hayo yaungwe mkono na wananchi wa Washirika wa Muungano kwa Kura ya Maoni itakayoendeshwa na kusimamiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria itakayotungwa na Bunge.
(b) uwepo wa Jamhuri ya Muungano mpaka kwanza mabadiliko hayo yaungwe mkono na wananchi wa
Washirika wa Muungano kwa Kura ya Maoni itakayoendeshwa na kusimamiwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa sheria itakayotungwa na Bunge.

Maoni;
Napendekeza ibara hii ifutwe rejea maoni yangu ibara ya 57 na 111;(4)




113.-(1) Bunge halitashughulikia jambo lolote kati ya mambo yanayohusika na Ibara hii isipokuwa kama Rais amependekeza kwamba jambo hilo lishughulikiwe na Bunge na pendekezo hilo la Rais liwe limewasilishwa kwenye Bunge na Waziri.

(2) Mambo yanayohusika na Ibara hii ni yafuatayo:
(a) Muswada wa Sheria kwa ajili ya jambo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(i) kutoza kodi au kubadilisha kodi kwa namna nyingine yoyote isipokuwa kupunguza;
(ii) kuagiza kwamba malipo au matumizi ya fedha yafanywe kutokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au mfuko mwingine wowote wa Serikali au kubadilisha kiwango hicho na namna nyingine yoyote isipokuwa kupunguza;
(b) kuagiza kwamba malipo au matumizi ya fedha yafanywe kutokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au mfuko mwingine wowote wa Serikali wakati ikifahamika kwamba
fedha iliyomo katika mifuko hiyo haikupangiwa itolewe kwa ajili ya malipo au matumizi hayo, au kuagiza kwamba malipo au matumizi yanayofanywa kutokana na mifuko hiyo
yaongezwe;
(c) kufuta au kusamehe deni lolote linalotakiwa lilipwe kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano; au
(d) hoja au mabadiliko yoyote ya hoja kwa ajili ya lolote kati ya mambo yaliyoelezwa katika aya ya (a) ya Ibara hii ndogo.

Maoni;


113.-(1) Bunge halitashughulikia jambo lolote kati ya mambo yanayohusika na Ibara hii isipokuwa kama Rais amependekeza kwamba jambo hilo lishughulikiwe na Bunge na pendekezo hilo la Rais liwe limewasilishwa kwenye Bunge na Waziri.
(2) Mambo yanayohusika na Ibara hii ni yafuatayo:
(a) Muswada wa Sheria kwa ajili ya jambo lolote kati ya mambo yafuatayo:
(i) kutoza kodi au kubadilisha kodi kwa namna nyingine yoyote isipokuwa kupunguza;
(ii) kuagiza kwamba malipo au matumizi ya fedha yafanywe kutokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au mfuko mwingine wowote wa Serikali au kubadilisha kiwango hicho na namna nyingine yoyote isipokuwa kupunguza;
(b) kuagiza kwamba malipo au matumizi ya fedha yafanywe kutokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au mfuko mwingine wowote wa Serikali wakati ikifahamika kwamba
fedha iliyomo katika mifuko hiyo haikupangiwa itolewe kwa ajili ya malipo au matumizi hayo, au kuagiza kwamba malipo au matumizi yanayofanywa kutokana na mifuko hiyo yaongezwe;

(c) kufuta au kusamehe deni lolote linalotakiwa lilipwe kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano
Warioba na Tume yake wanatakakuwapoka madaraka wananchi 113;1(d) badala yake napendekeza;
(3) Hata hivyo Mbunge hatafungwa na ibara hii kuhoji au kupendekeza mabadiliko yoyote ya hoja kwa ajili ya lolote kati ya mambo yaliyoelezwa katika aya ya 2;(a) ya Ibara hii pale atakapoona kunafaa kufanya hivyo kwa masilahi ya Umma na wapigakura wake.



114.-(1) Muswadawa Sheria uliopitishwa na Bunge sharti kupata saini ya Rais, ili kuthibitisha kukubaliwa kwake na Rais.

(2) Muswada wa Sheria uliyowasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali utawekewa saini na Rais ndani ya siku zisizozidi thelathini kutoka siku ambayo Muswada huo uliwasilishwa na kupokelewa na Katibu wa Baraza la Mawaziri.
(3) Baada ya Muswada wa Sheria kuwasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, Rais anaweza kuukubali au kukataa kukubali Muswada huo, na iwapo Rais atakataa kukubali Muswada huo basi ataurudisha Bungeni pamoja na maelezo ya sababu za kukataa kukubali
Muswada huo.
(4) Baada ya Muswada wa Sheria kurudishwa Bungeni na Rais kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii, hauwezi kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kabla kumalizika muda wa siku sitini tangu uliporudishwa;
(5) Endapo katika kujadiliwa tena Bungeni kabla haujapelekwa tena kwa Rais, Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais umeungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbiliya Wabunge wote basi, Muswada huo unaweza kuwasilishwa mapema zaidi kwa Rais.
(6) Iwapo Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais na katika kujadili ukaungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbiliya Wabunge wote na kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, basi Rais atatakiwa kuweka saini kukubali Muswada wa
sheria husika kabla ya kumalizika muda wa siku sitini na endapo siku sitini zitapita tangu Muswada huo ulipowasilishwa tena kwa Rais pasipo Rais kuweka saini, itahesabika kwamba Muswada huo umepata kibali cha Rais na utakuwa sheria ya nchi.
Maoni;


114.-(1) Muswadawa Sheria uliopitishwa na Bunge sharti kupata saini ya Rais, ili kuthibitisha kukubaliwa kwake na Rais.
(2) Muswada wa Sheria uliyowasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali utawekewa saini na Rais ndani ya siku zisizozidi thelathini kutoka siku ambayo Muswada huo uliwasilishwa na kupokelewa na Katibu wa Baraza la Mawaziri.
(3) Baada ya Muswada wa Sheria kuwasilishwa kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, Rais anaweza kuukubali au kukataa kukubali Muswada huo, na iwapo Rais atakataa kukubali Muswada huo basi ataurudisha Bungeni pamoja na maelezo ya sababu za kukataa kukubali
Muswada huo.
(4) Baada ya Muswada wa Sheria kurudishwa Bungeni na Rais kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii, hauwezi kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake kabla kumalizika muda wa siku sitini tangu uliporudishwa;
(5) Endapo katika kujadiliwa tena Bungeni kabla haujapelekwa tena kwa Rais, Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais umeungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbiliya Wabunge wote basi, Muswada huo unaweza kuwasilishwa mapema zaidi kwa Rais.
(6) Iwapo Muswada uliorudishwa Bungeni na Rais na katika kujadili ukaungwa mkono na Wabunge ambao idadi yao haipungui theluthi mbili ya Wabunge wote na kupelekwa tena kwa Rais kwa ajili ya kupata kibali chake, basi Rais atatakiwa kuweka saini kukubali Muswada wa
sheria husika kabla ya kumalizika muda wa siku sitini na endapo siku sitini zitapita tangu Muswada huo ulipowasilishwa tena kwa Rais pasipo Rais kuweka saini, itahesabika kuwa Rais ameukataa Mswada na atatakiwa kujiuzulu au kulivunja Bunge kwa Mujibu wa Katiba hii.



115.-(1) Endapo Bunge halitaridhishwa na mchanganuo au mgawanyo wa hoja ya Bajeti iliyowasilishwa na serikali, Bunge linaweza kurudisha hoja kuhusu Bajeti ya Serikali pamoja na mapendekezomahsusi kuhusiana na upungufuuliobainika.

(2) Serikali itawajibika kuyafanyia kazi mapendekezo ya Bunge kwa kadri itakavyowezekana na kisha kuwasilisha tena Bungeni hoja husika pamoja na maelezo ya utekelezaji wa maelekezo ya Bunge na endapo Bunge litakataa kwa mara ya pili hoja kuhusu Bajeti ya Serikali, basi hoja hiyo
itahesabika kuwa imepitishwa na Bunge.
Maoni;


115.-(1) Endapo Bunge halitaridhishwa na mchanganuo au mgawanyo wa hoja ya Bajeti iliyowasilishwa na serikali, Bunge linaweza kurudisha hoja kuhusu Bajeti ya Serikali pamoja na mapendekezo mahsusi kuhusiana na upungufu uliobainika.
(2) Serikali itawajibika kuyafanyia kazi mapendekezo ya Bunge kwa kadri itakavyowezekana na kisha kuwasilisha tena Bungeni hoja husika pamoja na maelezo ya utekelezaji wa maelekezo ya Bunge na endapo Bunge litakataa kwa mara ya pili hoja kuhusu Bajeti ya Serikali, basi Rais atatakiwa kuliunda upya Baraza la Mawaziri ndani ya siku Kumi na Nne.


Itaendelea;
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tumaini Makene na Watanzania kwa ujumla.Bado tuna nafasi ya kutumia haki yetu hasa muda wa Kupiga kura ya Maoni.

