eldora
Senior Member
- Feb 4, 2024
- 129
- 490
InterestingHalikuumizi kichwa lakini umelianzishia uzi hapa???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
InterestingHalikuumizi kichwa lakini umelianzishia uzi hapa???
HahahaHisia nae unazo ila hujitambui maana amekata mazoea tu ushaanza kujamba kwenye maji[emoji23]
Inakuumiza tena sana tu! Usingejiuliza maswali mengi kiasi hiki ukakosa majibu mpaka ukaanzisha uzi! Unaumia usibisheMkuu kuniondolea attention yake hainiumizi, sina hisia nae zozote huyu dada.
wamepata bwana, now anajiheahimuWadau naomba mnisaidie kudadavua hili jambo ninaliliona.
Kuna mgahawa kuanzia kama miaka miwili nyuma hadi hivi leo huwa ninakwenda kila siku kupata chakula cha mchana au mara nyingine kuchukua takeaway.
Kuna DADA ni mmoja wa wahudumu kwenye huo mgahawa ambao ni mkubwa tu katika huu mji ninaokaa. Huyu dada siku za nyuma alikuwa akiniona nimefika, ananichangamkia na kunitania tania mbele ya baadhi ya wafanyakazi wenzake wa kike utani wa kama vile mimi ni "jamaa yake" ila mimi sikuwa na hisia nae zozote wala kumwambia lolote kutokana na utani utani wake, kwasababu nikawa nachukulia anachoifanya ni utani tu na wala sio serious anachofanya!
Sasa siku za karibuni naona huyu dada kabadilika, hataki ukaribu na mimi wala kuongea na mimi tofauti na ilivyokuwa hapo nyuma.
Mfano, kuna mara mbili nimefika akaja mezani kunisikiliza halafu, oda ya chakula nikaletewa na muhudumu mwenzake, kitu ambacho kikanionesha ni dhahiri kuna kitu kinachoendelea ndani ya nafsi yake huyu dada.
Naomba kujua ndugu zangu, huyu dada anaweza kuwa amebadilika kwasababu gani?
Nauliza tu, ingawa mimi hili jambo haliniumizi kichwa kwasababu hata sina hisia nae zozote. Na hata kama huyu dada ana hisia na mimi, kwenye huo mgahawa sina mazoea wala ukaribu na muhudumu mwingine yeyote wa kike kusema labda amenihisi nina uhusiano nae kisha yeye ndio akaona wivu au kuwa na kama chuki.
Ahsanteni.
Mkuu hv server za jf ni lini ziliwahi kujaa na hata zikijaa ni shida gani inajitokeza?Haniumizi na unajaza server za JF hapa
Umemjibu huyu jamaa vizuri sana.Mkuu hv server za jf ni lini ziliwahi kujaa na hata zikijaa ni shida gani inajitokeza?
AyaMkuu hv server za jf ni lini ziliwahi kujaa na hata zikijaa ni shida gani inajitokeza?
Mnamchanganya mdauKifupi kakuona wewe ni nyuki wa mashineni 😂 na keshapata aliefanya kweli!
😂😂😂Mtu kashaondolewa Attention anaanza kupagawa huku, sisi wanaume huwafanyia hivi wanawake ili wapagawe kwa kukosa Attention tutimize lengo fulani. Ila wewe mwanaume ndio umefanyiwa na mwanamke na ulivyokuwa mjinga umepagawa.
Huyo mwanamke alihudhuria kikao cha week iliyopita cha wanaume na kuiba notes wewe ulijifanya kutega unaona sasa.
na ukizingatia hata sio mmiliki wa jf,kanajichetua tu wakasifieMkuu hv server za jf ni lini ziliwahi kujaa na hata zikijaa ni shida gani inajitokeza?
Ishu ya miezi mitano nyuma unajibu kama Leo, kwa ishu ya mtoa mada zaidi ya mieI mitano kwa akili zako situation bado itakuwa vilevile.watu wa jf mnajiona perfect sana kwa kila kitu ety,
jaman hili ni jukwaa ,mtu kama hana cha kujibu si asome kmya kmya apite kushoto
mtu anayekereka ilibidi awatafute maadmin wenyew walioruhusu hizi post kuonekana.
turudi kwenye topic ,mtoa mada nakushauri usimuulize wala kuonyesha sura ya kusikitika ww smile tu na endelea na mambo yako akijirud sawa asipojirud pia sawa vile vile.
tuanze na akili yako,Ishu ya miezi mitano nyuma unajibu kama Leo, kwa ishu ya mtoa mada zaidi ya mieI mitano kwa akili zako situation bado itakuwa vilevile.
Mkimbiwa mnajaza Server muelewe.
HujaulizwaSasa wewe na huyo ‘dada’ nani ana moyo mwepesi?[emoji23]
Kunywa maji mkuu, uendelee na mapambano mengine.