Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

Muhudumu wa Restaurant hanichangamkii tena siku hizi!

tuanze na akili yako,
neno mieI ndo nn??? mwanaume unakurupukaje halafu ishu ya situation ilitakiwa ajibu mhusika au na ww ulikuwepo.

la pili
utaratibu wa kupangiana kujibu nyuzi umeutoa wapi?

la mwisho
mwanaume mwenzako wakati anatengeneza hili jukwaa alikwambia uwe unafatilia wanaojaza server,au umejipa kazi isiyokuhusu(kiherehere)
Look this dude 👆

Most annoying dude i see today
 
Back
Top Bottom