Mlolongo wa Maoni yangu;



117.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika Ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge endapo:

(a) ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa miaka ishirini na tano wakati wa kugombea;
(b) anajua kusoma na kuandika lugha ya Kiswahili au Kiingereza na ana elimu isiyopungua kidato cha nne;
(c) ni mwanachama aliyependekezwa na chama cha siasa au mgombea huru;
(d) ni mwadilifu na anayeheshimu haki za binadamu na asiyedharau wala kubagua watu kwa misingi ya kabila, dini, jinsi, maumbile au hali zao katika jamii; na
(e) katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya uchaguzi hakuwahi kutiwa hatiani katika mahakama kwa kosa la kukwepa kulipa kodi yoyote ya Serikali.
(2) Mtu hatakuwa na sifa za kugombea kuchaguliwa kuwa Mbunge-
(a) ikiwa mtu huyo aliwahi kuwa Mbunge kwa vipindi vitatu vya miaka mitano; au
(b) ikiwa imethibitishwa rasmi kwamba mtu huyo ana ugonjwa wa akili;
(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na kukosa uaminifu; au

(d) ikiwa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya uchaguzi amepata kuhukumiwa na kupewa adhabu ya kifungo kwa kosa linaloambatana na kukosa uaminifu au kwa kuvunja sheria inayohusiana na Maadili ya Viongozi wa Umma;
(e) ikiwa mtu huyo ana maslahi yoyote katika mkataba wa Serikali wa aina yoyote aliyowekewa miiko maalum kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge, na iwapo amekiuka miiko hiyo;

(f) ikiwa mtu huyo anashika madaraka ya ofisa mwandamizi katika utumishi wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Washirika wa Muungano; au
(g) ikiwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge inayoshughulikia makosa yanayohusika na uchaguzi wa aina yoyote, mtu huyo amezuiliwa kujiandikisha kama mpiga kura au kupiga kura katika uchaguzi wa Wabunge.
(3) Bunge linaweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti yatakayomzuia mtu asichaguliwe kuwa Mbunge wa kuwakilisha Jimbo la Uchaguzi ikiwa mtu huyo ni mwenye madaraka yanayohusika na shughuli za kuongoza au kusimamia uchaguzi wa Wabunge au shughuli za uandikishaji wa wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Wabunge.
(4) Katika aya ya (e) ya Ibara ndogo ya (2) ya Ibara hii "mkataba wa Serikali" maana yake ni mapatano yoyote ya mkataba ambayo mmojawapo wa walioshiriki ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali ya Mapinduzi Zanzibar au Serikali ya Tanzania Bara, Idara au Taasisi yoyote ya Serikali yoyote kati ya hizo au mtumishi yeyote wa Serikali aliyeshiriki katika majadiliano ya mkataba husika kwa niaba ya Serikali yoyote miongoni mwa hizo.

(5) Watu wenye nyadhifa zifuatazo katika Utumishi wa Umma hawatakuwa na sifa ya kuwa Wabunge:
(a) Rais na Makamu wa Rais;
(b) Rais wa Tanzania Bara na Rais wa Zanzibar na Makamu wao;
(c) Spika na Naibu Spika wa Bunge;
(d) Waziri na Naibu Waziri;
(e) Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Naibu Mwanasheria
Mkuu wa Serikali;
(f) Katibu wa Baraza la Mawaziri na Makatibu Wakuu;
(g) viongozi na watumishi wa vyombo vya ulinzi na usalama;
(h) mtu ambaye ameajiriwa katika vyombo vya dola kama askari;
(i) Katibu Mkuu na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Serikali;
(j) Jaji Mkuu, Jaji au Hakimu wa Mahakama, Wakili wa Serikali na Ofisa Sheria Katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano au Serikali za Washirika;

(k) Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali;
(l) Mjumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi; na
(m) mtu yeyote aliyeajiriwa, kuteuliwa au kuchaguliwa katika utumishi wa umma.
(6) Kwa madhumuni ya kutoa fursa ya kukata rufani kwa mtu yeyote:
(a) aliyethibitishwa rasmi kisheria kuwa ana ugonjwa wa akili;
(b) aliyehukumiwa na kupewa adhabu ya kifo au kufungwa gerezani au chuo cha mafunzo; au
(c) aliyepatikana na hatia ya kosa lolote lililotajwa katika sheria kwa mujibu wa Ibara ndogo ya (2),mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria kwa ajili ya kuweka masharti kwamba hukumu inayopingwa haitakuwa na nguvu kwa ajili ya utekelezaji wa masharti ya Ibara ndogo ya (2) hadi upite muda uliotajwa katika sheria hiyo.



Maoni;bila kuathiri meingineyo kwenye ibara hii.

117.-(1) Bila ya kuathiri masharti yaliyomo katika Ibara hii, mtu yeyote atakuwa na sifa za kuchaguliwa au kuteuliwa kuwa Mbunge endapo:
(a) ni raia wa Jamhuri ya Muungano aliyetimiza umri wa miaka Kumi na Nane wakati wa kugombea;
(d) ikiwa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya uchaguzi amepata kuhukumiwa na kupewa adhabu ya kifungo kwa kosa linaloambatana na kukosa uaminifu au kwa kuvunja sheria inayohusiana na Miiko na Maadili ya Viongozi wa Umma;
(5) Watu wenye nyadhifa zifuatazo katika Utumishi wa Umma hawatakuwa na sifa ya kuwa Wabunge:
(a) Rais na Makamu wa Rais;
(b) Rais wa Tanganyika na Rais wa Zanzibar na Makamu wao;
(c) Spika na Naibu Spika wa Bunge;





121
. Wabunge watashika madaraka yao kwa mujibu wa Katiba hii,na watalipwa mshahara, posho na malipo mengine kama yatakavyopangwa na Tume ya Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria za nchi.




Maoni;


121. (1) Wabunge watashika madaraka yao kwa mujibu wa Katiba hii,na watalipwa mshahara, posho na malipo mengine kama yatakavyopangwa na Tume ya Utumishi wa Umma kwa mujibu wa sheria za nchi.
(2) Mishahara,posho na malipo mengine ya wabunge yatatakiwa kuwa ya aina moja kwa kila Mbunge na kuwekwa wazi kwa wananchi/wapiga kura kuyafahamu kwa kutangazwa kwenye gazeti la Serikali.
(3) Kwa ajili ya utekelezaji wa kazi ya Mbunge na kuzingatia hali ya Uchumi ya Nchi , malipo na posho kwa mujibu wa ibara ndogo ya 1 ya ibara hii yanaweza kufanyiwa marekebisho na Tume ya Utumishi wa Umma baada ya kupata ushauri na kuuzingatia toka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano.



123.-(1) Mbunge atashika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, na wakati wote atawajibika moja kwa moja kwa wapiga kura wake na chama chake cha siasa ikiwa mbunge huyo ametokana na chama cha siasa.

(2) Mbunge aliyependekezwa na chama cha siasa, hatapoteza Ubunge wake ikiwa Mbunge huyo atafukuzwa au kuvuliwa uanachama wa chama chake.
(3) Endapo mbunge, kwa ridhaa yake atajiondoa au kujivua uanachama kutoka chama chake cha siasa, Mbunge huyo atapoteza sifa za kuwa Mbunge na atasita kuwa Mbunge.

Maoni;


123.-(1) Mbunge atashika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii, na wakati wote atawajibika moja kwa moja kwa wapiga kura wake na chama chake cha siasa ikiwa mbunge huyo ametokana na chama cha siasa.
(2) Mbunge aliyependekezwa na chama cha siasa, atapoteza Ubunge wake ikiwa Mbunge huyo atafukuzwa au kuvuliwa uanachama wa chama chake kwa mujibu wa Katiba ya Chama husika.
(3) Endapo mbunge, kwa ridhaa yake atajiondoa au kujivua uanachama kutoka chama chake cha siasa, Mbunge huyo atapoteza sifa za kuwa Mbunge na atasita kuwa Mbunge.
(4) Mbunge aliyependekezwa na Chama cha Siasa hatapoteza Ubunge wake ikiwa Mbunge huyo atafukuzwa au kuvuliwa uanachama wa chama chake kwa sababu ya kusimamia Masharti yoyote ya Katiba hii isipokuwa kwa uamuzi utakaotokana na Mahakama ya juu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

124.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya123 ya Katiba hii,

wananchi watakuwa na haki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, endapo Mbunge atafanya mojawapo au zaidi ya mambo yafuatayo:

(a) kuunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;

(b) kushindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake;

(c) kuacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi;
(d) kutohudhuria vikao vya Bunge vitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika;
(e) kuajiriwa au kufanya kazi nyingine na kuacha kuzingatia kazi yake ya kuonana na wapiga kura wake;
(f) kufanya biashara, kumiliki makampuni au kuwa na hisa katika makampuni ambayo yana mikataba au mahusiano ya kibiashara na taasisi za umma kwa namna ambayo inaleta mgongano wa kimaslahi;
(g) kutiwa hatiani kwa kosa linalohusiana na rushwa au kosa jingine la jinai;
(h) kutenda kitendo ambacho ni kinyume na maadili au kukosa uaminifu; au
(i) mambo mengine yatakayoainishwa kwenye sheria ya Bunge.
(2) Bunge litatunga sheria kuweka masharti ya namna ya kuendesha uchunguzi kwa Mbunge atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake kwa wapiga kura wake na utaratibu wa kumuondoa mbunge.


Maoni;

124.-(1) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ya123 ya Katiba hii,wananchi watakuwa na haki ya kumuondoa Mbunge wao madarakani, endapo Mbunge atafanya mojawapo au zaidi ya mambo yafuatayo:
(a) kuunga mkono sera ambazo zinaenda kinyume na maslahi ya wapiga kura au kinyume na maslahi ya Taifa;
(b) kushindwa kuwasilisha au kutetea kwa dhati hoja zinazotokana na kero za wapiga kura wake;
(c) kuacha kuishi au kuhamisha makaazi yake kutoka eneo la Jimbo la Uchaguzi kwa zaidi ya miezi sita bila sababu za msingi;
(d) kutohudhuria vikao vya Bunge vitatu mfululizo bila ya ruhusa ya Spika;
(e) kuajiriwa au kufanya kazi nyingine na kuacha kuzingatia kazi yake ya kuonana na wapiga kura wake;
(f) kufanya biashara, kumiliki makampuni au kuwa na hisa katika makampuni ambayo yana mikataba au mahusiano ya kibiashara na taasisi za umma kwa namna ambayo inaleta mgongano wa kimaslahi;
(g) kutiwa hatiani kwa kosa linalohusiana na rushwa au kosa jingine la jinai;
(h) kutenda kitendo ambacho ni kinyume na maadili au kukosa uaminifu; au
(i) mambo mengine yatakayoainishwa kwenye sheria ya Bunge.
(2)Kwa ajili ya usimamizi nzuri wa Demokrasia Tume ya Haki za Binadamu kwa kushirikiana na wapiga kura itaandaa Kanuni na Masharti yatakayosimamia shauri dhidi ya Mbunge kwa;
(a)watu wanaoweza kufungua shauri na;
(b), sababu na nyakati za kufungua shauri na;
(c )utaratibu wa kufungua shauri na;
(d)masharti yanayotakiwa yatimizwe kwa kila shauri kama hilo na ;
(e)namna na nani wa kuendesha uchunguzi dhidi ya Mbunge atakayeshindwa kutekeleza majukumu yake kwa wapiga kura wake na ;
(f)utaratibu wa kumuondoa mbunge.


