Muhindi alieyeenda kukodi muuaji Afrika Kusini

Muhindi alieyeenda kukodi muuaji Afrika Kusini

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Katika hizi stori za mauaji huko bondeni siku mbili tatu nilipita Twitter huko naona Raia wa South wanalalamika kwamba kwa unaweza ukaua mtu na wala suala hilo lisitiliwe maanani hata ukifahamika.

Kwa migano ya hapa na pale wakamtaja huyo Muhindi na nahisi kama nilishawahi sikia hiyo stori. Kwamba muhindi alitoka huko Bombay na mkewe mpaka kwa Madiba, kufika akakodi hitman akamuua mke wake.

Baadae yule muuaji alikamatwa na alieleza ukweli huo kwamba aliagizwa na mume mtu lakini mume mtu wala hakupatikana na hatia.

South Africa ni nchi ya kusikitisha sana

Screenshot_20230213-140858_Twitter.jpg
 
Kama ni hawa walikuwa wanaishi UK na siyo India,walikwenda SA Honeymoon baada ya kufunga ndoa na ndiko mauaji yalipofanyika.Kuna kipindi cha huu mkasa wamekionyesha sana Investigation Discovary na Crime and Investigation.
Ukisearch youtube utakikuta hiki kisa pia.
 
Ni ndefu kidogo kuelezea lakini kwa kifupi ni kama alivyoelezea aliyeanzisha hii mada.Search "The honeymoon murder' case of Anni Dewan youtube.
Huyu jamaa mmoja wa watu waliotoa ushuhuda wa kesi yake wanadai alilala nae ni malaya wa kiume ....yaani gay na wakati anaongea nae wakati wa minyanduano alimwambia anatamani angehairi kufunga ndoa..
Fast fowas jamaa ana boyfriend wake sasa hivi na kajitangaza
 
Angemuacha binti wa watu akaendelea na ushoga wake inaonekana alimuaa kabisa
Ndo najiuliza kwanini hakumuacha tu..story hiyo ina uwalakini mwingi sana.
Unaambiwa katika asilimia 70 ya mauaji
Inahusisha mapenzi...either mume,mchumba,mke...yaani mapenzi lazima yawe katikati...check movie inaitw a loving adult iko Netflix
 
Ndo najiuliza kwanini hakumuacha tu..story hiyo ina uwalakini mwingi sana.
Unaambiwa katika asilimia 70 ya mauaji
Inahusisha mapenzi...either mume,mchumba,mke...yaani mapenzi lazima yawe katikati...check movie inaitw a loving adult iko Netflix
Halaf eti anajisingizia kuumwa wakati yupo busy anatinduliwa huyo alipanga mauaji ya mkewe
 
Kama ni hawa walikuwa wanaishi UK na siyo India,walikwenda SA Honeymoon baada ya kufunga ndoa na ndiko mauaji yalipofanyika.Kuna kipindi cha huu mkasa wamekionyesha sana Investigation Discovary na Crime and Investigation.
Ukisearch youtube utakikuta hiki kisa pia.
Gazeti la Raia mwema walikuwa na makala kila week wanaelezea huu mkasa,wadosi sio watu kuna kisa kilitokea hapa bongo kama sikosei miaka ya tisini mwanzoni kuna jamaa walikuwa wanaishi mwananyamala walichomwa moto na bosi wao mdosi,ile kesi sijui ilishaje
 
Gazeti la Raia mwema walikuwa na makala kila week wanaelezea huu mkasa,wadosi sio watu kuna kisa kilitokea hapa bongo kama sikosei miaka ya tisini mwanzoni kuna jamaa walikuwa wanaishi mwananyamala walichomwa moto na bosi wao mdosi,ile kesi sijui ilishaje
Mdosi mwingine hapa bongo juzi juzi tu alimuua mkewe hotelini,akamkata vipandevipande,akaviweka kwenye begi kubwa,alidakwa
 
Back
Top Bottom