Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kamanda Mjuni Lwambo
Naona una munkari kweli kweli kushiriki Mabaraza ya Katiba Mpya ya CHADEMA. Utaratibu wa hapa utawekwa. Wananchi walioko hapa watawekewa utaratibu wao maalum.
Kwa sasa, kwa kutumia emails na namba ya simu, ni kama ilivyoelezwa hapo juu...
Karibu.
7. Mawaziri wote wateuliwe na wasiwe wabunge. na neno chama cha mapinduzi lisisike kwenye maneno yao wawakilishapo report au budget au popote kwa lengo la kusifu au nn!!
mshahara wa rais na viongozi wote ijulikane posho zao kiasi gani,wanalipa kodi kiasi gani?(2)misamaha ya kodi isiwepo kama itakuwepo kidogo sana tena bunge lijadili na kuidhinisha(3)shule za kata zisiwepo kabisa zirudishwe shule za kitaifa(4)makao makuu yawe dodoma(6)viti maalum visiwepo(7)idadi ya wizara lazima zijulikane kikatiba 12 zinatosha sana(8)uchaguzi wa rais lazima ashinde kwa zaidi 50% na ruhusa kuhojiwa mahakamani(8)barozi zipungue(9)rais asiteue kila sehemu mfano vyuo vikuu wanataaluma ndo wamchague mkuu wa chuo,majaji ndo wamchague jaji mkuu