(3) Baada ya kukamilisha Kanuni na Masharti kwa mujibu wa ibara 124(2) ya Katiba hii Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Bunadamu atawasilisha nakala kwa Spika wa Bunge na Spika baada ya kupokea Kanuni na Masharti yaliyotajwa katika ibara ya 124 (2) ya Katiba hii ataitisha Kikao cha Bunge nzima,na atawapatia Wabunge wote nakala ya Kanuni na Masharti tajwa kabla ya Kikao na Bunge litapigia kura ya ndiyo au hapana kifungu kwa kifungu ya Masharti na Kanuni husika na zaidi ya asilimia hamsini ya kura za ndiyo za Wabunge ndio utakuwa uamuzi wa mwisho wa mswada huo na baada ya hapo utapelekwa kwa Raisi kupata saini yake kuwa sheria.


(4) Kwa vyovyote vile Masharti na Kanuni iliyorejewa ibara ya 124(3) kama yamepita kwa kura za ndiyo chini ya ibara hiyo na kwa namna yoyote ile haijapata saini ya Raisi na siku kumi na Nne zimepita basi itahesabika kuwa Sheria.

(5)Mbunge yeyote atakayeondolewa kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii anaweza kukata rufaa Mahakama ya Juu na uamuzi wa Mahakama utakuwa wa mwisho.
(6) Kama idadi ya kura za wabunge itakuwa chini ya asilimia hamsini ya Wabunge wote basi Rasimu itarudishwa kwa Mwenyeketi wa Tume ya Haki za binadamu baada ya Spika kupata hati ya Maandishi kutoka kwa kila Mbunge anayepinga mswada ikiwa na sababu za kwanini haungi mkono mswada husika ,na baada ya kupokea Mwenyeketi wa Tume pamoja na Wajumbe wengine wa Tume watazipitia na kuzijadili hoja husika kwa kuwashirikisha Wapigakura/Wananchi kwa mujibu wa Katiba hii na baada ya hapo itaandaa upya Masharti na Kanuni husika na uamuzi huo utakuwa wa mwisho na utautangazwa kwenye gazeti la serikali na toka tarehe ya kutangazwa utakuwa sheria.




125.-(
1) Kila shauri kwa ajili ya kupata uamuzi juu ya suala-

(a) kama uchaguzi wa Mbunge ulikuwa halali au sivyo; au
(b) kama Mbunge amekoma kuwa Mbunge na nafasi ya madaraka katika Bunge iko wazi au hapana,litafunguliwa na kusikilizwa kwanza katika Mahakama Kuu.
(2) Bunge laweza kutunga sheria kwa ajili ya kuweka masharti kuhusu mambo yafuatayo-
(a) watu wanaoweza kufungua shauri katika Mahakama Kuu kwa ajili ya kupata uamuzi juu ya suala lolote kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii;
(b) sababu na nyakati za kufungua shauri la namna hiyo, utaratibu wa kufungua shauri na masharti yanayotakiwa yatimizwe kwa kila shauri kama hilo; na
(c) kutaja mamlaka ya Mahakama Kuu juu ya shauri kama hilo na kueleza utaratibu wa kusikiliza shauri lenyewe.




125 Uamuzi wa suala kama mtu ni Mbunge.
Maoni Ibara hii ifutwe na maudhui yake rejea 124.


itaendelea;
 
Last edited by a moderator:
Tunashukuru kwa taarifa bwana Makene. Mie nitaanza ni lile la serikali tatu (nakubaliana na mapendekezo ya wananchi yaliyopitishwa na tume), mawaziri wasitokane na wabunge (kama ilivyo katika rasimu), mgombea binafsi (kama ilivyo katika rasimu) na pia napendekeza wakuu wote wa wilaya wasiwepo na tuwe na serikali za majimbo.

Maoni hayo nitayawasilisha kwa njia sanifu baada ya kutupatia muongozo zaidi.

Health and healing must come from inside-out

Kupona Limited

Effect and Characteristic


The task was to find a way to re-activate the organisms own "repair-mechanism" our inborn ability to heal. Many years of research were necessary until MFS ImuShift was found.

MFS ImuShift doesn't "cure" anything. It is much better. True health and healing must come from the organism itself. MFS simply supports the organism to re-start our inborn repair mechanism. And as long as we have enough healthy cells left for a change MFS ImuShift will do a great job.


MFS ImuShift is a pure organic based herbal and mineral food supplement. Based on our unique technology with fast cell response, no side-effects and useable at all ages.


Biological Activity

Supports cell communication

- helps to enhance cell to cell interaction
- supports linking of cell systems
- increases ability of cell signaling


Activates the immune system

- immune shift from TH2 to TH1
- reactivates TH1 for strong cell defence
- balancing both systems for full immune protection
- increases production of CD4 immune cells
- enhances release of TNF (Tumor Necrosis Factor)
- accelerate immune response


Oxygen supply via Phase Transfer Catalysis

- enhances oxygen supply in cells (inner cell breathing)
- supports rejuvenation of organs
- aids to increase cell division
- supports all mitochondrial processes
- energizes the body and supports nervous system and brain functions


Enhances production of Nitric Oxide

- fast cellular immune response
- supports elasticity of blood vessels


Supports cell detoxification

Fields of application

a) Chronic diseases

Chronic diseases lead into: Increased cell intoxication = restricted cell communication, lack of TH1 = cellular immune deficiency, loss of mitochondria functionality = oxidative stress, lack of oxygen = cell death
In all chronic diseases high risk of complications and so called "secondary diseases"

MFS ImuShift supports all treatments of....e.g.
- Diabetes
- Hypertension
- Asthma and Allergies
- Arthritis
- Migraine
- Stroke
- Kidney failure
- Cickle cell
- Digestive system
- Heart- and Lung disorders
- Metabolic disorders
- Obesity


MFS ImuShift supports our body to gain back full immune protection. It helps to strengthen and rejuvenate cells and organs by Phase Transfer Oxygen Supply. It helps to lower the risk of aggravation, complications and secondary diseases.


Fields of application

b) Infectious diseases
Infectious diseases lead into: Lack of TH1 cellular defence = no protection against e.g. viruses, microbacteria..., low CD4 = delayed/no immune response, deficit of Nitric Oxide = weak/no cellular defence


MFS ImuShift supports all treatments of...e.g.
- Cold, sinusitis
- Respiratory tract infections
- Diarrheal diseases
- Tuberculosis
- General immune weakness
- Pharyngitis
- Bronchitis


MFS ImuShift enhances production of TH1 to achieve full cellular defence. It supports immune shift TH2 - TH1 to gain back full immune response. It supports formation of CD4 cells and helps activating production of Nitric oxide to achieve full cellular defence. It helps balancing both systems (TH1/TH2) for a strong immune system.

Fields of application

c) Other disorders
Any kind of disorders lead into: Cell intoxication = restricted cell communication, loss of mitochondria functionality = deficit of oxygen = cell death or cell mutation, TH2-TH1 imbalance = low immune defence, lack of TH1 = deficit of Nitric oxide = exhaust Thiol-pool = weak/no cell defence = vasoconstriction

MFS ImuShift supports all treatments of...e.g
.
- Men wellness (erectile dysfunction, sperm activity, sperm count)
- Night sight
- CFS (Chronic fatigue syndrom)
- General weakness
- Digestive problems
- Menstruation disorders
- Infertility


MFS ImuShift supports cell detoxification, cell signaling and cell communication. It helps activating mitochondria functionality and enhances oxygen supply inside cells to strengthen organs and its functionalities. It supports cell division and promotes rejuvenation of organs. It supports activity for immune shift TH2/TH1 to gain back full immune response.

Fields of application

d) Protection and Prophylaxis
You should know
With 40+ our natural protection for cancer diminish due to decrease of our Thymus gland (lack of TH1-cell defence).
During pregnancy our organism down regulates TH1 to protect the fetus to get attacked by the mothers immune system.The same happens during use/intake of hormonal contraceptives...no TH1 - no cellular defence - no protection.
Our brain and our nervous system need the most oxygen. Stress, shift work, age exhaust our Thiol-pool. Consequence: Lack of TH1, lack of immunity, general weakness, organ-stress - loss of functionality - organ disease


MFS ImuShift supports protection and prophylaxis of ...e.g.
- Cancer
- Dementia
- Lack of concentration
- Stroke
- Cardiovascular diseases (heart, blood vessels)
- Renal disorders (kidney failure)
- Microangiopathy (retinopathy - blindness)
- Numbness, burning sensations
- Full immune protection

MFS ImuShift should be used especially by...e.g.

- Women and men over 40+ (cancer and prostrate)
- Women and men in shift work
- People suffering lots of stress
- People with long working hours
- Women using hormonal contraceptives
- Women after delivery
- Children for better concentration in school
- Elderly for keeping up brain functionality
- Women and men who care for their health and the health of their families
 
Health and healing must come from inside-out

Kupona Limited

Effect and Characteristic


The task was to find a way to re-activate the organisms own "repair-mechanism" our inborn ability to heal. Many years of research were necessary until MFS ImuShift was found.



Mkuu Kupona Limited
Hayo ni matangazo au ni kejeli dhidi ya watanzania.
Labda mimi nina tatizo na Kimombo sababu ya shule yangu ya Kata maana sielewi mahusiano yaliyopo kati ya makala na Thread hii.


MODS.Ebu saidia kuondoa hizi dosari!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tumaini Makene na Watanzania kwa ujumla.Bado tuna nafasi ya kutumia haki yetu hasa muda wa Kupiga kura ya Maoni.

Mlolongo wa Maoni yangu;


125 Uamuzi wa suala kama mtu ni Mbunge.
Maoni Ibara hii ifutwe na maudhui yake rejea 124.


itaendelea;


XXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXXxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

More Updates;

Tunahitaji Katiba yenye kumlinda mtanzania na Tanzania yake na si Wanasiasa na Vyama vyao.

8/9/2013

127.-(1) Kila Mbunge atawasilisha kwa Katibu wa Bunge nakala mbili za taarifa rasmi katika fomu maalum maelezo ya mali yake na kadri itakavyokuwa, mali ya mke au mume wake.
(2) Katibu wa Bunge atawasilisha kwa Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji nakala moja ya kila taarifa rasmi iliyowasilishwa kwake kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii.

Maoni;

127.-(1) Kila Mbunge atawasilisha kwa Katibu wa Bunge nakala mbili za taarifa rasmi katika fomu maalum maelezo ya mali yake, mali ya mke au mume wake na mali iliyomilikiwa na familia

(2) Katibu wa Bunge atawasilisha kwa Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji nakala moja ya kila taarifa rasmi iliyowasilishwa kwake kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii.


(3)Tume ya Maadili ya uongozi wa Umma itaweka utaratibu uliohuru wa mpiga kura mmoja mmoja au kikundi kuweza kufungua shauri kwa nia ya kuhakiki na kufahamu mali iliyotolewa taarifa na Mbunge au Kiongozi yeyote wa Umma muda wote wote wa utumishi wao kwa Umma na hadi Miaka saba baada ya Utumishi wao kwa Umma.



(4)Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma itahifadhi nyaraka na taarifa za mali ya Viongozi wa Umma waliostaafu, kufukuzwa au kujiuzulu utumishi wa umma kwa muda usiopungua miaka mitano na usiozidi Saba tangu kustaafua, kujiuzulu au kufukuzwa kwao na itakuwa tayari kuyatoa na kuyawasilisha kama zitahitajika kwa taratibu zozote za kisheria
.





128.-(1) Kutakuwa na Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na Wabunge na ambaye atakuwa ndiye Kiongozi wa Bunge na atawakilisha Bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya Bunge.

(2) Waziri, Naibu Waziri, Mbunge au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hii, hataweza kuchaguliwa kuwa Spika.
(3) Mtu yeyote atakayechaguliwa kuwa Spika atatakiwa, kabla ya kumaliza siku thelathini tangu kuchaguliwa kwake, kuwasilisha kwa Tume ya Maadili ya Viongozi na Uwajibikaji tamko rasmi kwamba hajapoteza sifa za uchaguzi kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, tamko hilo
litatolewa katika fomu maalum itakayowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.
(4) Spika atatakiwa kuwasilisha kwa Rais nakala mbili za taarifa rasmi ya maelezo ya mali yake, kadri itakavyokuwa, mali ya mke au mume wake.

Maoni;


128.-(1) Kutakuwa na Spika wa Bunge ambaye atachaguliwa na Wabunge na ambaye atakuwa ndiye Kiongozi wa Bunge na atawakilisha Bunge katika vyombo na vikao vingine vyote nje ya Bunge.
(2) Waziri, Naibu Waziri, Mbunge au mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yatakayotajwa na Sheria iliyotungwa na Bunge kwa madhumuni ya Ibara hii, hataweza kuchaguliwa kuwa Spika.
(3) Mtu yeyote atakayechaguliwa kuwa Spika atatakiwa, kabla ya kumaliza siku thelathini tangu kuchaguliwa kwake, kuwasilisha kwa Tume ya Maadili ya Viongozi na Uwajibikaji tamko rasmi kwamba hajapoteza sifa za uchaguzi kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii, tamko hilo litatolewa katika fomu maalum itakayowekwa kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.

(4) Spika atatakiwa kuwasilisha kwa Rais nakala mbili za taarifa rasmi ya maelezo ya mali yake, mali ya mke au mume na mali zingine zozote zile zinazomilikiwa na familia yake.




132. Mtu atastahili kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika endapo atakuwa na sifa zifuatazo-

(a) angalau awe na elimu ya Chuo Kikuu kinachotambulika kwa mujibu wa sheria za nchi;
(b) awe na sifa za kumuwezesha kuchaguliwa kuwa Mbunge;
(c) wakati wa kugombea, awe mwenye umri usiopungua miaka arobaini; na
(d) asiwe kiongozi au amewahi kuwa kiongozi wa juu wa chama cha siasa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya kuomba kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Spika
au Naibu Spika.
Maoni;

132. Mtu atastahili kuchaguliwa kuwa Spika au Naibu Spika endapo atakuwa na sifa zifuatazo-
(a) angalau awe na elimu ya Chuo Kikuu kinachotambulika kwa mujibu wa sheria za nchi;
(b) awe na sifa za kumuwezesha kuchaguliwa kuwa Mbunge;
(c) wakati wa kugombea, awe mwenye umri usiopungua miaka Thelathini na Tano ; na
(d) asiwe kiongozi au amewahi kuwa kiongozi wa juu wa chama cha siasa katika kipindi cha miaka mitano kabla ya tarehe ya kuomba kuchaguliwa kushika nafasi ya madaraka ya Spika
au Naibu Spika.



136.-(1) Rais atalihutubia Bunge Jipya katika Mkutano wa Kwanza na kulifungua rasmi.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ndogo ya (1), Rais anaweza wakati wowote kulihutubia Bunge au kupeleka kwenye Bunge taarifa ambayo itasomwa na Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni.
(3) Rais anaweza kulihutubia Bunge katika kila kikao cha mwisho wa mwaka kuelezea utekelezaji wa majukumu mbalimbali kwa mujibu wa Katiba hii.

Maoni;

136.-(1) Rais atalihutubia Bunge Jipya katika Mkutano wa Kwanza na kulifungua rasmi.
(2) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ndogo ya (1), Rais anaweza wakati wowote kulihutubia Bunge au kupeleka kwenye Bunge taarifa ambayo itasomwa na Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni.

(3) Rais anaweza kuitisha na kulihutubia Bunge katika kila kikao cha mwisho wa mwaka mahali popote ndani ya Jamhuri ya Muungano kuelezea utekelezaji wa majukumu mbalimbali kwa mujibu wa Katiba hii isipokuwa kufungua Bunge Jipya kwa mujibu wa ibara ndogo ya (1) sharti kikao hiki ifanyike Makao Makuu ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania .

(4) Kwa minajili ya utekelezaji mzuri wa Katiba hii, Bunge katika utungaji wa Kanuni za uendeshaji wake itaweka na kutaja mahali patakapokuwa Makao Makuu ya Bunge la Jamhuri za Muungano wa Tanzania na shughuli zote zitakazo husiana na Bajeti ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano itakuwa ikifanyika mahali hapo.




137.-(1) Bunge litafanya mikutano yake mahali ambapo ni desturi kufanya Mikutano hiyo au mahali pengine popote katika Jamhuri ya Muungano patakapotajwa na Spika kwa ajili hiyo.

(2) Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya katika Maisha ya Bunge utaitishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano na utaanza siku ile ambayo Bunge limegizwa kukutana, na kila Mkutano unaofuata utaanza siku yoyote itakayopangwa na Bunge au siku yoyote itakayopangwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge.

(3) Rais anaweza kuitisha Mkutano wa Bunge wakati wowote kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

Maoni;

137.-(1) Bunge litafanya mikutano yake mbalimbali mahali popote katika Jamhuri ya Muungano patakapotajwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge isipokuwa Vikao vyote vilivyotajwa chini ibara ya 136(1 na 4) ya Katiba hii
(2) Mkutano wa Kwanza wa Bunge Jipya katika Maisha ya Bunge utaitishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano na utaanza siku ile ambayo Bunge limegizwa kukutana, na kila Mkutano unaofuata utaanza siku yoyote itakayopangwa na Bunge au siku yoyote itakayopangwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge.

(3) Rais anaweza kuitisha Mkutano wa Bunge wakati wowote kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.



Itaendelea;
 
Tunaendelea kusonga mbele na kuna haja na umuhimu wa kuwa na Katiba yenye kuweka mbele masilahi mapana ya Nchi na si Viongozi na Vyama vyao.

Rasimu ya Katiba Mpya 2013 dhidi ya mitazamo na maoni tofauti -karibuni sana kwa michango!


139.-(1) Akidi ya kila kikao cha Bunge ni nusu ya Wabunge wote, isipokuwa kama imeelezwa vinginevyo katika Katiba hii.

(2) Kila suala litakalowasilishwa kwa ajili ya kupata uamuzi wa Bunge litaamuliwa kwa kufuata wingi wa kura za Wabunge waliohudhuria na kupiga kura.
(3) Spika, Naibu Spika au mtu mwingine atakayeongoza kikao cha Bunge, hatakuwa na kura ya kawaida bali atakuwa na kura ya uamuzi kukitokea usawa wa kura.

Maoni;

139.-(1) Akidi ya kila kikao cha Bunge ni nusu ya Wabunge wote, isipokuwa vikao vyote vitakvyo hitaji upigaji kura kwa ajili ya Maamuzi sharti kuwe na akidi ya zaidi ya asilimia sitini ya wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
(2) Maamuzi juu Muundo wa Muungano na mengineyo kadri itakavyokuwa sharti akidi ya Wabunge iwe zaidi ya Nusu ya wabunge wote kwa idadi inayolingana kwa pande zote za Washirika wa Muungano.

(3) Spika, Naibu Spika au mtu mwingine atakayeongoza kikao cha Bunge, hatakuwa na kura ya kawaida bali atakuwa na kura ya uamuzi kukitokea usawa wa kura.


140
.-(1) Bunge linaweza kuunda Kamati za Bunge za namna mbalimbali kadri litakavyoona inafaa kwa ajili ya utekelezaji bora wa madaraka yake.

(2) Kanuni za Bunge zinaweza kufafanua muundo na shughuli za Kamati za Bunge zitakazoundwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii.

Maoni;

140.-(1) Bunge linaweza kuunda Kamati za Bunge za namna mbalimbali kadri litakavyoona inafaa kwa ajili ya utekelezaji bora wa madaraka yake,hata hivyo idadi ya Kamati hizi sharti zisizidi Nne.
(2) Kanuni za Bunge zinaweza kufafanua muundo na shughuli za Kamati za Bunge zitakazoundwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii.



145.-(1) Katika kutekeleza mamlaka ya utoaji haki, Mahakama ya Jamhuri ya Muungano itaongozwa na masharti ya Katiba hii na haitaingiliwa ama kwa kudhibitiwa, kushinikizwa au kupewa maelekezo na mtu au chombo chochote.

(2) Nafasi ya madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Juu au Mahakama ya Rufani haitafutwa wakati wowote ule ikiwa kuna mtu ambaye kwa wakati huo anashikilia nafasi hiyo.
(3) Mishahara na malipo mengine ya Majaji wa Mahakama ya Juu na Mahakama ya Rufani yatalipwa kutoka katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali.
(4) Mshahara na malipo mengine yanayolipwa kwa Jaji wa Mahakama ya Juu au wa Mahakama ya Rufani hayatabadilishwa kwa maana ya kumuondolea faida Jaji husika.
(5) Malipo ya mafao ya kustaafu ya Jaji wa Mahakama ya Juu au
Jaji wa Mahakama ya Rufani hayatabadilishwa kwa maana ya kumuondolea faida Jaji husika wakati wote wa uhai wake.
(6) Mtumishi yeyote wa Mahakama hatoshtakiwa kwa jambo lolote alilolifanya au kutolifanya kwa nia njema katika utekelezaji wa shughuli ya utoaji haki kwa mujibu wa Sheria


Maoni;

145.-(1) Katika kutekeleza mamlaka ya utoaji haki, Mahakama ya Jamhuri ya Muungano itaongozwa na masharti ya Katiba hii na haitaingiliwa ama kwa kudhibitiwa, kushinikizwa au kupewa maelekezo na mtu au chombo chochote.
(2) Nafasi ya madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Juu au Mahakama ya Rufani haitafutwa wakati wowote ule ikiwa kuna mtu ambaye kwa wakati huo anashikilia nafasi hiyo.

(3) Mishahara na malipo mengine ya Majaji wa Mahakama ya Juu na Mahakama ya Rufani yatalipwa kutoka katika Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali.
(4) Mshahara na malipo mengine yanayolipwa kwa Jaji wa Mahakama ya Juu au wa Mahakama ya Rufani hayatabadilishwa kwa maana ya kumuondolea faida Jaji husika.
(5) Malipo ya mafao ya kustaafu ya Jaji wa Mahakama ya Juu au Jaji wa Mahakama ya Rufani hayatabadilishwa kwa maana ya kumuondolea faida Jaji husika wakati wote wa uhai wake.
(6) Mtumishi yeyote wa Mahakama hatoshitakiwa kwa jambo lolote alilolifanya au kutolifanya kwa nia njema katika utekelezaji wa shughuli ya utoaji haki kwa mujibu wa Sheria.

(7)Malipo ya Mshahara,Mafao au mengineyo kwa Jaji au Hakimu wa Mahakama ya kiwango chochote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yatakuwa baditili kama utumishi wa Jaji au Hakimu husika umesita/kusitishwa kwa kujiuzulu , kuvuliwa au kufukuzwa kazi isipokuwa Jaji au Hakimu atakayejiuzulu kwa sababu zitakazo husiana na Maradhi ambayo sharti yadhibitishwe na Taasisi inayohusika kisheria.


146.-(1) Bila ya kuathiri masharti yoyote yaliyotangulia katika Sehemu hii, kutakuwa na Muundo wa Mahakama katika Jamhuri ya Muungano utakaokuwa kama ifuatavyo:

(a) Mahakama ya Juu; na
(b) Mahakama ya Rufani.
(2)Mahakama Kuu ya Tanzania Bara na Mahakama Kuu ya Zanzibar zitakuwa na mamlaka sawa ya kusikiliza katika ngazi ya awali, mashauri ya madai na jinai kuhusu Mambo ya Muungano katika maeneo ya utawala ya Washirika wa Muungano.

Maoni;


146.-(1) Bila ya kuathiri masharti yoyote yaliyotangulia katika Sehemu hii, kutakuwa na Muundo wa Mahakama katika Jamhuri ya Muungano utakaokuwa kama ifuatavyo:
(a) Mahakama ya Juu; na
(b) Mahakama ya Rufani.
(2)Mahakama Kuu ya Tanganyika na Mahakama Kuu ya Zanzibar zitakuwa na mamlaka sawa ya kusikiliza katika ngazi ya awali, mashauri ya madai na jinai kuhusu Mambo ya Muungano katika maeneo ya utawala ya Washirika wa Muungano.

153.-(1) Majaji wa Mahakama ya Juu watateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina yatakayopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama na wataapishwa na Rais.
(2) Mtu ataweza kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu endapo atakuwa na sifa ya uadilifu, tabia njema na uaminifu na:
(a) awe na shahada ya sheria kutoka katika chuo kinachotambuliwa kwa mujibu wa sheria za nchi;
(b) awe amefanya kazi ya uhakimu, ujaji, utumishi wa umma au uanataaluma akiwa na sifa ya kufanya kazi ya uwakili au ni wakili wa kujitegemea; na
(c) awe na sifa ya kusajiliwa kuwa wakili, na amekuwa na sifa hizo mfululizo kwa muda usiopungua miaka kumi.
(3) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (2), iwapo Rais ataridhika kwamba japokuwa:
(a) mtu mwenye sifa mojawapo ya hizo sifa zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2) hakuwa nayo sifa hiyo kwa muda unaopungua miaka kumi; na
(b) mtu huyo ana uwezo, ujuzi na kwa kila hali anafaa kukabidhiwa madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Juu;
(c) kuna sababu za kumfanya mtu huyo kustahili kukabidhiwa nafasi ya madaraka hayo,
basi Rais anaweza kutengua sharti la kuwa na sifa kwa muda usiopungua miaka kumi, na baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama, kumteua mtu huyo kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu.

Maoni;

153.-(1) Majaji wa Mahakama ya Juu watateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina yatakayopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama na wataapishwa na Rais.
(2) Mtu ataweza kuteuliwa kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu endapo atakuwa na sifa ya uadilifu, tabia njema na uaminifu na:
(a) awe na shahada ya sheria kutoka katika chuo kinachotambuliwa kwa mujibu wa sheria za nchi;
(b) awe amefanya kazi ya uhakimu, ujaji, utumishi wa umma au uanataaluma akiwa na sifa ya kufanya kazi ya uwakili au ni wakili wa kujitegemea; na
(c) awe na sifa ya kusajiliwa kuwa wakili,na amekuwa na sifa hizo mfululizo kwa muda usiopungua miaka kumi.
(3) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (2), iwapo Rais ataridhika kwamba japokuwa:
(a) mtu mwenye sifa mojawapo ya hizo sifa zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2) hakuwa nayo sifa hiyo kwa muda unaopungua miaka kumi; na
(b) mtu huyo ana uwezo, ujuzi na kwa kila hali anafaa kukabidhiwa madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Juu;
(c) kuna sababu za kumfanya mtu huyo kustahili kukabidhiwa nafasi ya madaraka hayo,basi Rais anaweza kutengua sharti la kuwa na sifa kwa muda usiopungua miaka kumi, na baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama, kumteua mtu huyo kuwa Jaji wa Mahakama ya Juu isipokuwa sifa ya mtu huyu sharti isiwe chini ya miaka mitano.




157.-(1) Utaratibu wa kushughulikia nidhamu ya Majaji wa Mahakama ya Juu, mbali na sababu zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2), utakuwa kama utakavyoelezwa na sheria itakayotungwa na Bunge.

(2) Jaji wa Mahakama ya Juu anaweza kuondolewa madarakani kwa sababu ya kushindwa kutekeleza madaraka yake ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya inayoathiri maadili ya kazi ya Jaji au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; na hataweza kuondolewa kazini ila kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (4).

(3) Endapo Rais anaona kuwa suala la kumuondoa Jaji kazini linahitaji kuchunguzwa, basi katika hali hiyo utaratibu utakuwa kama ufuatavyo:
(a) Rais anaweza, baada ya kushauriana na Jaji Mkuu, kumsimamisha kazi Jaji huyo;
(b) Rais atateua Tume ambayo itakuwa na Mwenyekiti na Wajumbe wengine wasiopungua wawili; na angalau nusu ya wajumbe hao wawe ni Majaji wa Mahakama ya Juu au
Mahakama ya Rufani kutoka nchi yoyote iliyomo kwenye Jumuiya ya Madola; na
(c) Tume hiyo itachunguza shauri lote kisha itatoa taarifa kwa Rais kuhusu maelezo ya shauri hilo na itamshauri Rais kama Jaji huyo anayehusika aondolewe kazini kwa mujibu wa masharti ya Ibara hii kwa sababu ya kushindwa kufanyakazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya.

(4) EndapoTume iliyoteuliwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (3) itamshauri Rais kwamba Jaji ambaye mwenendo wake umechunguzwa na Tume hiyo aondolewe kazini kwa sababu ya kushindwa kufanyakazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya, Rais atamuondoa kazini Jaji huyo na utumishi wake utakuwa umekoma.

(5) Ikiwa suala la kumuondoa Jaji kazini limepelekwa kwenye Tume kwa ajili ya uchunguzi kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya
(3), Rais anaweza kumsimamisha kazi Jaji huyo anayehusika, na Rais anaweza wakati wowote kufuta uamuzi huo wa kumsimamisha kazi Jaji huyo, na kwa hali yoyote uamuzi huo utabatilika ikiwa Tume itamshauri Rais kwamba Jaji huyo asiondolewe kazini.
(6) Masharti ya Ibara hii hayatawahusu watu walioteuliwa kukaimu nafasi ya Ujaji.

Maoni;


157.-(1) Utaratibu wa kushughulikia nidhamu ya Majaji wa Mahakama ya Juu, mbali na sababu zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2), utakuwa kama utakavyoelezwa na sheria itakayotungwa na Bunge.
(2) Jaji wa Mahakama ya Juu anaweza kuondolewa madarakani kwa sababu ya kushindwa kutekeleza madaraka yake ama kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya inayoathiri maadili ya kazi ya Jaji au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma; na hataweza kuondolewa kazini ila kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (4).

(3) Endapo Rais anaona kuwa suala la kumuondoa Jaji kazini linahitaji kuchunguzwa, basi katika hali hiyo utaratibu utakuwa kama ufuatavyo:
(a) Rais anaweza, baada ya kushauriana na Jaji Mkuu, kumsimamisha kazi Jaji huyo;

(b) Rais atateua Tume yenye wajumbe wasiozidi wanne na kutakuwa na Mwenyekiti raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaia na mmoja kati yao awe ni Jaji wa Mahakama ya Juu au Mahakama ya Rufani kutoka nchi yoyote ya Afrika ambayo ni mwanachama wa Jumuiya ya Madola ; na
(c) Tume hiyo itachunguza shauri lote kisha itatoa taarifa kwa Rais kuhusu maelezo ya shauri hilo na itamshauri Rais kama Jaji huyo anayehusika aondolewe kazini kwa mujibu wa
masharti ya Ibara hii kwa sababu ya kushindwa kufanyakazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya.

(4) Endapo Tume iliyoteuliwa kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (3) itamshauri Rais kwamba Jaji ambaye mwenendo wake umechunguzwa na Tume hiyo aondolewe kazini kwa sababu ya kushindwa kufanya kazi kutokana na maradhi au sababu nyingine yoyote au kwa sababu ya tabia mbaya, Rais atamuondoa kazini Jaji huyo na utumishi wake utakuwa umekoma na sharti Spika wa Bunge apate nakala ya uamuzi chini ya ibara hii.


(5) Ikiwa suala la kumuondoa Jaji kazini limepelekwa kwenye Tume kwa ajili ya uchunguzi kwa mujibu wa masharti ya Ibara ndogo ya (3), Rais anaweza kumsimamisha kazi Jaji huyo anayehusika, na Rais anaweza wakati wowote kufuta uamuzi huo wa kumsimamisha kazi Jaji
huyo, na kwa hali yoyote uamuzi huo utabatilika ikiwa Tume itamshauri Rais kwamba Jaji huyo asiondolewe kazini.
(6) Masharti ya Ibara hii hayatawahusu watu walioteuliwa kukaimu nafasi ya Ujaji.


Itaendelea
 
Tupunguze idadi ya wabunge kwa kutumia mfumo wa uwakilishi wa seneta na sio ubunge kama ilivyo kwa sasa:bathbaby::A S-cry:
 

Tunaendele kusonga mbele

Mp Kalix2 #107
-------------xxxxxxxxxx-------------------------------------------
Jaji Warioba na Tume yake tunataka mtupe Katiba imara yenye kutuvusha zaidi ya 70yrs bila manungu'niko ya jamii.


Tuweke pembeni masilahi binafsi/vikundi maana yatusababishia matatizo makubwa!



162.-(1) Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina ya watu watatu yatakayopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama.

(2) Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani atakuwa ndiye Mkuu wa Mahakama ya Rufani na msaidizi wa Jaji Mkuu katika utendaji wa kazi katika Mahakama ya Rufani, na katika madaraka hayo, Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani atatekeleza kazi na shughuli atakazopangiwa mara
kwa mara na Jaji Mkuu.
(3) Mtu anaweza kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani endapo atakuwa amefikisha umri wa miaka arobaini na tano au zaidi na mwenye sifa ya uadilifu, tabia njema na uaminifu na:
(a) awe na Shahada ya Sheria kutoka katika Chuo Kikuu kinachotambuliwa na mamlaka inayoshughulikia elimu ya juu katika Jamhuri ya Muungano;
(b) awe amefanya kazi ya uhakimu, ujaji, utumishi wa umma au uanataaluma akiwa na sifa ya kufanya kazi ya uwakili au ni Wakili wa Kujitegemea; na
(c) awe na sifa ya kusajiliwa kuwa wakili,na amekuwa na sifa hizo mfululizo kwa muda usiopungua miaka kumi.
(4) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (2), iwapo Rais ataridhika kwamba japokuwa:
(a) mtu mwenye sifa mojawapo ya hizo sifa zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2) hakuwa nayo sifa hiyo kwa muda usiopungua miaka kumi;
(b) mtu huyo ana uwezo, ujuzi na kwa kila hali anafaa kukabidhiwa madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Rufani;
(c) kuna sababu za kumfanya mtu huyo astahili kukabidhiwa madaraka hayo,basi Rais anaweza kutengua sharti la kuwa na sifa kwa muda usiopungua miaka kumi, na baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama, Rais anaweza kumteua mtu huyo kuwa Jaji wa Mahakama yaRufani.


Maoni;


162.-(1) Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani atateuliwa na Rais kutoka miongoni mwa majina ya watu watatu yatakayopendekezwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama.
(2) Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani atakuwa ndiye Mkuu wa Mahakama ya Rufani na msaidizi wa Jaji Mkuu katika utendaji wa kazi katika Mahakama ya Rufani, na katika madaraka hayo, Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani atatekeleza kazi na shughuli atakazopangiwa mara
kwa mara na Jaji Mkuu.

(3) Mtu anaweza kuteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Mahakama ya Rufani endapo atakuwa amefikisha umri wa miaka arobaini na tano au zaidi na mwenye sifa ya uadilifu, tabia njema na uaminifu na:
(a) awe na Shahada ya Sheria kutoka katika Chuo Kikuu kinachotambuliwa na mamlaka inayoshughulikia elimu ya juu katika Jamhuri ya Muungano;
(b) awe amefanya kazi ya uhakimu, ujaji, utumishi wa umma au uanataaluma akiwa na sifa ya kufanya kazi ya uwakili au ni Wakili wa Kujitegemea; na
(c) awe na sifa ya kusajiliwa kuwa wakili, na amekuwa na sifa hizo mfululizo kwa muda usiopungua miaka kumi.
(4) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ndogo ya (2), iwapo Rais ataridhika kwamba japokuwa:
(a) mtu mwenye sifa mojawapo ya hizo sifa zilizoainishwa katika Ibara ndogo ya (2) hakuwa nayo sifa hiyo kwa muda usiopungua miaka kumi;
(b) mtu huyo ana uwezo, ujuzi na kwa kila hali anafaa kukabidhiwa madaraka ya Jaji wa Mahakama ya Rufani;
(c) kuna sababu za kumfanya mtu huyo astahili kukabidhiwa madaraka hayo,basi Rais anaweza kutengua sharti la kuwa na sifa kwa muda usiopungua miaka kumi, na baada ya kushauriana na Tume ya Utumishi wa Mahakama, Rais anaweza kumteua mtu huyo kuwa Jaji wa Mahakama ya
Rufani kwa kuzingatia kuwa mtu huyo anazaidi ya miaka mitatu ya sifa zilizorejewa katika Ibara ya 162 ya Katiba hii.


170.-(1) Kutakuwa na Mtendaji Mkuu wa Mahakama atakayeteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa Watumishi wa Umma kufuatia mapendekezo ya Tume ya Utumishi wa Mahakama na

kuidhinishwa na Bunge.
(2) Mtu hatateuliwa kushika nafasi ya Mtendaji Mkuu wa Mahakama isipokuwa tu kama ni:

(a) mtumishi wa umma mwandamizi;
(b) ana weledi na uzoefu katika masuala ya utawala na mambo ya fedha; na
(c) mwadilifu na mwenye tabia na mwenendo mwema.

Maoni;
170.-(1) Kutakuwa na Mtendaji Mkuu wa Mahakama atakayeteuliwa na Rais kutoka miongoni mwa Watumishi wa Umma kufuatia mapendekezo ya Tume ya Utumishi wa Mahakama na
kuidhinishwa na Bunge.

(2) Mtu hatateuliwa kushika nafasi ya Mtendaji Mkuu wa Mahakama isipokuwa tu kama ni:
(a) mtumishi wa umma mwandamizi;
(b) ana weledi na uzoefu katika masuala ya utawala na mambo ya fedha; na
(c) mwadilifu na mwenye tabia na mwenendo mwema usiokinzana na wala haujawahi kukinzana na Miiko na Maadili ya Viongozi wa Umma hata kabla ya uwapo wa Katiba hii.




172.-(1) Kutakuwa na Tume ya Utumishi wa Mahakama ambayo itaundwa na wajumbe tisa watakaoteuliwa na Rais kama ifutavyo:

(a) Jaji Mkuu ambaye atakuwa ni Mwenyekiti;
(b) Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano;

(c) Jaji mmoja wa Mahakama ya Juu;
(d) Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani;
(e) Mwakilishi wa Chama cha Wanasheria wa Tanzania Bara;
(f) Mwakilishi wa Chama cha Wanasheria wa Zanzibar;
(g) Wakuu Wawili wa vitivo vya sheria kutoka vyuo vikuu, mmoja kutoka Tanzania Bara na moja kutoka Zanzibar watakaopendekezwa na Jaji Mkuu; na
(h) Mtendaji Mkuu wa Mahakama ambaye atakuwa Katibu wa Tume ya Utumishi wa Mahakama.
(2) Tume inaweza kumualika mtu mwingine yoyote mwenye utaalamu mahususi kushiriki kikao chochote cha Tume, isipokuwa mtu huyo hatakuwa nahaki ya kupiga kura.
(3) Tume itaweka utaratibu wa kuendesha vikao vyake.

Maoni;


172. Kila panaposomeka Tanzania Bara kuwekwe Tanganyika

Itaendelea;

--------------xxxxxxxxxxxxxxxxxxxx--------------------------------
Inaendelea.


179.-(1) Tume ya Utumishi wa Umma itakuwa ni chombo cha juu katika Utumishi wa Umma chenye mamlaka ya kusimamia na kuratibu mambo yote kuhusu Utumishi wa Umma.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ndogo ya (1), majukumu ya Tume ya Utumishi wa Umma yatakuwa ni:
(a) kumshauri Rais juu ya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) kutoa miongozo mbalimbali na kusimamia mchakato wa ajira katika utumishi wa umma kwa kuzingatia vigezo stahiki;
(c) bila kuathiri masharti ya Katiba hii, kuteua watu kuhudumu au kushikilia ofisi kwa muda katika idara ya utumishi wa umma, kuidhinisha uteuzi na kudhibiti nidhamu na kuwaondoa watumishi wanaohudumu au kushikilia ofisi hizo;

(d) kusimamia na kuhamasisha utekelezaji wa misingi na kanuni za utumishi katika sekta zote za utumishi wa umma;
(e) kushughulikia rufani zinazowasilishwa na watumishi wa umma dhidi ya uamuzi wa mamlaka mbalimbali za nidhamu katika utumishi wa umma;
(f) kutekeleza majukumu mengine yoyote kama yatakavyoainishwa katika sheria itakayotungwa na Bunge juu masuala ya utumishi wa umma na sheria nyingine za nchi;
(g) kuunda na kudurusu mishahara na marupurupu ya watumishi wa umma, ikiwemo viongozi wa juu wa nchi, viongozi wa kisiasa, watumishi waliopo chini ya utumishi wa Mahakama,Bunge na Serikali; na

(h) kusawazisha mishahara na marupurupu ya maafisa wote wa Serikali, Bunge, Mahakama na maofisa wa umma pamoja na maofisa wa majeshi ya ulinzi na usalama


Maoni;
Mamlaka ya Wananchi lazima yawe dhahiri na hii ni kupitia Bunge/Wawakilishi.


179.-(1) Tume ya Utumishi wa Umma itakuwa ni chombo cha juu katika Utumishi wa Umma chenye mamlaka ya kusimamia na kuratibu mambo yote kuhusu Utumishi wa Umma.
(2) Bila ya kuathiri masharti ya Ibara ndogo ya (1), majukumu ya Tume ya Utumishi wa Umma yatakuwa ni:
(a) kumshauri Rais juu ya uteuzi wa viongozi katika nafasi mbalimbali kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) kutoa miongozo mbalimbali na kusimamia mchakato wa ajira katika utumishi wa umma kwa kuzingatia vigezo stahiki;
(c) bila kuathiri masharti ya Katiba hii, kuteua watu kuhudumu au kushikilia ofisi kwa muda katika idara ya utumishi wa umma,kuidhinisha uteuzi na kudhibiti nidhamu na kuwaondoa watumishi wanaohudumu au kushikilia ofisi hizo;

(d) kusimamia na kuhamasisha utekelezaji wa misingi na kanuni za utumishi katika sekta zote za utumishi wa umma;
(e) kushughulikia rufani zinazowasilishwa na watumishi wa umma dhidi ya uamuzi wa mamlaka mbalimbali za nidhamu katika utumishi wa umma;
(f) kutekeleza majukumu mengine yoyote kama yatakavyoainishwa katika sheria itakayotungwa na Bunge juu masuala ya utumishi wa umma na sheria nyingine za nchi;
(g) kuunda na kudurusu mishahara na marupurupu ya watumishi wa umma, ikiwemo viongozi wa juu wa nchi, viongozi wa kisiasa, watumishi waliopo chini ya utumishi wa Mahakama,
Bunge na Serikali; na
(h) kusawazisha mishahara na marupurupu ya maafisa wote wa Serikali, Bunge, Mahakama na maofisa wa umma pamoja na maofisa wa majeshi ya ulinzi na usalama na kwa vyovyote vile hoja ya usawazishaji wa mishahara na marupurupu sharti kujadiliwa Bungeni na kupata idhini ya Bunge .






180.-(1) Kila raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwenye umri wa miaka kumi na nane au zaidi mwenye akili timamu ana haki ya kupiga kura na haki ya kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni.
(2) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (1), mamlaka ya uchaguzi itazingatia misingi ifuatayo:
(a) wananchi wanatumia haki ya kisiasa kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) watu wenye ulemavu wanapewa fursa za uwakilishi;
(c) haki ya kila mtu kupiga kura moja kufuatana na utashi wa uwakilishi na kura sawa; na
(d) uchaguzi ulio huru na ambao -
(i) ni wa kura ya siri;
(ii) hauna matumizi ya nguvu, vitisho, vishawishi wala rushwa;
(iii) haukuwa na matamshi au vitendo vinavyoashiria ukabila, ukanda, udini, dharau na kashfa kwa jinsia au unyanyapaa kwa walemavu au makundi madogo katika jamii;
(iv) unaendeshwa na kusimamiwa na chombo huru;na
(v) unaendeshwa bila upendeleo au kuegemea upande wowote, uliyo makini na inayoonyesha
uwajibikaji wa watendaji.
(3) Ili kutekeleza masharti ya Ibara ndogo ya (1) na (2),mamlaka ya nchi itaweka utaratibu wa sheria utakaowezesha:
(a) mamlaka zinazosimamia uchaguzi kutangaza majimbo kwa madhumuni ya uchaguzi wa wabunge;
(b) uteuzi wa wagombea;
(c) uandikishaji endelevu wa wapiga kura;

(d) kuendesha na kusimamia uchaguzi na kura ya maoni;
(e) kuweka utaratibu wa kuandikisha raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoishi nje ili kuweza kupiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni; na
(f) utaratibu wa kufanya uchaguzi kuwa mwepesi, wazi na unaozingatia mahitaji ya watu wenye mahitaji maalum.
(4) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (2), kwa lengo la kukuza demokrasia, kulinda Katiba na kuhakikisha panakuwepo uchaguzi huru, kila mpiga kura ana haki ya kufungua shauri
Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi isipokuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais,anayoamini yamevunja au kukiuka masharti ya Katiba hii.

Maoni;
Hii itasadia kulinda Uhuru na haki ya Mpiga kura.Haiwezekani haki ya mpiga kura ikaishia kwa Mbunge,Diwani na Mwenyekiti wa Mtaa/kijiji wakati mpiga kura huyo huyo ndiye mpiga kura kwenye Uchaguzi wa Uraisi;

Hivyo 180 (5) itakuwa jibu kwa wapigakura kulinda Katiba na haki yao pia maana Mgombea Uraisi anaweza kununuliwa kirahisi na asiweke pingamizi hata kama katiba imekiukwa!




180.-(1) Kila raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwenye umri wa miaka kumi na nane au zaidi mwenye akili timamu ana haki ya kupiga kura na haki ya kuandikishwa kwa ajili ya kupiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni.
(2) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (1), mamlaka ya uchaguzi itazingatia misingi ifuatayo:
(a) wananchi wanatumia haki ya kisiasa kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) watu wenye ulemavu wanapewa fursa za uwakilishi;
(c) haki ya kila mtu kupiga kura moja kufuatana na utashi wa uwakilishi na kura sawa; na
(d) uchaguzi ulio huru na ambao -
(i) ni wa kura ya siri;
(ii) hauna matumizi ya nguvu, vitisho, vishawishi wala rushwa;
(iii) haukuwa na matamshi au vitendo vinavyoashiria ukabila, ukanda, udini, dharau na kashfa kwa jinsia au unyanyapaa kwa walemavu au makundi madogo katika jamii;
(iv) unaendeshwa na kusimamiwa na chombo huru;na
(v) unaendeshwa bila upendeleo au kuegemea upande wowote, uliyo makini na inayoonyesha
uwajibikaji wa watendaji.
(3) Ili kutekeleza masharti ya Ibara ndogo ya (1) na (2),Bunge itatunga sheria itakaowezesha:
(a) mamlaka zinazosimamia uchaguzi kutangaza majimbo kwa madhumuni ya uchaguzi wa wabunge;
(b) uteuzi wa wagombea;
(c) uandikishaji endelevu wa wapiga kura;
(d) kuendesha na kusimamia uchaguzi na kura ya maoni;
(e) kuweka utaratibu wa kuandikisha raia wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wanaoishi nje ili kuweza kupiga kura katika uchaguzi au kura ya maoni; na
(f) utaratibu wa kufanya uchaguzi kuwa mwepesi, wazi na unaozingatia mahitaji ya watu wenye mahitaji maalum.
(4) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (2), kwa lengo la kukuza demokrasia, kulinda Katiba na kuhakikisha panakuwepo uchaguzi huru, kila mpiga kura ana haki ya kufungua shauri
Mahakamani kupinga matokeo ya uchaguzi isipokuwa matokeo ya uchaguzi wa Rais,anayoamini yamevunja au kukiuka masharti ya Katiba hii.
(5) Kwa madhumuni ya Ibara ndogo ya (2), kwa lengo la kukuza demokrasia, kulinda Katiba na kuhakikisha panakuwepo uchaguzi huru na bila kuathiri Ibara ya 78(1) na 180 (4) ya Katiba hii, zaidi ya Robo ya Wapikura halali katika Uchaguzi husika watakuwa na haki ya kuweka pingamizi dhidi ya Ushindi wa uchaguzi wa Uraisi wanaouamini umevunja au kukiuka Masharti ya Katiba hii na Mahakama italazimika kupokea na kusikiliza na kutolea Maamuzi pingamizi husika.


Itaendelea;



 
Awali ya yote Mwenyezi Mungu amweke mahali pema Peponi Dr.Mvungi nawapa pole na kuwatakia moyo wa uvumilivu Familia yake na watanzania kwa ujumla wakati huu wa majonzi wa kutokwa na mpendwa wao.

Ujumbe wangu kwa Warioba pamoja na Wajumbe wa Tume yake ni kwamba itakuwa jambo la busara kuyafanyia kazi mawazo ya marehemu kama sehemu ya kumpa amani huko aliko.


Maisha yanaendelea na lazima tuendelee kujiwekea misingi Imara.

Tunaendelea na michango yetu!-toka hapa
#110



189.-(1) Majukumu ya jumla ya Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji yatakuwa ni kufuatilia na kuchunguza tabia na mwenendo wa viongozi na watumishi wa umma kwa madhumuni ya kusimamia na kuhakikisha kuwa Maadili ya Uongozi wa Umma na Miiko ya Uongozi wa Umma inazingatiwa, inalindwa na kuheshimiwa katika utumishi wa Serikali, Bunge, Mahakama, taasisi na idara nyingine zote za umma.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya jumla ya Ibara ndogo ya (1),majukumu mahsusi ya Tume yatakuwa ni:
(a) kusimamia maadili na uwajibikaji katika utumishi wa umma;
(b) kufanya upekuzi na kufuatilia kumbukumbu za wanaoomba nafasi za uongozi wa umma;
(c) kuchunguza tabia na mwenendo wa mtumishi au kiongozi wa umma na kuchukua hatua pale inapostahili, ikiwa ni pamoja na kuwafikisha watumishi watakaobainika, kuvunja maadili na miiko ya kazi katika vyombo vya sheria;

(d) kusimamia sheria itakayotungwa na Bunge kuhusu maadili na uwajibikaji wa viongozi na watumishi wa umma;
(e) kushughulikia masuala ya ubadhirifu wa fedha na mali za umma;
(f) kufanya uchambuzi yakinifu kwa viongozi wa umma wanaopewa dhamana kabla ya kuingia madarakani;
(g) kutoa elimu ya maadili kwa umma kuhusu miiko na maadili ya viongozi wa umma;
(h) kufanya uchunguzi kwa maamuzi yake yenyewe, au baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa mtu yeyote, kutokana na kutenda au kutokutenda kwa Kiongozi au mtumishi yeyote wa umma, au wakala wa Serikali, ikiwa kitendo kilichotendwa au kutokutendwa ni kinyume cha maadili ya umma;

(i) kumuelekeza, baada ya kupata malalamiko au itapoona inafaa, kiongozi au mtumishi wa umma au wakala wa Serikali au chombo chochote cha umma kufanya tendo lolote au jambo lolote linalotakiwa na sheria, au kuacha, kuzuia au kusahihisha utendaji mbaya au usiosahihi wa majukumu yake;

(j) kutoa maelekezo kuhusu kuchukuliwa hatua kiongozi au mtumishi yeyote wa umma;
(k) kumuelekeza kiongozi au mtumishi wa umma, kwa mujibu wa sheria, kutoa nyaraka zinazohusiana na matumizi ya ofisi,matumizi ya fedha au mali za umma, au kutoa taarifa ya
matumizi mabaya kwa Tume, kwa hatua stahiki.
(l) kuomba msaada au taarifa muhimu kutoka kwa mamlaka yoyote ya Serikali au binafsi katika kutekeleza wajibu wake,na kukagua, kama ni lazima, kumbukumbu muhimu na nyaraka husika;

(m) kwa kuzingatia sheria, kutangaza kwa umma, mambo yote yanayohusiana na uchunguzi iliyoufanya, iwapo mazingira yanaruhusu;
(n) kuchunguza jambo au mazingira yoyote yanayokiuka au kusababisha ukiukaji wa maadili; na
(o) kuandaa kanuni za taratibu na matumizi ya mamlaka au utekelezaji wa kazi na majukumu ya Tume kama itakavyoelekezwa na sheria.


189.-(1) Majukumu ya jumla ya Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji yatakuwa ni kufuatilia na kuchunguza tabia na mwenendo wa viongozi na watumishi wa umma kwa madhumuni ya kusimamia na kuhakikisha kuwa Maadili ya Uongozi wa Umma na Miiko ya Uongozi wa Umma inazingatiwa, inalindwa na kuheshimiwa katika utumishi wa Serikali, Bunge, Mahakama, taasisi na idara nyingine zote za umma.

(2) Bila ya kuathiri masharti ya jumla ya Ibara ndogo ya (1),majukumu mahsusi ya Tume yatakuwa ni:

(l) kuagiza kupewa taarifa muhimu kutoka kwa mamlaka yoyote ya Serikali au binafsi katika kutekeleza wajibu wake,na kukagua, kama ni lazima, kumbukumbu muhimu na nyaraka husika;
(m) kwa kuzingatia sheria, kutangaza kwa umma, mambo yote yanayohusiana na uchunguzi iliyoufanya, iwapo mazingira yanaruhusu;hata hivyo na kwa vyovyote vile pale mazingira yasiporuhusu bado Tume inawajibika kutoa taarifa ya uchunguzi kwa Mbunge yoyote wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakayewasilisha madai yake ya kupata tarifa husika kimaandishi na taarifa itatolewa kwa Mbunge husika bila masharti yoyote.
(n) kuchunguza jambo au mazingira yoyote yanayokiuka au kusababisha ukiukaji wa maadili; na
(o) kuandaa kanuni za taratibu na matumizi ya mamlaka au utekelezaji wa kazi na majukumu ya Tume kama itakavyoelekezwa na sheria;na
(p) kuandaa majalada yenye taarifa ya mali za viongozi wa Umma na kuyahifadhi kwenye mifumo ya kieletroniki na kwa mfumo wa faili ya makaratasi muda wote wa utumishi wao na hadi miaka kumi na tano baada ya Utumishi kwa mtumishi kustaafu/kufukuzwa au kujiuzulu.
(q)Kusimamia, kulinda na kutekeleza majukumu mengineyo yaliyoainishwa ndani ya Katiba hii ambayo Viongozi wa Umma yanawapasa kuyazingatia na wameapa kuyalinda kwa ajili ya ustawi wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania na watu wake .


190.Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Tume watakaa madarakani kwa vipindi viwili tu vya miaka mitatu kila kimoja,ikizingatiwa kwamba uteuzi wa wajumbe wa Tume utafanywa kwa namna ambayo Wajumbe wa Tume hawataanza au kumaliza muda wao kwa wakati mmoja.


190.Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti na Wajumbe wa Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji watakaa madarakani kwa kipindi kimoja cha miaka Saba na wote watashika madaraka kwa wakati moja ikizingatiwa kwamba uteuzi wao sharti uzingatie kuwa muda wao wakuwa madarakani unatakiwa kuisha miaka miwili kila baada ya Uchaguzi Mkuu.


191.-(1) Mwenyekiti wa Tume au mjumbe yeyote wa Tume anaweza kuondolewa madarakani kwa:
(a) kutokuwa na uwezo wa kutekeleza majukumu yake kwa sababu za kiafya kutokana na matatizo ya akili au kimwili;
(b) kukiuka Kanuni za Maadili ya Viongozi wa Umma;
(c) kukiuka Miiko ya Uongozi;
(d) kukosa weledi; au
(e) utovu wa nidhamu.
(2) Mwenyekiti au mjumbe wa Tume anaweza kuondolewa madarakani kutokana na mapendekezo ya Tume ya Utumishi wa Umma au kwa maombi ya mtu yeyote kwa Tume ya Utumishi wa Umma, kwa masharti kwamba:
(a) maombi hayo yawe ya maandishi; na
(b) yaainishe masuala yanayolalamikiwa.
(3) Baada ya kupokea maombi hayo au endapo malalamiko yametolewa na Tume yenyewe, Tume itaunda Kamati Maalum itakayofanya uchunguzi kuhusu malalamiko hayo.
(4) Masuala ya Kamati Maalum yanayohusu:
(a) idadi ya wajumbe;
(b) sifa za wajumbe; na
(c) muda wa kufanya kazi,yatakuwa kama itakavyoamuliwa na Tume.
(5) Baada ya kupokea taarifa yenye mapendekezo ya Kamati Maalum, Tume itapeleka mapendekezo ya Kamati Maalum kwa Rais kwa uamuzi.
191.-(1) Mwenyekiti wa Tume au mjumbe yeyote wa Tume anaweza kuondolewa madarakani kwa:

(3) Baada ya kupokea maombi hayo au endapo malalamiko yametolewa na Tume yenyewe, Tume itaunda Kamati Maalum itakayofanya uchunguzi kuhusu malalamiko hayo.
(4) Masuala ya Kamati Maalum yanayohusu:
(a) idadi ya wajumbe;

(b) sifa za wajumbe; na
(c) muda wa kufanya kazi, utakuwa kama itakavyoamuliwa na Tume isipokuwa sharti isizidi siku Sitini.


(5) Baada ya kupokea taarifa yenye mapendekezo ya Kamati Maalum, Tume itapeleka mapendekezo ya Kamati Maalum kwa Rais kwa uamuzi na nakala moja ya mapendekezo hayo sharti ifike Ofisi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano.



193. Serikali itahakikisha kuwa Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji inapatiwa fedha, nyenzo na rasilimali watu ya kutosha kadri hali itakavyoruhusu ili kutekeleza kazi na wajibu wake kwa ufanisi.
193. Serikali itahakikisha kuwa Tume ya Maadili ya Uongozi na Uwajibikaji inapatiwa fedha, nyenzo na rasilimali watu ya kutosha ili kutekeleza kazi na wajibu wake kwa ufanisi na pale itakaposhindwa kufanya hivyo itawajibika kuliarifu Bunge sababu ya kushindwa kutimiza wajibu huo.



Itaendelea;
 
Maoni;

111.-(1) Kwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 110,Bunge au Serikali linaweza kupendekeza kubadilisha masharti yoyote ya Katiba hii kwa kufuata Kanuni ya kwamba mapendekezo lazima ya ungwe mkono kwa kura zisizopungua theluthi mbili ya kura za Wabunge wote kutoka kila upande wa Muungano.
(2) Kwa madhumuni ya ufafanuzi wa masharti ya Ibara ndogo ya (1) kupendekeza mabadiliko ya masharti ya Katiba hii au masharti ya sheria,maana yake ni pamoja na kurekebisha au kusahihisha masharti haya au kufuta na kuweka masharti mengine badala yake au kusisitiza au kubadilisha matumizi ya masharti hayo.
(3) Kikundi au raia yoyote wa Jamhuri ya Muungano anaweza kufungua shauri Mahakama ya juu kutaka Mahakama kutoa ufafauzi wa kifungu cha Katiba hii na pale itakapo kubaliana na mfungua shauri inaweza kuamuru Bunge kuijadili kifungu husika kwa masilahi ya Taifa au inaweza kuamuru Tume ya Uchaguzi kuitisha moja kwa moja kura ya Maoni ya Wananchi wa jamhuri ya Muungano dhidi ya mapendkezo ya wafungua/mfungua shauri dhidi ya kifungu husika.
(4) Kwa vyovyote vile hakuna mamlaka yoyote ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakayokuwa na uamuzi wa kubalidisha /kurekebisha Ibara yoyote ya Katiba bila kwanza kufuata na kuzingatia upatikanaji wa maoni na upigaji wa kura ya maoni yaliyo huru ya wananchi itakayosimamiwa na Tume huru ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Na makosa haya ya kutokuwa na Kanuni itakayotuongoza kwenye mambo ya msingi bado taasisi na Serikali inaendelea kuendekeza Ubabe wake. Hata kwenye Rasimu ya Katiba Mpya jambo hili Tume ya Warioba imeliacha mikononi mwa Serikali na Bunge kitu ambacho si sawa.

Katiba ni jambo kubwa na Msingi wa Taifa hivyo haiwezi iachiwe kwa watu 360(Wabunge) ambao wengi wao uzalendo ni Ndoto za Mchana na unawaweka pembeni Watanzania zaidi ya milioni 25 watu wazima.Ndiyo maana mimi napendekeza nyongeza hiyo ya 111;4.


Lissu: Muswada wa kura za maoni ni kinyume cha Katiba
 
raisi apunguziwe madaraka af wajumbe wajumbe watoke kwene asasi za kiraia af raisi ashitakiwe akitoka madarakani
 
Back
Top Bottom